TAFUTA HAPA

STORY: SHEMEJI MONICA SEHEMU YA PILI

Halikuwa swali gumu kwa James kwa maana jibu alikuwanalo, ugumu ulikuwa kulitoa hilo jibu, ?CD ipi?? James akajifanya kuuliza swali ambalo Monica alilipuuza, James akaendelea kula chakula ambacho alikuwa anakimeza kama dawa tu, utamu wa chakula uliibwa na mawazo juu ya janga lililokuwepo mbele yake.

Baada ya kumaliza kula James akaamua kuelekea chumbani kwake kuficha uso wake, ila hili nalo lilikuwa na ugumu maana kufika chumbani kwake ilibidi apite pale sebuleni ambapo shemeji yake alikuwepo, mwisho akaamua kupita, liwalo na liwe. Wakati akikatisha pale sebuleni James aligundua kuwa shemeji yake alikuwa akiiangalia CD ile ya ngono, basi yeye akajikausha na kuchapa mwendo kuuelekea mlango wa chumba chake. ?unaenda kulala shem?? swali likamtoka Monica na kumlazimu James kusimama kulijibu japo hakugeuka kumtizama muulizaji,?ndio,wacha nipmzike nimechoka sana leo? alijibu James ingawa hakuwa na uhakika kama kweli nakwenda kulala huko chumbani. ?acha zako bwana,unaniacha na nani sasa usiku wote huu? Hebu njoo ukae hapa? alisema Monica huku akimuelekeza James kwenda kushirikiana na yeye kulikalia kochi alilokuwa amekalia, kochi ambalo lilitengenezwa kwa matumizi ya watu wawili. Agizo lile lilimshitua sana James,moyoni akawaza kuwa wito ule lazima ulitokana na moja kati ya mambo mawili,labda shemeji yake anamuita kwenda kumsema kwa tabia mbaya ambayo ameionesha au atakuwa amemtamani kimapenzi, sio jambo la kawaida mwanamke kumualika mwanaume washirikiane kuangalia kanda za ngono. Basi james akatii wito, akaenda na kukaa kwenye ile nafasi moja iliyobakia kwenye kochi baada ya nyingine kuwa imekwishatumiwa na shemeji yake, wakaendelea kutazama video ile ingawa James alijifanya kama yeye hakuwa na haja ya kungalia kilichokuwa kinaendelea, muda mwingi alikuwa akiangalia chini kwa aibu. ?napenda sana mwanaume anayefanya mapenzi romantic kama huyu, halafu daah! Mdile wake umeshibaaa, huyo dada anafaidi kweli? James alishangaa kuona Monica anajaribu kuifanya video ile kama maigizo ya Kanumba, yani anategemea tuanze kuyajadili haya?? alijiuliza James ambaye aliamua kukaa kimya kama ambaye hakusikia maneno ya Monica. Mara Monica. Mara Monica akasimama,kisha akamwambia James ?nakuja sasa hivi, usiondoke? kisha akaelekea chumbani kwake, huku nyuma James alibaki njia panda,akajiuliza atoe ile CD au aiache, mwisho akaamua kuacha kila kitu kama kilivyokua maana hakujua matokeo ya kubadili mazingira aliyoyaacha shemeji yake. Baada ya dakika kama tano Monica akamudia James, lakini muonekano wake ulibadilika sana kutokana na kubadili mavazi, alikuwa amevaa kitop cha rangi ya pink ambacho kiliyaacha mabega yake wazi, ndani ya kitop kile chepesi hakukuwa na sidiria kwani James aliweza kuziona chuchu zikiwa zimesimama dede kama zinataka kukitoboa kitop kile, chini Monica alikuwa amevee khanga nyeupe ambayo ilikuwa na maua ya blue, Monica akamvuka James akielekea kwenye jokofu, huku akimuuliza James ?utakunywa nini mume?? wakati huu James alikuwa akimeza mafunda mazito ya mate akiangalia ufundi wa muumbaji,mirindimoiliyokuwa ikionekana nyuma kwa Monica iliashiria kuwa ndani ya khanga ile aliyokuuwa amevaa hakukuwa na vazi lingine lolote, khanga ile haikuwa na uwezo wa kuzuia maumbile ya Monica kuonekana, James alijikuta amepagawa tayari. Basi James akaagiza Juice, na Monica akaonekana akijongea kuelekea alipo James akiwa na glas mbili za juice, wakati akija James alifaidi hips zake ambazo zilikuwa zimeujenga mwili wake kike hasa, huu ulikuwa ugonjwa mkubwa sana kwa James, alipenda sana wanawake wenye hips zenye afya njema. Monica akafika na kuweka Juice mezani kisha akarudi kukaa kwenye kochi, baaada ya sekunde chache kukaa pia akaona hakufai na kuanza kumlalia James mapajani, James akajikuta akiingiwa na ubaridi fulani uliotokana na uoga, kabaki amejikunyata asijue cha kufanya, mkao huu pia ulimchukua Monic dakika moja tu kabla hajaamka tena na kuanza kumkumbatia James, chuchu zake zikipitapita mwilini mwa James na kuzidi kumpagawisha, akajikuta akisimamisha kila kilicho na uwezo wa kusimama mwilini mwake,sasa alikuwa akitaka apewe hicho ambacho anaingishiwa, lakini akili ikamkumbusha kuwa yule alikuwa shemeji yake ?shemeji sio vizuri, mimi namuheshimu sana kama Paul? alisema James huku akijinasua kutoka kwenye kumbato lile la Monica, wakabaki wakitazamana, Monica akatabasamu jambo ambalo liliziongezea nakshi lipsi zake ambazo zilikuwa zinatamanisha kunyonya wakati wote, ?we unadhani kaka akiju...? James akajaribu tena kujilazimisha kuzungumza lakini ulimi wa Monica ukamkata kauli, Monica akaanzisha uchokozi wa ulimi kwa ulimi na James akajikuta hana upinzani tena, akamuachia Monica kuwa dereva wa gari lile na yeye kubaki kuwa abiria ingawa hakujua gari lile lilikuwa linaelekea wapi,wala hakutaka kujua tena. Wakati zoezi la kunyonyana likiendelea Monica akawa naulalii mwili wa James kwa viganja na vidole vyake, James alikuwa mpole tu akiendelea na kazi yake ya kunyonyana. Monica akafungua suruali ya James na ndani ya sekunde chache akakipata alichokuwa anakitafuta ?mmmh! Yote yako hii?? alitania Monica akiwa ameshika bakora ya James kama ameiteka vile, James alikuwa amebalikwa katika idara ile, kama angekutana na mwanamke asiye mzoefu asingethubutu kukubali kuingia vitani kupambana na silaha nzito namna ile,lakini Monica hakuonekana kuiogopa hata chembe, kwanza alionekana kuipenda kwa dhati. Monica akafanikiwa kuuchomoa ulimi wake kinywani mwa James akauamishia masikioni na shingoni kwa James,akampagawisha kijana wa watu kwa nncha ya ulimi wake kutalii maeneo hayo huku aki uvutavuta uume wa James kama anakamua maziwa ya ng'ombe. Haikuchukua hata sekunde ishirini Monica akasikia umoto mkononi mwake, James alikuwa amemwaga tayari, na sasa akili zake zikawa zimrudia na kwa mara nyingine akajiona alikuwa akifanya jambo ambalo halikuwa sahihi. Uume wake ukashuka, na akajikuta nnje ya mchezo, alitamani kumwambia Monica aache anachokifanya ila hakuweza kusema na hakujua ni kwanini, Monica akajaribu kumrudisha mchezoni kwa dakika kadhaa ila haikuonekana kusaidia. Monica akaacha alichokuwa anakifanya na kusimama, moyoni James akashukuru akijua zoezi limeahirishwa lakini akashangaa kuona Monica akijivua ile top aliyokuwa amevee na kisha kuifungua ile khanga akabaki kama alivyozaliwa, halafu akamsaula na yeye akabaki kama alivyozaliwa. Jicho lilikuwa limemtoka James akiona kila kitu clear kabisa, alijiona kama alikuwa anaota. Monica akamsukumi kwenye kochi akakaa na yeye akakaa juu yake, mnara wa James ukajikuta umesoma network tena. Monica akauchukua na kujizamishia chumvini huku akikaa vizuri mapajani mwa James. James akahisi kautelezo chenye joto fulani zuri kakiukaribisha uume wake ndani ya Monica, hapohapo akajikuta akishusha wazungu kwa mara ya pili. Monica akamuangalia kwa jicho baya sana,alionekene kukerwa na kitendo kile ila akakipuuza na kundelea kucheza singeli pale mapajani kwa James, lakini ndani ya dakika chache akashindwa kuendelea kwanu mnara wa James haukuwa hata na chembe ya network.

?hii ni mara yako ya kwanza kufanya mapenzi James?? aliuliza Monica akionekana kabisa kuwa alikuwa na uhakika wa kupata jibu la ndio. James akajihisi aibu kidogo kwa swali lile ?umejuaje?'? akajibu kwa swali James ambaye ni kweli hakuwahi kushiriki kitendo cha aina ile kabla,?learner hajifichi,sasa itabidi nikupe darasa, na baada ya hapo utakuwa mwalimu? alisema Monica huku akimpapasa James na mara mlango ukagongwa, sauti ya mgongaji ilikuwa ya Paul, wote wakapagawa kila mmoja akikimbilia nguo zake, James akakimbia na zakwake chumbani kwake akimuachia Monica msala wake.

Akiwa chumbani James alisikia Monica akimkaribisha ndani mumewe vizuri kama hakuna chochote kilichotokea, ?karibu mezani upate chakula mume wangu? James alisikia kwa mbali Monica akimkaribisha mumewe chakula baada ya kumpokea, akaamua kupuuza maongezi yao na kubaki akiwaza yake. Alijiona mkosaji sana kwa kitendo alichokifaya na shemeji yake, aliona hakumtendea haki kaka yake ambae kama sio yeye angekuwa anapambana na maisha ya kijijini. Akaamua kuwa asingerudia tena kufanya jambo kama lile, nusu saa baadae James akazima taa na kuamua kulala,lakini kabla usingizi haujamchukua akasikia mlango wake unagongwa polepole, mgongaji hakutoa sauti yoyote zaidi ya kugonga mlango, akaamua kuitikia mwito ule mlangoni, akawasha taa na kufungua mlango, macho yakamtoka kukutana na Monica akiwa uchi, kama alivyozaliwa, umbile lake zuri liking'aishwa na weupe wake wa asili ambao ulikuwa ukimtoa roho James ?uko tayari kwa darasa?? aliuliza Monica akirembua macho kimahaba


usikose sehemu ya 3