TAFUTA HAPA

Hadithi:Penzi La Mpangaji Sehemu Ya #9

“Ooh! Prince, kumbe dokta aliniambia ukweli. Naomba usiache kufanya hivyo”. Nesi yule alijikuta analalamika hadi akavuka mipaka ambayo ilinijaza maswali na kujikuta nikiacha ile shughuli ya kula pango lake.
“Dokta kakuambia nini?”.Nilimuuliza kwa hamaki huku nikiachia kile kikofia cha bikini kifunike pango la Nesi.
“Kila kitu,na kaniahidi kitu kizuri kwa kazi yangu”.Alijibu Nesi huku ananyanyuka na kuegemea ukuta wa ile wodi.
“Ina maana dokta kakwambia kinachonisumbua?”.Niliuliza tena kana kwamba sikusikia jibu lake.
“Ha ha haaa, we unadhani sikukuelewa ulivyokuwa unaongelea mambo ya juisi yangu na mayai ya kuchemsha?. Nilielewa sana, na tayari mayai yashachemka, ngoja niyale na soda ya koka”.Alinijibu yule Nesi na kisha akasogelea ile soda ya koka na kuitia mdomoni kwake na kuanza kuisakama kwa ulimi wake kabla haijatoa kimiminika chake.
Nilijikuta nikilegea mwili mzima na kuanza kupiga ukelele wa raha ambao hapo kabla sikuwahi kuupiga kutokana na kutofanyiwa ile kitu.
“Uwiiii Dada Nesi basi, nita nita nita……. Aaaaah”.Nilijikuta natoa kimiminika hata kabla koka ile haijakutana na pango la Nesi Subira.
Nesi yule alionekana kuwa mzoefu sana wa mambo yale,kwani alivyoona najipinda na kujipindua alijua tayari nataka kumwaga soda,hivyo alichomoa ile chupa mdomoni mwake na kuanza kukisugua kile kichwa cha ile chupa ya koka hadi kikamwaga ule utamu.