TAFUTA HAPA

DUDU WASHA 18

ilipoishia
Sefu akiwa ameanguka chini huku akivuja damu nyingi kichwani na mguuni,alimsoge
lea mpaka kwa karibu
nakuanza kumgeuza geuza,,,,Itaendelea
episode -18
Mtunzi;Geofrey Malwa
,,,na haya ndio malipo yako mwanaharamu mkubwa weee,,,aliongea hivyo jamaa huyo ambapo alipomgeuza Sefu alimkuta bado anahema,akanyanyua kisu chake juu akijiandaa kukishusha chini,lakini ghafla alihisi kitu kizito kimemgonga kichwani mwake,alipiga kelele za kuhisi maumivu na kuangusha chini ambapo hata kile kisu alikitupa pia,,,alikuwa si mwingine,ni Dolothea,alichokifanya alimnyanyua Sefu na kumpeleka nyumbani
Sefu akawa ameokolewa bila hata yeye mwenyewe kujijua,alivyoanguka aliumia vibaya sana Sefu ambapo aliwaishwa Hospitari kwa ajili ya matibabu,baada ya kupita siku tatu akiwa wodini,hali yake iliridhisha na kurudishwa nyumbani
Kwa upande wa Mjomba wake hakujua lolote linaloendelea kuhusu kuumia kwa Sefu,alichojua ni kwamba Sefu amenguka,Tekla pamoja na Dolo hawakutaka kumweka wazi kwa kumwambia aukweli wote kwani angerudishwa kwao na hata shule asingesoma,,,
Baada ya kupita wiki nzima,kwenye familia ya yule mama aliyeingiliwa kinyume na maumbile,ilikuwa ni aibu kubwa kwake na familia yake,kwani watu wengi walisema mama huyo amebakwa,kumbe wakati mwanaye anamkimbiza Sefu mpaka kuambuliwa kugongwa na jiwe kichwani mwake,huku nyuma kuna watu wengine walikuja kwa ajili ya kufanya shughuli zao hapo mtoni ambapo waliposikia kelele za mtu analalamika maumivu,walimsogelea na kuomba msaada wa kumnyanyua na kumpelekea Hospitari,hali kadharika hata mwanaye pia baada ya muda alirudiwa na fahamu ambapo alijikokota mpaka nyumbani
,,,mama,samahani sana kwa kilichokukuta,kila mahali ukipita una kashfa ya kubakwa tena kinyume na maumbile,kweli ni aibu sana,lakini nisamehe mimi mama yangu,,,
,,,kwanini Damasi unasema hivyo,,?
,,,alichokufanyia yule mtoto,mimi pia nilimfanyia hivyo,,,
,,,he!,ilikuwaje,,?
,,,nilimfuma na mpenzi wangu,,,
,,,nani Sofia,,?
,,,hapana,mwingine anaitwa Dolothea,,,
,,,mungu wangu kumbe Sofia unamdanganya mtoto wa watu yule,lakini yametokea tumwachie mungu tu,,,
,,,sawa mama,,,
,,,lakini mwanangu,naomba ubaki na mwanamke mmoja kwani licha ya maradhi wewe mwenyewe umeona jinsi tunavyoahibika sasa hivi,ungetulia na Sofia haya yote yasiongetokea,tangu umeondoka mtoto yule alikuwa anakuja hapa kutujulia hali,alionyesha mapenzi ya dhati sana kwenye familia hii,badilika mwanangu,,,
,,,nimekusikia mama,na nimekuelewa,naa
hidi nitayatekeleza,,,
Yalikuwa ni Maongezi kati ya mama na mwana,ambapo ilikuwa ni siri yao kwamba kwanini hayo yote yametokea,uzembe wa mama ulidhihirika kwa mtoto vilevile uovu wa mtoto pia,ulijulikana kwa mama,wote waliyaweka sawa na kuona ni mapito ambayo wanapitia tu,kitu ambacho Damasi hakutaka kukiweka wazi ni kuhusu hasira aliyonayo ya kulipa kisasi kwa Sefu
Sefu alirudi katika hali yake ya kawaida kabisa ambapo kwa bahati nzuri ulikuwa ni wakati wa likizo ndefu,lakini halikuwa jambo la furaha kwa upande wake Dolothea aliyezoea siku moja moja kukalia dudu la Sefu,siku aliyojua kuwa Sefu anaondoka kesho yake,usiku huo alifanya kila jitihada mpaka asuguliwe na Sefu tena ikiwezekana mpaka asubuhi,,,
Kilichopo moyoni mwa Dolothea kilitimia majira ya saa tano usiku muda ambao hata mjomba na mkewe walikuwa wakila raha za dunia,mziki waliouwasha japo hukusikika kwa sauti ya makelele lakini ulitosha kuweza kutosikia chochote kinachoendelea ndani humo,,
Dolothea alitoka chumbani kwake akiwa na kigauni kifupi cha kulalia kilichomwishia juu kabisa ya mapaja,yaani akiinama,mpaka uvungu wa kitumbua ulikuwa ukionekana,aliingia chumbani kwa Sefu na kumkuta Sefu akiwa macho kama naye alijua vile ujio wa Dolo,,,
,,,Sefu,leo nahitaji unisegue jamani,unaenda likizo,halafu utakaa mwezi mzima ndio urudi,naomba unipe dozi ya mwezi mzima,,,
,,,utaniua wewe mwanamke,na mitego yako ya hii,,aliongea hivyo Sefu huku akinyoosha mkono wake na kumshika paja Dolo,,,
,,,aah,,yaani mkono wako Sefu kama una umeme,umenigusa tu nimesisimka kama nini,,,
Huo ndio ulikuwa mwanzo wa ruksa ya vitendo tupu kutumika,hakuna aliyemwongelesah mwenziye,walivamiana midomoni na kuanza kubadilishana ndimi zao huku wakishambuliana kuvuana nguo mpaka wakabaki tupu kama walivyozaliwa ambapo haikuwa kazi ngumu kwani Sefu alivalia bukta fupi hata Dolo pia alivalia gauni ya kulalia pekee,,,
Ulimi kwenye Chuchu laini za Dolo ulifika na kuanza kuzimungunya kama pipi kidonge mdomoni kwa mtoto mpenda pipi,,,mmmh,,aaah,,,mmmh,,aliguna Dolo huku mikono yake laini ikimshikashika Sefu kichwani,,,Sefu alikiganda kwenye kifua cha Dolo na kuzishughulikia ipasavyo Chuchu hizo kitendo kilichomfanya Dolo kunyanyuka hadi miguu juu na kumbana mgongoni Sefu aliyekuwa kama ruba kwenye Chuchu zake
,,aaaah,,,aaaaaaaiiiisssssssss
sssssss,,,,,ooooouusssshhhhhhh
h,,aaaah,,alizidi kulalamika Dolo kwa utamu baada ya Sefu kuongeza zoezi,ambapo alishusha kidole chake na kukiingiza kwenye kitumbua cha Dolo huku akikazana kukisugua kile kiarage chake kilichoanza kusimama baada kukutana na kidole,,,alipiga kelele Dolo za utamu ambapo wakati mwingine ilimlazimu Sefu kumziba mdomo
Alipoona uwanja umshakaa mkao wa kuchezwa mechi hakutaka kusubiri mpaka mashabiki wampige na makopo,alimlaza kiubavu kisha akaibananisha miguu ya Dolo n akuikunja vyema kwa kuipandisha juu kidogo,kwa jinsi alivyokunjwa Dolo ilimfanya kitumbua chake kuonekana vyema kabisa,Sefu aliushika dudu lake na kuliingiza taratibu kwenye kitumbua hicho mpaka kiarage chenyewe kikawa kinachezacheza kushangilia jinsi dudu hilo linavyoingia,,,,,Itaendelea