Kijana mmoja alitokea kumpenda sana dada mmoja ijapokuwa dada huyo alikuwa akimtolea nje mara kwa mara lakini kijana hakukata tamaa, akiendelea kurusha ndoano huku akiamini siku moja atafanikiwa.Siku moja dada huyo akiwa yupo nyumbani aliamua kumpigia simu huyu kaka na kumtaka aje nyumbani kwake, yule kijana alifurahi na kuhisi sasa ombi lake limekubaliwa.
Akiwa nyumbani kwake dada huyo , alikuwa amevalia kanga moja laini, kutokana na hali ya hewa ya joto la Dar es salaam.Kwa upande wa yule kijana alikuwa amefurahi sana na haraka alijiandaa na kuanza safari kuelekea kwa huyu dada, njia ni kaka huyu alikuwa akijiuliza maswali mengi, huku akiwa haamini kama yule dada amemuita nyumbani kwake. Alipofika, alibisha hodi na yuel dada akafungua mlango huku akionyesha tabasamu pana katika paji la uso wake.
 Kaka huyu aliingia ndani huku kijasho kikimteremka mithili ya mtu  aliyekuwa anakimbia. Dada huyu alimkaribisha vizuri, yule kaka aliomba  maji ya kunywa huku muda wote akimtizama kwa umakini dada huyu mrembo,  aliyeumbika kila idara na ile kanga nyepesi aliyovaa ilikuwa ikionyesha  umbo zuri la dada huyu ambaye waswahili huwa wanasema, mtoto kajaaliwa  (mashalaah) Kaka alikuwa akivuta pumzi kwa haraka haraka, na kusema  "Nimefurahi sana, umenikaribisha nyumbani kwako ni pazuri sana." Yule  dada alitabasamu na kusema "Asante sana, nimefurahi pia umeitikia wito  wangu, samahani kwa usumbufu wangu".Yule kaka alitabasamu huku akijisogeza sogeza "Hakuna tatizo, usijali  kabisa, mimi nipo kwa ajili yako, naimani sasa nina...." Kabla  hajamilizia kuongea yule dada alimshika mikono yake miwili huku  akimtizama machoni, kwa macho yake malegevu, mithili ya mtu aliyekula  kungu "Samahani kaka, mimi nimekuita hapa kuna jambo nataka unishauri,  nataka kujua ni zawadi gani nzuri unaweza kumpatia mwanaume unayempenda"  Kaka yule alikuwa akitetemeka na kusema "Chochote tu, zawadi ni zawadi,  alimradi kuwe na mapenzi ya kweli" Dada yule alitabasamu na kusema "Ni  kweli, mapenzi ya kweli ndiyo jambo la msingi, nitampenda maisha yangu  yote" Kaka yule akauliza "Utampenda? Nani huyo". Yule dada alitabasamu tena na kusema "Samahani, rafiki nilikuwa  sijakuambia, wiki ijayo nafunga ndoa na mpenzi wangu wa muda mrefu  ambaye nampenda sana, na pia nilikuita ili nikupe kadi ya harusi,  nitafurahi kukuona, kwani wewe ni rafiki yangu pia" Yule kaka alibaki  amepigwa na butwaa, "Ati, nini unaolewa, daaah, jamani, kwahiyo."  Alinyanyuka na kuondoka bila ya kuaga huku akimuacha yule dada anamuita  ili ampatie kadi bila ya mafanikio.SIYO KILA UNACHOKIWAZA MOYONI MWAKO KITATOKEA KAMA UNAVYOTAKA. KWAHIYO NI VYEMA KUJIANDAA KUKUBALIWA AU KUKATALIWA
“"Reshmail Manyama want to be your  friend.'confirm' 'ignore' ulikuwa ni ujumbe ambao macho yangu yalikutana  nao nilipofungua mtandao wa kijamii wa ‘facebook’,sikumbuki kama  nilijifikiria mara mbili kwani niliona ni jambo la kawaida sana kukutana  na 'notifications’ kama hizo,na mara zote neno confirm(kubali) lilipata  fursa ya kutumika.hivyohivyo hata kwa Reshmail nilifanya hivyo."You and  reshmail are now friends" ndio ujumbe ulionisindikiza baada ya kukubali  ombi lile kutoka kwa Reshmail.
                             *   *  * * *
Ni kijana mtanashati niliyebahatika  kukutana nae pale chuo kikuu cha mtakatifu Augustine Mwanza,alijipenda  kuanzia ndani ya chumba chake hadi mwili wake,ilikuwa ni nadra sana  kumfumania akiwa amevaa nguo aliyoivaa jana,bila kumnyima haki yake  nasema alikuwa anapendeza kila siku,macho yangu ya kipelelezi na kamera  zangu za kipaparazi kamwe hazikufanikiwa kumjua aliyekuwa ubavu wa pili  wa bwana huyu yaani 'MPENZI'. Ukipenda waweza kuniita kimbelembele  lakini ukiniita hivyo basi majina hayo yatakuwa mengi pale chuoni kwani  wengi walikuwa na shauku kubwa ya kujua siri hiyo na kamwe  hawakufanikiwa.
Binadamu hatuna dogo watu washaanza  kusema eti huenda jamaa ana matatizo makubwa tu mwilini mwake ndio maana  yuko peke yake licha ya kushobokewa na wasichana warembo, mh! mimi  sikuwa mmoja wao lakin nilijiuliza pia kulikoni?? 
    Makala mbovu zilizokuwa zinaandikwa  na gazeti la chuo lililojulikana kama ‘Saut voice’ ndo zilinizonivuta  zaidi kutaka na mimi siku moja kuandika katika gazeti hilo lililokosa  mvuto siku za hivi karibuni makala nzuri itakayorudisha heshima ya  gazeti hilo.Taratibu nilijenga mazoea na hatimaye nikafanikiwa kumzoea  "THE MOST WANTED" ucheshi wangu ndio uliomvutia zaidi kupenda kuwa  karibu nami pamoja na mchezo wa mpira wa miguu kwani wote tulikuwa  mashabiki wakubwa,haukupita mwezi mzima nikawa nina uwezo wa kuanza kazi  yangu,ni mimi na Adam Michael kwenye meza moja chumban kwangu ananipa  hadithi yake ya maisha yaliyomfanya awe kama alivyo.
"Aah!! jamani Reshmail..." alianza Adam,yangu masikio na macho nikaanza kusikiliza kwa makini.
                     **        **          **
      Hadi anafika  mwaka wa pili kimasomo chuoni mtakatifu Augustine Mwanza kitivo cha  sheria Adam aliitumia simu yake ya mkononi kwa ajili ya kupiga,kutuma  ujumbe (sms) na kupokea ni hayo tu na kwa upande wa pili alipenda sana  kucheza michezo ya simu (game) ya kwenye simu.
    Alikuwa ni  Hughorito Hamada ama maarufu kama 'HUHA'.hakuwa tu rafiki yake adam bali  pia alikuwa ni mshirika wake wa chumba (room mate) na pia walisoma  darasa moja la sheria pale chuoni,ni huyu aliyemuingiza Adam katika  ulimwengu ambao hatausahau kamwe,tabia yake ya kupenda kuazima simu ya  Adam aina ya Nokia Express music kwa dhumuni la kuchat katika mtandao  maarufu wa kijamii wa ‘facebook’ ndio ilimshawish Adam naye kuanza  kujiuliza kulikoni hasahasa alipokuwa anamwona Huha akicheka mwenyewe  kila anapokuwa anachat,"Mh! we jamaa yangu chizi kweli yaani unacheka na  watu usiowaona" Adam alimkebehi Huha alipokuwa anacheka na simu yake  punde tu baada ya kuanza kuchat 
"Kwani we ukiwa  unaota unaongea huwa kuna watu mbele yako?" Huha alijibu mashambulizi na  Adam akabaki kimya na taulo yake kiunoni akaenda bafuni kuoga.
"Mwanangu nimekuunga  na wewe namba yako ya siri ni..,.." hata kabla Huha hajamaliza adam  akamkatisha "Nini? huo upumbavu wako sitafanya kamwe bro" ..."Hv kwan  inakuwaje huo upuuzi" Adam akajikuta anauliza baada ya kuwa amevaa nguo  zake "Hii kitu inaitwa FACEBOOK,yan adam ukijiunga wewe hutoki na  utakuwa nayo bize kweli" Adam alisikiliza kwa makin japo alijidai  kufanya dharau machon,Huha hakujali aliendelea kutoa somo had Adam  akapata mwanga,"Mh. Sidhan kama itanivutia bt i wil try". Alijisemea  adam wakat anachukua simu yake.
                              ****
Tabia ya Adam  ilikuwa imebadilika ghafla ni Adam na facebook,facebook na yeye,iwe  barabaran,club,lecture room,hostel yani kasoro mskitini tu ndio Adam  aliweza kuhfadh simu yake.Sio Huha wala rafiki yake yeyote aliyejua nini  zaid ya facebuk kimemuathiri adam wa watu.Hakumuazima tena Huha  simu,hakutaka mazoea na wasichana ni yeye na simu yake tu!! "Adam mbona  washkaji wanalalamika eti wanakuomba urafiki facebook unachomoa? siku  moja Huha aliamua kumuuliza Adam baada ya kuona tabia yake imekuwa ya  ajabu mno kupindukia."Sitaki that's all". Ndio jibu fup alilopewa.kisha  adam akajiondokea.Huha akabaki ameduwaa asijue la kufanya,mara ghafla  adam akarudi tena "Huha naomba ukamwambie Halima simtaki,usiniulize kwa  nini mwambie SIMTAKI!" adam alimwambia Huha kana kwamba alimfumania huyo  halima.
Mpenz msomaj Halima  alikuwa binti matata pale chuon kwa kipind kile,Adam ndo alipata fursa  ya kuangukia penz lake,penz lao chuo kizima walifahamu,gari ya Halima  ilikuwa kama ya Adam..chumba cha Cha Halima kilipambwa picha na kad za  Adam lait na Adam angekuwa anakaa peke yake basi hata yeye chumba chake  kingekuwa had na nguo za ndan za Halima pamoja na pedi bas tu alikuwa  anakaa na Huha.
Huha alibak mdomo waz akijiuliza ni Adam au kivuli chake kinaongea.Alikuwa Adam sio kivuli.....
Ubize aliokuwa nao  mheshimiwa mbunge ulimkosesha raha mkewe bi.Gaudensia Ogunde,hakuipata  haki yake ndoa kwa takribani mwezi mmoja sasa,mume alikuwa anachelewa  kurudi na akirudi anakuwa amechoka sana kutokana na majukumu mazito ya  kiserikali,na ikitokea siku akathubutu kujaribu kutoa huduma basi  alikuwa hamridhish mkewe,taratibu mama akajaribu kuzoea lakini kuna  wakat uvumilivu ulikuwa unamshnda,nyumba nzima alikuwa akiish yeye,mtoto  wake wa kike na msaidiz wa kazi (House girl)."Mwanangu ni siku ya tatu  baba yako halali nyumbani,najisikia mpweke sana kulala mwenyewe"  bi.Gaudensia alimweleza mwanae kwa unyonge "Pole sana mamii hata mi  sipend hyo tabia ya baba,leo nakuja kulala na wewe mama" alijibu yule  binti mwenye miaka 17 akiwa ndio kwanza amemaliza kidato cha nne.Mama  hakujibu kitu badala yake alimkumbatia mwanae kwa sekunde kadhaa kisha  akamwachia huku machozi yakimlengalenga.
Majira ya saa tatu usiku mama na mwana walikuwa kitandan wote wakiwa na night dress,kitanda kilikuwa kikubwa lakin umbali wao ulikuwa karibu mno,mapigo ya moyo ya mama yalikuwa juu sana,jasho lilikuwa likimtoka mtoto kwa kasi air condition iliyokuwa inapuliza haikuwa na maana tena mama na mwana walijikuta katika hisia nzito sana za mahaba,sio mimi wala wewe tunaojua walipoanzia.
******
Majira ya saa tatu usiku mama na mwana walikuwa kitandan wote wakiwa na night dress,kitanda kilikuwa kikubwa lakin umbali wao ulikuwa karibu mno,mapigo ya moyo ya mama yalikuwa juu sana,jasho lilikuwa likimtoka mtoto kwa kasi air condition iliyokuwa inapuliza haikuwa na maana tena mama na mwana walijikuta katika hisia nzito sana za mahaba,sio mimi wala wewe tunaojua walipoanzia.
******
    Reshmail Mtoto  wa mwisho na pekee wa kike kati ya watoto wanne wa mbunge wa jimbo la  Kinondoni Mheshimiwa Msuruli Haruna,hakupata kujua shida katika maisha  yake na urembo aliojaliwa pia hakuufaham kwa sababu hakuwepo wa  kumwambia kuwa yeye ni mrembo,kuta na fensi ya sen'gen'ge iliyozunguka  mji wao haikumruhusu kutoka nje hovyo hovyo,tofauti na siku ya kwenda  msikitini Resh alilazimika kusubiri hadi alipofikisha miaka kumi na nne  alipojiunga na kidato cha kwanza katika shule ya st.marry's  international ndio alipata wasaa wa kujumuika na wananch wengne wa  Tanzania na nchi za jirani,elimu yote ya darasa la kwanza hadi la saba  aliipatia katika jumba la kifahari la baba yake.
Mazoea ya kuish maisha ya peke yake peke yake yalimtesa sana Resh kiasi kwamba hadi anamaliza kidato cha nne aliweza kuwa karibu kiurafiki na wanafunzi wachache na weng wao wakiwa wasichana tena watoto wa matajiri na vigogo mbalimbali wa serikali.Kampani kubwa ya Reshmail alikuwa ni mama yake mzazi,yalikuwa ni mazoea makubwa sana lakini yasiyoshangaza,mara nying walikuwa wanatembea pamoja huku wameshkana mikono huku wakifurah sana.
Kidato cha tano na sita katika shule ya Arusha international school ndio kwa mara wa kwanza ilimpeleka nje ya jiji la dar-es-salaam.
Resh alilia sana kutenganishwa na mama yake lakini hakuwa na jinsi ilimlazimu kuondoka,mama alishindwa kujizuia alilia kwa uchungu ambao mumewe hakuutambua maana yake. "Nitakuwa nakuja kukusalimia" bi Gaudensia alimnon'goneza mwanae wakati akipanda gari la baba yake kuelekea airport."Usiache mama".alijibu resh huku akimbusu mama yake shavuni.
Mazoea ya kuish maisha ya peke yake peke yake yalimtesa sana Resh kiasi kwamba hadi anamaliza kidato cha nne aliweza kuwa karibu kiurafiki na wanafunzi wachache na weng wao wakiwa wasichana tena watoto wa matajiri na vigogo mbalimbali wa serikali.Kampani kubwa ya Reshmail alikuwa ni mama yake mzazi,yalikuwa ni mazoea makubwa sana lakini yasiyoshangaza,mara nying walikuwa wanatembea pamoja huku wameshkana mikono huku wakifurah sana.
Kidato cha tano na sita katika shule ya Arusha international school ndio kwa mara wa kwanza ilimpeleka nje ya jiji la dar-es-salaam.
Resh alilia sana kutenganishwa na mama yake lakini hakuwa na jinsi ilimlazimu kuondoka,mama alishindwa kujizuia alilia kwa uchungu ambao mumewe hakuutambua maana yake. "Nitakuwa nakuja kukusalimia" bi Gaudensia alimnon'goneza mwanae wakati akipanda gari la baba yake kuelekea airport."Usiache mama".alijibu resh huku akimbusu mama yake shavuni.
Mwanzoni ilianza  kama utani pale Adam alipokubali ombi la Reshmail kuwa marafiki,walikuwa  wakiulizana mambo ya kawaida sana huku katika orodha ya marafiki wa  Reshmail ni Adam peke yake alikuwa mwanaume,"Mbona una marafiki wachache  au ndo umejiunga facebook?" adam alimuuliza reshmail katika moja ya  'chatings' zao "No ni uamuzi 2 iam nt interested with boys i wonder why  you?" "May be iam someone special,who knows" alijibu Adam, "You might  be" alijibu reshmail."Yani hadi mchumba wako hujamweka kwenye orodha?"  "Sina huyo mchumba unayemdhania" "What? msichana mrembo kama wewe,au  hizi picha sio zako?" "Ni zangu kwani ukiwa mrembo lazima uwe na  mpenzi?"alisisitiza Resh kisha akaendelea "Naona we upo kwenye  uhusiano,hongera" aliandika Resh,ni wanaume wachache sana akiulizwa na  msichana mrembo kama ana mpenzi halafu akubali na hata kwa Adam ilikuwa  hivyo,"Mh! nimejiandikia tu,mi sina mtu nani wa kunipenda mimi?".  Alidanganya Adam,"What! hawakioni hcho kifua chako au na wewe hiyo sio  picha yako?" 
"Ni ya kwangu,Reshmail una utani wewe" 
"Sina utani nimekipenda sana"
 "Haya asante,kwako wewe sina la kusema unavutia kila upande" 
"Asante lakini we zaidi,Adam naingia kuoga nisindikize basi" 
"Wee,si umeniambia  mnakaa wanne sa wenzako watanielewaje?" alijibu Adam huku akiamini  kwamba hayo yote yanayotokea ni utani mtupu. 
"Kwa hyo ningekuwa peke yangu ungenisindikiza?" "Yeah? ningekusindikiza lakini ningefumba macho" alitania Adam.
"Vp ninatisha sana au,yan hadi ufumbe macho sawa tu" alilalamika Resh,"Natania mrembo lakin si unajua tena nitajiumiza" 
"Ok! tuachane na hayo,simu yako inauwezo wa kufungua e-mail?" 
"Inafungua tena sasa hivi nilikuwa ninasoma emails" alijibu adam.
"Ndio hii Adamboy@Yahoo.com?" "Yap ndio hyo" "Fungua baada ya dakika tano uone zawadi yako"
Jasho jembamba huku mikono ikitetemeka,macho yakiwa yamemtoka Adam hakuamin anachokiona kwenye simu yake.
                         ****
Mazoea ya Reshmail  na mama yake kujigeuza mtu na mpenzi wake yaliwaathiri sana wawili  hawa,mara kwa mara Bi.Gaudensia alifanya safari za ghafla kwenda Arusha  kufaidi penzi la jinsia moja kutoka kwa mwanae mpendwa,raha alizozipata  hakuwa na muda wa kumfikiria mumewe tena,tabia hii ilimuathri sana  Reshmail pale shulen,licha ya urembo wake hakuwa na uhusiano wa  kimapenzi na mwanaume yeyote pale shulen bila kujalisha uwezo wao  kifedha wala sura na utanashati wao,aliwaona hawana maana kwake zaid ya  mama maskin Resh hakujua tamtam ya penzi la wanaume.
Alikuwa ni  Eveline,binti aliyekuwa anaish chumba kimoja na Resh,akiwa ni mzaliwa wa  hapohapo Arusha anayezijua kona zote za Arusha,pombe,club na ngono ndio  walikuwa marafiki zake wakubwa,alikuwa mchesh na mzuri wa sura lakin  kubwa na jema zaid alikuwa mwelevu sana darasani katika mchipuo wa  "H.G.E" pamoja na reshmail,ni jambo hilo lililowaweka wawil hawa  karibu.Mshipa wa aibu haukuwepo kichwani mwa Eveline,na kama ulikuwemo  basi haukuwa unafanya kazi vizuri,picha alizozipenda ni za uchi na movie  za ngono ndio alizokuwa anaangalia tena kwa anapandisha sauti hadi  vyumba vingne wanasikia.Ni huyu Eveline aliyemwingiza Resh katika  maswali ya kwa nini,na inakuwaje "Mbona nikifanya na mama silii kama  hao? alijiuliza Reshmail akiwa ndan ya kitanda chake huku pemben Eveline  akiwa bize na laptop yake akiangalia filamu ya ngono "Ponographics"  ......."Nitamuuliza Eve siku moja lakin nitaanzaje?" alijiuliza
Mara zote walizokuwa  wakipeana burudani kitandani au sakafuni Mama yake alikuwa ndiye  mwalimu wa kila kitu,yeye ndio alijua wapi amguse,wapi amtekenye ili  mradi kuleta raha na wote kuridhika.Lakini safari yake ya mara ya tano  kwenda Arusha kwa mpenzi wake huyo haramu ndipo alipokutana na  mshangao.Reshmail yuleyule aliyekuwa zuzu kitandani akihudumiwa kila  kitu na mama yake ili aridhike alikuwa moto wa kuotea mbali.Alimgalagaza  mama yake ipasavyo kwa ku2mia vidole vya mikono yake pamoja na ulimi  wake kutambaa kila kona ya sehemu husika .Mama reshmail (Bi.Gaudensia)  alijikuta akiongea lugha ambazo hazipo katika ulimwengu huu.Hoteli ya  Tanzanite chumba namba 18 kiligeuka kama pepo kwa wawili hawa,mama  alikuwa analia sana machozi ya furaha na mbaya na ya kuchekesha eti  akasema "Darling UTANIOA eeh!" jaman raha zikizidi sijui kilimfurahisha  nini mama huyu kwa mwanae.Kulipokucha Bi.Gaude alimrudisha mwanae  shuleni kama alivyokuwa amemwombea ruhusa."Mama huyu ni rafiki yangu  anaitwa Eveline,Eve huyu ni mama yangu mpenzi" Reshmail aliwatambulisha  baada ya kumkuta Eveline pale ofisini."Shkamoo mama" "Marahaba" alijibu  mama bila kumwangalia usoni Eveline ambaye hakujali hilo sana "Punguza  wivu sweet" Resh alimnon'goneza mama yake,ambae alitabasamu "Nakupenda  mwanangu" "Nakupenda mama" waliagana mama akaondoka kurudi kwa gogo lake  (Mumewe) huko dar.
                              * * * * *
"Ukitaka kuujua  utamu wa ngoma ingia ucheze" ndio jibu alilopewa Resh baada ya siku moja  kumuuliza eti anafaidika nini kuangalia filamu za ngono,mwanzoni  alikuwa akiangalia kwa aibu san lakini baada ya kufanikiwa kuzihamishia  kwenye "Laptop" yake mambo yakawa ya kawaida japo kwa kujificha,mara  nying alijifunika shuka na kuweka earphone masikion kisha burudani.Ni  mchezo huohuo mchafu Resh aliuiga na kwenda kujaribisha kwa 'mpenzi  mama'."Hivi Eveline kuna raha kufanya au kuangalia peke yake inatosha?"  "Haha haloooooo! unalo shosti,wenzio wakata viuno we wafurahia miguno  looh!" Vidole vikiwa juu kama muimba taarabu Eve alimchambua Resh,"Mh!  shoga si unifunze kuliko kunichambua?" alijitetea resh kwa saut ya  chini,"Ulisema huna bwana weye sasa kulikoni ya nini haya tuachie sie  wamama wa shughuli" "Eve we ni rafiki yangu ngoja nikwambie  ukweli.....mimi nampenda mtu ambaye sijui kama ananipenda au tutaendana"
"Vipi hujawah kumwona au?"
"Nimemwona kwenye picha"
"He! una makubwa we mrembo au ndo yule kwenye kompyuta yako?"
"Haswaa ndio yeye"
"Hata kama hujamuona  yule pale dume la ukweli,kile kifua usimlete kwangu nitakuibia,"  alitania Eve.kisha akaendelea "Najua hujui jinsi gani utampata niachie  hyo kazi mimi ndan ya wiki moja nakukabidh mali yako." "Asante evely  asante sana" alishukuru
* * * *
Ilikuwa ni picha ya  binti mrembo sana akiwa amejifunga taulo kwa chini huku chuchu zikiwa  nje,"Ndio natoka kuoga,vp nimetakata?" iliambatana na ujumbe ule.Adamu  alibaki mdomo wazi,mh!! hivi inawezekana akawa Reshmail dah! alishangaa  Adam.Akiwa bado mdomo wazi email nyingne iliingia ilikuwa picha  tena,safari hii ilionyesha sehemu yote ya nyuma "NIPAKE MAFUTA" ndio  ujumbe uliobeba picha hyo.Bila kujua muda gani na kwa misingi ipi Adam  alikuta pensi laini ikiwa imembana,kuja kugundua chanzo ni sehemu flani  kwenye mwili
wake ilikuwa imeongezeka ukubwa (Ha ha ha ha wanaume dhaifu sana.
Majukumu ya hapa na  pale yalikuwa yamembana sana Bi.Gaudensia ambaye ni mama yake na  Reshmail,pia uwepo wa mumewe katika himaya yake ilimnyima kabisa raha  mama huyu na alikuwa anakosa nafasi ya kwenda Arusha mara kwa mara  kufurah na mwanaye jambo ambalo lilimtesa kwa takribani mwezi mmoja na  nusu.Vipindi vya bunge vilipoanza tena ndio hapo nafasi ilipatikana  tena,kwa muda wote ambao alikuwa jijin dar-es-salaam Bi.Gaude alikuwa  akiwasiliana na mwanae karibia kila siku kwa njia ya simu,alijua ni  jinsi gan hata mwanae huyo alivyo'm-mis' hvyo aliamua kumfanyia  'surprise' ya kwenda huko Arusha shuleni bila kumwambia ili kuinogesha  furaha yao ambayo ilikuwa inakamilika kitandan."Baba Resh mie kesho  naenda kumsabah mwanetu,lakin hata simwambii nataka ashtukie tu,mama  huyo"
"Atashangaa kweli,msalimie sana mwambie nitakuja kumsalimia bunge likimalizika" "Haya,zimefika"
* * * * * *
Penzi la ku-chat  katika mtandao wa facebook lilikuwa limemchanganya sana Reshmail wa  watu,Adam hakuwa nyuma kumpa maneno matamu ya hapa na pale ambayo kamwe  alikuwa hajawah kuyasikia masikion mwake,Eve mwenyewe alimshangaa huyu  shoga yake lakin hakuwa nyuma kumpiga tafu katika mpango mzima wa kumtia  Adam majaribuni ndio maana alimshawish Resh kupga picha mbaya ambazo  mwanaume yeyote akiziangalia lazima ajiulize mara mbilimbili kuhusu  urembo asilia wa binti yule.
"Mi nipo peke yangu siku hizi rum-mate wangu ameenda kwao babake anaumwa" "Don't tell me kuwa unalala mwenyewe"
"Nitafanyaje sasa na wewe upo mbali?"
"ooh! my ghosh! assume nipo hapo"
"Aah,nitajiumiza bure tu mpenzi wangu"
"Anarudi lini kwani?"
"Mh! amesema atatumia kama wiki mbili hivi,njoo basi unipe 'kampan' kiaina"
Yalikuwa mazungumzo  kwa njia ya simu kati ya Adam na Reshmail yaliyokatishwa na na mlio wa  'low battery' katika simu ya Reshmail "Baby boy tutaongea kesho,pole  sana na ninakupenda sana" alimaliza Resh na simu ikawa imezima.
"Eveline nataka kwenda Mwanza" asubuh ya siku iliyofuata Resh alimwambia Eve.
"He! makubwa haya,imekuwaje kwan shoga" aliduwaa.
"Mi sijui lakin nataka kwenda tu" alisema Reshmail "Haya lini wataka kwenda?" 
"Hata kesho mi  naenda tu" "Mh! sikuwez haya jiandae kutoroka coz ruhusa hapa kupata  sahau" "Vyovyote poa ninachotaka ni kuondoka na kwenda Mwanza that's  all" alijibu kijasiri Resh hali iliyomduwaza eveline.
                          * * * * * *
"Reshmail hayupo?  mbona jana alikuwa hapa ofisin?" mwalimu wa zamu alikuwa anamuuliza  mwanafunzi aliyeagizwa kumuita Reshmail baada ya mama yake kuwa  amefika,"Hata mi sijui mwalimu"
"Hapana sio jambo la  kawaida reshmail kutokuwa mazingira ya shule tena jumatatu! hebu  mwambie time-keeper agonge kengere mara moja" aliamrisha mwalimu.
                               ******
Hakuwa hata na  chembe ya utani Reshmail wa watu,majira ya saa moja asubuhi tayari  alikuwa kwenye gari la KIMOTCO ninalotoka Arusha kwenda Musoma kwa  kupitia Mugumu Serengeti,kitu kinachoitwa hofu moyoni hakikuwepo hata  kwa mbali,ndani ya kipochi chake kidogo alikuwa na pesa taslimu za  kitanzania shiling laki mbili zikisindikizwa na kadi ya viza ya CRDB  iliyokuwa na uwezo wa kutoa shiling laki tano kwa siku mara nne yaani  milioni mbili zilikuwa zimehfadhiwa katika acount yake ya akiba.Mamaa wa  shughuli (Eveline) alikuwa pembeni ya Reshmail,hofu kwake haikuwepo  wala hakuiwaza tayari alikuwa mzoefu wa mambo hayo."Eveline yani akili  ndo inakuja sasa hivi eti kwa nini tusingepanda ndege dah! gari linaenda  taratibu hilo jaman" alilalama Reshmail kwa wananch wa kawaida  waliomsikia walidhani ni mashauzi na majigambo ya watoto wa kike 
"Mh? shoga ulivyokuwa na hamu ungekumbuka hayo,tutafika weye acha papara"
Gari lilizidi  kuchanja mbuga za ngorongoro kwa kasi ya kawaida hadi majira ya saa saba  tairi chakavu za gari hili zilikuwa tayari kwenye mbuga za  Serengeti,Resh alikuwa macho anatazama safari inavyokwenda huku  akihesabu masaa yanavyokatika kwa kasi huku mwisho wa safari ukiwa  haufiki.Eve yeye alikuwa ameuchapa usingzi huku akiwa amejifunika uso  wake kwa kofia yake nyeusi ambayo vumbi ilikuwa imeibadili rangi yake na  kuwa ya ugoro.(Brown).
"Eve Eve Eve,amka  uone wewe" Resh alikuwa anamwamsha kwa fujo."Angalia hii sms imeingia  sasa hv" "Resh mazako kaja unatafutwa uko wap?" jasho jembamba likaanza  kumtoka Resh lakin Eve hakushtuka sana.Walikuwa wametumiwa ujumbe mfupi  na mmoja wa viranja."Eve tumeisha tumeisha"
                             * * * * * * * *
Ulikuwa mshikemshke  wa ghafla pale shuleni mwalimu aliamuru kila mmoja aje mstarini hata  kama ni mgonjwa,viranja walitii amri na kuita wanafunzi wote kwa haraka  hakuna hata mwanafunzi mmoja aliyebaki ndani ya bweni.
Wakiwa hawajui nini  kinachoendelea mwalimu wa zamu aliyeitwa Mwl.Chipeta alikuwa mbele ya  wanafunzi waliokuwa kimya kumsikiliza yeye.”Kabla sijatoa tangazo  hili,ni nani anatambua mwanafunzi ambaye hayupo eneo hili? (Kimya) 
"Nani anaumwa na amepewa ruhusa?" (Kimya) 
"Kwa hyo wote mpo?" (Ndiooo) 
"Haya mchepuo wa  H.G.E wote pita mbele" aliamuru mwalimu Chipeta na kwa haraka wakaanza  kujongea mbele."Mamaaaaa," ghafla kelele ilisikika kuna mwanafunzi  aliyekuwa mgonjwa alikuwa ameanguka chini kwa sababu ya  kizunguzungu.Ustaarabu ukatoweka pale ghafla kila mwanafunzi akawa  anasema lake,mara hivi mara vile. Hata mwalimu Chipeta alitimua mbio  kuelekea kwenye tukio.
Ni wakat huohuo Joyce ambaye alikuwa kiranja alipata mwanya wa kutuma ujumbe kwa Reshmail kumpa taarifa.
                              *****
Roho ilikuwa  inamdunda Reshmail kwa kasi sana,aliamin kila kitu kitakuwa wazi na  atafukuzwa shule,"Eve watanielewaje wazazi mie mh! nimerokoroga"  alijisemea Reshmail.
"Upo na steringi lazima tushinde haka kavita kadogo" Eve alimpa moyo wa ujasiri Resh,"Naomba hiyo simu si ina salio kidogo"
"Imo elfu tatu"Alijibu huku akimpa simu Eve.
"Sihitaji zote hizo natumia shiling 60 tu hapa"Alijibu kwa jeuri Eve huku akionekana kujiamini zaidi.
"Sasa hyo 60 itafanya nini shogangu au umesema elfu sitini?"Alitania Resh na wote wakajikuta wanacheka.
"Dakika tano nyingi  majibu mazuri yatakuja,chukua simu yako ikiingia meseji uisome mi nalala  bibie tuliza roho yako hii sio movie ya kihindi eti stering  anauwawa,hili picha la kichina stering anachomwa kisu bado anapona"  alimaliza Eve na kushusha kofia yake ikafunika macho.
Ni kama alivyosema dakika tano zilikuwa nyingi sana ujumbe kujibiwa
"Na ufanye kweli mi  narekebisha mambo nyie tanueni kwa raha zenu na pia kuhusu yule wa H.G.L  vipi?" ulisomeka ujumbe."Mungu wangu amakweli Eve steringi jamani yaani  kirahisi hvyo" alijisemea Resh kwa sauti ya chini akidhani Eve amelala  tayari "Futa sms ya huyo mjnga nitamalizana nae" kwa saut ya kivivu Eve  alimwambia Resh.
                                    ****
Ndege ya Precion Air  ilikuwa inaondoka kutoka Musoma kwenda Dar-es-salaam kupitia Mwanza  majira ya saa kumi na moja wakati basi la KIMOTCO lilifika saa kumi na  nusu jioni,Resh aliona akipanda gari anaweza kuchelewa kwa Adam Mwanza  japo hata umbali wa Musoma kwenda Mwanza hakuufahamu."Resh ndege ya wapi  tunapata sasa hv jaman" Eve alimuuliza Resh wakiwa ndani ya 'Teksi’  kutokea stendi kuu ya Musoma maeneo ya Bweri."Tunajaribu steringi wangu"
"Haya!! utamu na uchungu wa mapenzi mwachie aliyeyabeba" alitoa fumbo Eveline.
"Dereva dereva zuia  kidogo tafadhali" ghafla Resh alimwomba dreva naye bila hiana  akazikanyaga breki bila kuuliza kulikoni. Mbio mbio Resh akashuka  akaanza kutimua mbio kurudi nyuma huku akiwa peku viatu ameacha garini  Eve,Dereva na wananchi wengine wakabaki kumshangaa.
Mwalimu Chipeta  aliongoza zoezi zima la kumshughulikia mwanafunzi aliyeanguka pale  mstarini,shule ya Arusha international ilisifika sana kwa kujali afya za  wanafunzi hivyo tukio lile lilisababisha Mwalimu Chipeta kumsahau  kabisa Bi.Gaudencia mama yake Reshmail na kwenda kushughulika ipasavyo  kwenye lile tukio,aliyekuwa ameanguka alikuwa Naomi Holela mwanafunzi  aliyekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kifua na pale kilikuwa kimembana  hasa kutokana na baridi iliyokuwepo nje. Gari ya shule ilifika haraka  Mwalimu Chipeta na viranja wawili pamoja na 'matron' walimsindikiza  Naomi hospitali. Akiwa ndani gari Mwalimu Chipeta alisikia simu yake  ikitoa mlio wa kupokea ujumbe mwanzoni alipuuzia kutokana na ubize  uliokuwa ukimkabili lakini punde alitoa simu yake na kufungua ujumbe  ulioingia 
"Niaje ticha mi Wa  ukweli nipo na Resh mbali kimtindo kama vipi rekebisha mambo huko mi  nikija nakuletea geto yule Amina wa H.K.L,niandalie tu mapene yangu" uso  wake ulisahau matatizo yote yaliyokuwa mbele yake,ni muda mrefu sasa  tangu Mwalimu Chipeta muhitimu wa shahada ya elimu ya fasihi andishi  katika chuo kikuu cha Dodoma alikuwa amemfukuzia binti mrembo wa kawaida  tu Amina bila mafanikio tegemeo lake alikuwa ni Eve au Wa ukweli kama  walivyomzoea,bila kupoteza muda Chipeta alifungua sehemu ya ku'forwad'  meseji na akaituma kwa Mwalimu.Madege ambaye wote lao lilikuwa  moja,alikuwa ni mwalimu Madege aliyeijibu ule ujumbe na kuulizia kuhusu  yeye na mpango wa kumpata binti wa H.G.L.
"Samahani wewe ndio  mama yake na Reshmail "Mwalimu Madege aliuliza baada ya Bi. Gaude  kuingia katika ofisi ya makamu mwalimu wa zamu .
"Ndio ni mimi baba"
"Kwanza samahan sana kwa usumbufu uliojitokeza"
"Usijali na mimi niwape pole kwa  matatizo yaliyojitokeza hapa"
"Tunashukuru ndio  mambo ya shule haya,eeh! mama nimepokea ujumbe sasa hivi kwamba mwanao  yupo katika mbuga za Serengeti ambapo wanafunzi watano waliofanya vizuri  walipelekwa kufanya utalii wa siku tano" alidanganya mwalimu Madege.
"Jaman huyu mtoto  mbona hakuniambia?... baba yake atafurahi sana akisikia maendeleo ya  mwanae"mama Resh alijieleza kwa furaha iliyozidi wasiwasi aliokuwa nao.
"Tuliwashtukiza  hawakuwa na taarifa hata wao wameshangaa mno" aliendelea kupanga maneno  huku akichorachora mezani kwa kutumia karamu isiyokuwa na wino.
Moyo wa mama  Reshmail uliridhika japo mwili ulikuwa na kinyongo kwa kukosa haki yake.  Ilimbidi siku hiyo hiyo afunge safari kurudi jijini Dar na zawadi  alizokuwa amemletea mwanae zikiwa mikononi mwake.
                          * * * * * *
A.T.M ya N.B.C  aliyoiona maeneo ya Nyasho ilimkumbusha kuwa kadi yake ni 'VISA'  inafanya kazi mashine ya A.T.M ya benki yoyote bila kujali macho ya watu  alitimua mbio pekupeku hadi kwenye mashine ambapo kwa bahati nzuri  hapakuwa na foleni na mtandao ulikuwepo "You can withdraw up to 1000000  with your A.T.M card daily N.B.C WE CARE" kijitangazo kwenye kioo cha  mashne kiliibua tabasamu la Reshmail,na bila ajizi akabonyeza chaguo la  kutoa laki tano kwa mikupuo miwili na kutimiza kiasi cha milioni moja,  kisha kwa mwendo wa mbio kama alivyoingia akatoka akisindikizwa na  miluzi ya wauza mitumba wa Nyasho ambayo kwake haikuwa na madhara hata  chembe
"Samahani safari  yenu imeahirishwa tafadhali hadi kesho asubuhi!" sauti nyororo ya  mwanadada wa mapokezi aliyehusika na masuala ya Booking aliwaeleza  mwanaume mmoja aliyekuwa na mpenzi wake wakitegemea kusafiri muda mfupi  ujao kwenda Mwanza.
Sura zao zilizokuwa na furaha zililegea na kuwa kama watakavyokuwa pindi wakipata wajukuu,"Haiwezekani huu ni upumbavu tena ujinga ujinga ujinga,yani safari yangu inahairishwa ghafla kama vile safari za baiskeli,hapana sipo tayari nas...."
Sura zao zilizokuwa na furaha zililegea na kuwa kama watakavyokuwa pindi wakipata wajukuu,"Haiwezekani huu ni upumbavu tena ujinga ujinga ujinga,yani safari yangu inahairishwa ghafla kama vile safari za baiskeli,hapana sipo tayari nas...."
"shhhhh!!" kwa  ishara ya kidole kimoja kuziba mdomo alinyamazishwa yule baba aliyetaka  kuugeuza ukumbi ule uwanja wa mapambano na matusi. Kwa ishara nyingine  yule dada akamwita akasogea pale alipo akamnon'goneza "Unawaona wale  wasichana wawili,mmoja kimada wa mtoto wa raisi mwingne mtoto wa kamanda  wa jeshi ni simu kutoka ikulu,kwa usalama wako acha kelele" alimwambia  huku akimwelekezea walipo Resh na Eve. Bila kuhoji huku uoga ukimtawala  hadhi yake ikashuka haraka haraka akamvuta mkewe wakaondoka wakawapisha  kwa mbali Resh na Eve kama vile wanatema cheche za moto.
* * * * *
Ni kweli nafasi zilikuwa zimejaa lakini pesa iliongea nafasi ya mtu mwingine wakapewa wao tena harakaharaka,huku mtendaji wa jambo hilo akiweka shilingi laki mbili na nusu kibindoni. Huku Resh na Eve wakipata nafasi katika ndege ya Precision Air kiulaini,kwa mara ya kwanza Eve anapanda ndege "Mh! ushoga nao raha wakati mwingine” alijisemea wakati muhudumu wa ndani ya ndege akitoa maelekezo madogomadogo.
Ilikuwa kama safari ya kutoka Kimara Dar kwenda Mbagala,tayari walikuwa jiji la Mwanza
* * * * *
Ni kweli nafasi zilikuwa zimejaa lakini pesa iliongea nafasi ya mtu mwingine wakapewa wao tena harakaharaka,huku mtendaji wa jambo hilo akiweka shilingi laki mbili na nusu kibindoni. Huku Resh na Eve wakipata nafasi katika ndege ya Precision Air kiulaini,kwa mara ya kwanza Eve anapanda ndege "Mh! ushoga nao raha wakati mwingine” alijisemea wakati muhudumu wa ndani ya ndege akitoa maelekezo madogomadogo.
Ilikuwa kama safari ya kutoka Kimara Dar kwenda Mbagala,tayari walikuwa jiji la Mwanza
"Eve rushwa tamu  wewe,naamini haitaisha ona sasa tupo Mwanza tayari" Resh alimwambia Eve  wakati wanasafisha macho yao wajue nini cha kufanya baada ya kushuka  kutoka kwenye ndege.
"Hoteli yenu ni nzuri?" Eve alimuuliza muhusika aliyekuwa ndani ya kigari kidogo kilichoandikwa Millenium Hotels kilichokuwa hapo kwa lengo la kutafuta wateja wanaotua na ndege uwanjani hapo,"Ni nzuri sana hautajuta kuwa pale.”
"Hoteli yenu ni nzuri?" Eve alimuuliza muhusika aliyekuwa ndani ya kigari kidogo kilichoandikwa Millenium Hotels kilichokuwa hapo kwa lengo la kutafuta wateja wanaotua na ndege uwanjani hapo,"Ni nzuri sana hautajuta kuwa pale.”
"Mh! haya,Resh twende giza linaingia" Eve alimwita Resh wakajitoma ndani ya gari na safari ikaanza. 
"Darling umetoka kwenye michezo tayari pole mpenzi" ulikuwa ujumbe mfupi kutoka kwa Adam kuja kwa Resh,tabasamu pana likameza mdomo wake looh! lilikuwa tabasamu lililoelezea furaha ya moyo.
Adam alituma ujumbe huo akijua Resh yupo shuleni tena ilikuwa siku ya michezo ambayo Resh alipenda kushiriki hasahasa mpira wa kikapu.
"Mamaaaaa!!"Resh alipiga kelele ghafla gari ikayumba huku na huko,dereva akajaribu kwa uwezo wake wote kuirudisha barabarani "Paaaa!!" mlio mkubwa ukasikika.
"Darling umetoka kwenye michezo tayari pole mpenzi" ulikuwa ujumbe mfupi kutoka kwa Adam kuja kwa Resh,tabasamu pana likameza mdomo wake looh! lilikuwa tabasamu lililoelezea furaha ya moyo.
Adam alituma ujumbe huo akijua Resh yupo shuleni tena ilikuwa siku ya michezo ambayo Resh alipenda kushiriki hasahasa mpira wa kikapu.
"Mamaaaaa!!"Resh alipiga kelele ghafla gari ikayumba huku na huko,dereva akajaribu kwa uwezo wake wote kuirudisha barabarani "Paaaa!!" mlio mkubwa ukasikika.
    *******************
Adam alipokea ujumbe  kutoka kwa Reshmail akiwa maeneo ya kijiweni barabara ya lami kuelekea  chuo kikuu cha mtakatifu Augustino,kupitia shule ya wasichana ya  Ngaza.Adam alikuwa pamoja na rafiki yake (Huha) katika pikipiki ya  rafiki yao aliyekuwa amewaazimisha wazungukiezungukie maeneo.
"Huha hebu endesha twende hapo Nyegezi kona kuna mtu nataka kuonana naye mara moja" Adam alimwomba Huha.
"Tayari Halima ametuma meseji mwambie hatuna mafuta atufate na gari yake bwana" Alitania Huha huku akianza kuiondoa pikipiki taratibu
"Tayari Halima ametuma meseji mwambie hatuna mafuta atufate na gari yake bwana" Alitania Huha huku akianza kuiondoa pikipiki taratibu
"Ungejua hata usingesema wewe twende ukajionee maajabu ya mwaka" alijibu Adamu huku pikipiki ikizidi kushika kasi.
Ndani ya dakika tano tayari walikuwa Nyegezi kona ambapo Huha alipaki pembezoni kidogo na barabara iendayo stendi kuu ya Nyegezi jijini Mwanza,Adam alielekea dukani kununua vocha,na Huha akasogea pembeni kidogo aweze kuvuta sigara yake.
Ndani ya dakika tano tayari walikuwa Nyegezi kona ambapo Huha alipaki pembezoni kidogo na barabara iendayo stendi kuu ya Nyegezi jijini Mwanza,Adam alielekea dukani kununua vocha,na Huha akasogea pembeni kidogo aweze kuvuta sigara yake.
                                     ***
Dereva akiwa mwingi wa mawazo yake binafsi yasiyomuhusu Reshmail wala Eve na hata kama yangekuwa yanawahusu ule haukuwa muda muafaka wa kuwaambia.Macho ya Reshmail yalikuwa yamekutana na bango kubwa lililoandikwa "KARIBU CHUO KIKUU CHA MTAKATIFU AUGUSTINO" kwa hamu kubwa aliyokuwa nayo ya kumwona Adam ambaye alikuwa pia mwanafunzi ndani ya chuo hicho ndio sababu kuu ya kujikuta akipiga kelele kwa nguvu hali iliyomshtua dereva kutoka katika mawazo mazito na kujikuta akiyumbisha gari huku na huko hadi ilipokutana na pikipiki iliyokuwa imepakiwa pembezoni mwa barabara na kuirusha umbali ambao si wa kutisha sana,iligeuka vurumai madereva wa teksi na bodaboda za pikipiki walikuwa wakali sana hawakutaka kusikia la mtu,wengine hasira za kukosa abiria tangu waingie kijiweni asubuhi walizihamishia katika tukio hilo. Usingekuwa upole wa yule dereva basi mawe waliyobeba wananchi yangeigeuza ile gari kuwa mkweche. Eveline alitelemka garini kwenda kumsaidia dereva kujitetea lakini Reshmail uoga ulimtawala akawa amejibana kwenye viti vya nyuma vya ile gari huku akitetemeka. "Mh! Adam hawezi kukosa mwenyeji maeneo haya ngoja nijaribu kumpigia,ah! hii safari imetawaliwa na mikosi dah!" aliwaza Resh huku akichukua simu yake kutoka katika kipochi chake.
Dereva akiwa mwingi wa mawazo yake binafsi yasiyomuhusu Reshmail wala Eve na hata kama yangekuwa yanawahusu ule haukuwa muda muafaka wa kuwaambia.Macho ya Reshmail yalikuwa yamekutana na bango kubwa lililoandikwa "KARIBU CHUO KIKUU CHA MTAKATIFU AUGUSTINO" kwa hamu kubwa aliyokuwa nayo ya kumwona Adam ambaye alikuwa pia mwanafunzi ndani ya chuo hicho ndio sababu kuu ya kujikuta akipiga kelele kwa nguvu hali iliyomshtua dereva kutoka katika mawazo mazito na kujikuta akiyumbisha gari huku na huko hadi ilipokutana na pikipiki iliyokuwa imepakiwa pembezoni mwa barabara na kuirusha umbali ambao si wa kutisha sana,iligeuka vurumai madereva wa teksi na bodaboda za pikipiki walikuwa wakali sana hawakutaka kusikia la mtu,wengine hasira za kukosa abiria tangu waingie kijiweni asubuhi walizihamishia katika tukio hilo. Usingekuwa upole wa yule dereva basi mawe waliyobeba wananchi yangeigeuza ile gari kuwa mkweche. Eveline alitelemka garini kwenda kumsaidia dereva kujitetea lakini Reshmail uoga ulimtawala akawa amejibana kwenye viti vya nyuma vya ile gari huku akitetemeka. "Mh! Adam hawezi kukosa mwenyeji maeneo haya ngoja nijaribu kumpigia,ah! hii safari imetawaliwa na mikosi dah!" aliwaza Resh huku akichukua simu yake kutoka katika kipochi chake.
Lakini kelele  zilizokuwa pale aliamini hawezi kusikilizana vizuri na upande wa  pili,taratibu huku akitetemeka alifungua mlango akashuka na kuanza  kutembea kuelekea pahali ambapo kidogo pametulia. Zaidi ya asilimia 50  ya wananchi wenye hasira eneo lile wakageuza vichwa vyao kuangalia kazi  ya Mungu ilivyotendeka vyema katika mwili wa Reshmail,badala ya kumpigia  kelele dereva,miluzi mikali ikiongozwa na dereva mkongwe wa teksi eneo  lile ndugu Sanya Bonda ikahamia kwa Reshmail,Resh akajifanya kama  hasikii vile "Ilikuwa haki ya dereva kupotea njia jamani" Bonda alisema  kwa sauti ya juu na kugeuza hasira za watu kuwa vicheko. Resh taratibu  akaufikia mti mdogo mbali na eneo la tukio akabonyeza namba za Adam.  Simu iliita muda mrefu bila kupokelewa. Alipopiga mara ya pili simu  ilipokelewa."Helow Resh subiri nisogee pembeni nakupigia kuna tatizo  limenipata" alijibiwa na Adam katika simu.
"Hata mi....." kabla hajamalizia kauli yake Reshmail simu ilikatwa akiwa bado anaduwaa kama dakika mbili pembeni yake alizengea kijana mmoja ambaye Resh hakutaka hata kumwangalia machoni,alijua ni walewale waliokuwa wakipiga miluzi na kumwita majina waliyotaka. Resh taratibu akajisogeza pemben."Vipi dada mbona wanikimbia au mi nanuka halafu we mrembo haya basi umebarikiwa sana najua unataka kusifiwa" aliongea yule kijana lakini Resh hakujibu.Simu yake ya mkononi iliyokuwa katika mfumo wa kimya(Silence mode) ilikuwa inatoa mwanga kuashiria aidha kuna ujumbe umeingia au kuna simu inaingia,lakini kwa jinsi alivyoandamwa na yule kaka kwa maneno hata hakuweza kugundua.
Baada ya dakika kadhaa akaondoka yule kaka ndipo kuangalia simu akagundua ilikuwa imeita mpaka imekata na hakuwa mwingine bali ni Adam alikuwa amepiga,harakaharaka akapiga tena. Ulikuwa mshangao wa hali ya juu sana Reshmail hakuamini alipomwona yule kijana aliyekuwa ametokea pale dakika chache zilizopita kuelekea kwenye zile vurugu ndio anapokea simu."Resh mbona nimekupigia hupokei mamaa" alimshuhudia yule kaka akiongea kwenye simu huku akirejea lile eneo kukwepa kelele,kama ilivyo kwa mtu aliyenaswa na umeme Reshmail alikuwa ametulia tuli na simu sikioni huku yule kaka akizidi kulikaribia eneo lile “Reshmail mbona huongei!!” aliendelea kuuliza bila kupata majibu."Adam" alijitutumua Resh na kutamka akiwa jirani naye kabisa,bila kujua yule kijana akaangusha simu yake hakuamini msichana aliyetoka kuongea nae dakika kadhaa ndio Reshmail wa Arusha.
***
Vurumai lilisawazishwa haraka sana Adam na Huha ndio waliokuwa wamiliki wa ile pikipiki iliyogongwa na gari waliyokuwemo akina Reshmail."Jamani huyu hapa ni dada yangu,ndio alikuwa amenipigia simu tuonane hapa naomba haya mtuachie sisi" Adam aliuambia umati ule ambao hasira zao zilikuwa zimeanza kupoa na haraka walimwelewa wakaacha kumzonga dereva.Reshmail bila kupoteza muda akamwongoza Adam wakaingia garini akampa pesa taslimu shilingi laki tatu kwa ajiri ya matengenezo ya ile pikipiki naye Adam akamkabidhi Huha kisha akajumuika na Eve pamoja na Reshmail katika gari,huku Reshmail akiwaacha watu hoi kwa uzuri wake wa asilia ambao hata Adam alikuwa amechachawa nao na kukubaliana na ukweli kwamba picha zilizotumwa zilikuwa za Resh kweli.
"Hata mi....." kabla hajamalizia kauli yake Reshmail simu ilikatwa akiwa bado anaduwaa kama dakika mbili pembeni yake alizengea kijana mmoja ambaye Resh hakutaka hata kumwangalia machoni,alijua ni walewale waliokuwa wakipiga miluzi na kumwita majina waliyotaka. Resh taratibu akajisogeza pemben."Vipi dada mbona wanikimbia au mi nanuka halafu we mrembo haya basi umebarikiwa sana najua unataka kusifiwa" aliongea yule kijana lakini Resh hakujibu.Simu yake ya mkononi iliyokuwa katika mfumo wa kimya(Silence mode) ilikuwa inatoa mwanga kuashiria aidha kuna ujumbe umeingia au kuna simu inaingia,lakini kwa jinsi alivyoandamwa na yule kaka kwa maneno hata hakuweza kugundua.
Baada ya dakika kadhaa akaondoka yule kaka ndipo kuangalia simu akagundua ilikuwa imeita mpaka imekata na hakuwa mwingine bali ni Adam alikuwa amepiga,harakaharaka akapiga tena. Ulikuwa mshangao wa hali ya juu sana Reshmail hakuamini alipomwona yule kijana aliyekuwa ametokea pale dakika chache zilizopita kuelekea kwenye zile vurugu ndio anapokea simu."Resh mbona nimekupigia hupokei mamaa" alimshuhudia yule kaka akiongea kwenye simu huku akirejea lile eneo kukwepa kelele,kama ilivyo kwa mtu aliyenaswa na umeme Reshmail alikuwa ametulia tuli na simu sikioni huku yule kaka akizidi kulikaribia eneo lile “Reshmail mbona huongei!!” aliendelea kuuliza bila kupata majibu."Adam" alijitutumua Resh na kutamka akiwa jirani naye kabisa,bila kujua yule kijana akaangusha simu yake hakuamini msichana aliyetoka kuongea nae dakika kadhaa ndio Reshmail wa Arusha.
***
Vurumai lilisawazishwa haraka sana Adam na Huha ndio waliokuwa wamiliki wa ile pikipiki iliyogongwa na gari waliyokuwemo akina Reshmail."Jamani huyu hapa ni dada yangu,ndio alikuwa amenipigia simu tuonane hapa naomba haya mtuachie sisi" Adam aliuambia umati ule ambao hasira zao zilikuwa zimeanza kupoa na haraka walimwelewa wakaacha kumzonga dereva.Reshmail bila kupoteza muda akamwongoza Adam wakaingia garini akampa pesa taslimu shilingi laki tatu kwa ajiri ya matengenezo ya ile pikipiki naye Adam akamkabidhi Huha kisha akajumuika na Eve pamoja na Reshmail katika gari,huku Reshmail akiwaacha watu hoi kwa uzuri wake wa asilia ambao hata Adam alikuwa amechachawa nao na kukubaliana na ukweli kwamba picha zilizotumwa zilikuwa za Resh kweli.
***
Bi Gaudensia alifika Dar-es-salaam majira ya saa tatu usiku,bado alikuwa hajaridhika kumaliza siku yake bila kuongea na mwanae,hivyo punde tu baada ya kuingia chumbani mwake aliamua kujaribu kupiga namba za simu za Reshmail ambazo zilikuwa hazipatikani siku nzima. Furaha aliyoipata ilikuwa haisimuliki,pale simu ilipoita upande wa pili"Mh! kalala nini huyu?" alijiuliza simu ilivyoita kwa muda mrefu bila kupokelewa,lakini mara ikapokelewa
 "Helow! samahani  Reshmail amelala" sauti ya kiume ilijibu baada ya kupokea kisha simu  ikakatwa na kuzimwa. Mama Resh hakuamini kuwa amesikia sauti ya kiume  katika simu ya mwanae alidhani amekosea namba lakini alipohakikisha  zilikuwa zenyewe,wivu mkali ukamshika,akajaribu kupiga mara nyingi  lakini bado hali ilikuwa ileile simu ilikuwa imezimwa usingizi  ulipaa,alitokwa na jasho,hisia mbaya zikamvuruga na kufanya kichwa chake  kiume sana,mama huyu alikuwa amejisahau kabisa kuwa Reshmail ni mwanae  wa kumzaa, alizurura kama mtu anayetafuta kitu ambacho amesahau  alipokiweka pale chumbani,alitamani kupiga kelele lakini aliamini  hazitasaidia kitu.
***
Reshmail akiwa usingizini Adam pembeni yake,yeye(Resh) alikuwa hoi kwa uchovu wa safari na misukosuko yote waliyopitia,na alipomaliza kuoga tu na kupata chakula alisinzia,hata simu yake ilipoita hakuisikia hata kidogo na hata angeisikia asingeweza kunyanyuka kupokea "Resh ni kipetito anapiga" Adam alimuuliza Resh aliyekuwa hoi kitandani."Ah! ni rafiki yangu mwambie nimelala" alijibu kwa taabu akiwa hata hajui anachokiongea. Naye Adam bila kugundua kwamba Resh hajui anachokisema na ile namba ni ya mama yake Resh alipokea na kuzungumza
***
Reshmail akiwa usingizini Adam pembeni yake,yeye(Resh) alikuwa hoi kwa uchovu wa safari na misukosuko yote waliyopitia,na alipomaliza kuoga tu na kupata chakula alisinzia,hata simu yake ilipoita hakuisikia hata kidogo na hata angeisikia asingeweza kunyanyuka kupokea "Resh ni kipetito anapiga" Adam alimuuliza Resh aliyekuwa hoi kitandani."Ah! ni rafiki yangu mwambie nimelala" alijibu kwa taabu akiwa hata hajui anachokiongea. Naye Adam bila kugundua kwamba Resh hajui anachokisema na ile namba ni ya mama yake Resh alipokea na kuzungumza
Kitendo cha Adam  kumkuta Reshmail akiwa bado ni bikra kilimzuzua sana,mapenzi yake kwa  Halima yalipungua sana na kuisha kabisa hatimaye. Siku tatu mfululizo  walizotumia pale Millenium Hotel zilitosha kuvunjilia mbali penzi la  Adam na Halima na kujenga penzi imara kati ya Adam na Reshmail.
"Mwezi wa pili uje ujitambulishe nyumbani Adam yaani siwezi kusubiri kwa kweli nakupenda Adam wewe ni mwanaume wangu wa kwanza na ninakuahidi nitajitunza kwa ajili yako" Reshmail alikuwa anamsisitiza Adam siku alipokuwa amewasindikiza uwanja wa ndege tayari kwa wawili hawa kurejea Arusha shuleni.
"Mama anapiga! Eve" Resh alimwambia Eve pale simu yake ilivyoita."He! usiniambie huyo ndio mama,sasa mbona ulikubali niongee nae usiku ule? aliduwaa Adam.
"Mwezi wa pili uje ujitambulishe nyumbani Adam yaani siwezi kusubiri kwa kweli nakupenda Adam wewe ni mwanaume wangu wa kwanza na ninakuahidi nitajitunza kwa ajili yako" Reshmail alikuwa anamsisitiza Adam siku alipokuwa amewasindikiza uwanja wa ndege tayari kwa wawili hawa kurejea Arusha shuleni.
"Mama anapiga! Eve" Resh alimwambia Eve pale simu yake ilivyoita."He! usiniambie huyo ndio mama,sasa mbona ulikubali niongee nae usiku ule? aliduwaa Adam.
"Eti! uliongea nae?  Yesu wangu!" alishtuka Resh lakini Eve akamshauri azime simu kwanza  mengineyo watajua mbele kwa mbele naye Resh akatii amri hiyo haraka  akaizima simu bila kupokea Resh kwa kiasi kukuwa alikuwa amemzoea na  kumwamini Eve.
Adam,Resh,na Eve waliagana kama watu waliofahamia na kukaa pamoja siku nyingi sana,Resh alimkumbatia Resh alimkumbatia Adam kwa muda mrefu hadi Eve alipowatenganisha na kuambiana Kwaheri.
***
Ilikuwa imebaki miezi minne wafanye mtihani wa kumaliza kidato cha tano,Resh akiwa amekolea katika penzi la Adam na kusahau kuhusu
Adam,Resh,na Eve waliagana kama watu waliofahamia na kukaa pamoja siku nyingi sana,Resh alimkumbatia Resh alimkumbatia Adam kwa muda mrefu hadi Eve alipowatenganisha na kuambiana Kwaheri.
***
Ilikuwa imebaki miezi minne wafanye mtihani wa kumaliza kidato cha tano,Resh akiwa amekolea katika penzi la Adam na kusahau kuhusu
Mama yake ambaye  alikuwa amezuiwa na mwanaye huyo kwenda pale shuleni kumsalimia kwa  madai kwamba yeye(Reshmail) anataka ajikite zaidi katika masomo.  Reshmail kwa maksudi akabadilisha namba yake ya simu ili mama yake  asiweze kumpata mara kwa mara badala yake muda mwingi akawa anawasiliana  na Adam.
Mwezi wa pili ilikuwa ni likizo ya mwezi mzima kwa wanafunzi wa kidato cha tano na cha sita na pia wakati huohuo wanafunzi wa chuo kikuu cha mtakatifu Augustino huwa katika mapumziko mafupi baada ya kumaliza muhula(Semister) ya kwanza. Kwa Reshmail ulikuwa wakati muafaka wa kumtambulisha Adam kwa wazazi wake jambo ambalo aliamini lingesaidia kupunguza makali ya mama yake. Tangu akiwa mtoto kamwe hakuwahi kuwakwaza wazazi wake kwa sababu ya wanaume hata siku moja hivyo alitegemea hawatampinga.
Ilikuwa siku ya furaha kubwa sana kwa Bi. Gaudencia na familia yote kwa ujumla kumwona tena Reshmail nyumbani baada ya miezi mingi tena akiwa mwingi wa furaha. Lakini tofauti na mama yake alivyofikiria kwamba mwanae huyo anafurahia kurudi katika ulimwengu wao wa mapenzi haramu yeye(Reshmail) alikuwa anafuraha ya kumtambulisha Adam ndani ya siku chache.
Kwa kujua wazi kabisa mama yake atachukizwa na maamuzi yake hayo,Reshmail aliamua kulifikisha hilo mbele ya Mzee. Manyama ambaye ni baba yake.
Mwezi wa pili ilikuwa ni likizo ya mwezi mzima kwa wanafunzi wa kidato cha tano na cha sita na pia wakati huohuo wanafunzi wa chuo kikuu cha mtakatifu Augustino huwa katika mapumziko mafupi baada ya kumaliza muhula(Semister) ya kwanza. Kwa Reshmail ulikuwa wakati muafaka wa kumtambulisha Adam kwa wazazi wake jambo ambalo aliamini lingesaidia kupunguza makali ya mama yake. Tangu akiwa mtoto kamwe hakuwahi kuwakwaza wazazi wake kwa sababu ya wanaume hata siku moja hivyo alitegemea hawatampinga.
Ilikuwa siku ya furaha kubwa sana kwa Bi. Gaudencia na familia yote kwa ujumla kumwona tena Reshmail nyumbani baada ya miezi mingi tena akiwa mwingi wa furaha. Lakini tofauti na mama yake alivyofikiria kwamba mwanae huyo anafurahia kurudi katika ulimwengu wao wa mapenzi haramu yeye(Reshmail) alikuwa anafuraha ya kumtambulisha Adam ndani ya siku chache.
Kwa kujua wazi kabisa mama yake atachukizwa na maamuzi yake hayo,Reshmail aliamua kulifikisha hilo mbele ya Mzee. Manyama ambaye ni baba yake.
"Kwa sababu ni  uchumba tu na hakupeleki popote hamna tatizo hata kidogo,mlete tu  mwanangu mlete una maamuzi mazuri sana sio kama wasichana wengine  wanafanya upuuzi kimyakimya mambo yanapokuwa mabaya ndio wanasema"  alijibu mzee.Manyama huku akimshika mwanae huyo shavuni,Resh akatabasamu  na kumkumbatia baba yake "I love you dad(Nakupenda baba)" Resh  akamwambia kwa furaha tele mzazi wake huyo,huku moyoni akijiaminisha  kwamba hapatakuwa na kikwazo tena kwa mama yake kwani baba ndiye kichwa  cha familia.
Baada ya siku tano Adam aliwasili ndani ya kasri la mbunge huyu.Alikuwa anaogopa na hakuamini kama angepokelewa na kama angepokelewa alijua yatakuwa mapokezi mabaya sana kwani katika simulizi mbalimbali anazozisikia kwa watu zilimwonyesha kwamba ni vigumu sana kwa wazazi kumwelewa mtoto wa kike linapokuja suala la kumtambulisha mwanaume kama mchumba wake.
Baada ya siku tano Adam aliwasili ndani ya kasri la mbunge huyu.Alikuwa anaogopa na hakuamini kama angepokelewa na kama angepokelewa alijua yatakuwa mapokezi mabaya sana kwani katika simulizi mbalimbali anazozisikia kwa watu zilimwonyesha kwamba ni vigumu sana kwa wazazi kumwelewa mtoto wa kike linapokuja suala la kumtambulisha mwanaume kama mchumba wake.
"Da Rosemary nina  hofu mie" Adam alimwambia dada yake kipenzi waliyekuwa wameongozana naye  "Acha uoga bro mbona hata sisi babu yetu alikuwa chifu? kwani chifu na  mbunge nani zaidi" alitania Rosemary kumwondoa hofu kaka yake.Mapokezi  waliyoyapata kutokea kituo kikuu cha mabasi yaendayo mikoani cha Ubungo  yaliwashangaza mno waliwakuta watu wa kuwapokea na kwenda nao kwenye  gari mbili walizokuja nazo,waliwafikisha hadi getini ambapo kina dada  wawili kwa heshima kabisa waliwaongoza hadi sehemu maalum iliyoandaliwa  kwa ajili yao,japo usoni waliuficha mshangao wao lakini moyoni uliwajaa  tele.Adam akiwa ndani ya suti nyeusi wanazotumia wanasheria katika  shughuli zao na Rosemary aliyevaa suti pia walielekezwa wapi walipo  wazazi wa Reshmail wakaenda kutoa salamu zao,ilikuwa ni hafla kubwa sana  ndugu,jamaa na marafiki wapatao miamoja walikuwa wamealikwa na  mheshimiwa huyu. Ilikuwa kama harusi kwa asiyejua lakini ulikuwa  utambulisho tu.
Bwana na bibi Manyama walipendeza kwelikweli na walikuwa na kila haki ya kuitwa wakwe na Adam. Furaha ya Bi. Gaudencia ilificha chuki aliyokuwa nayo moyoni dhidi ya Adam kwa kumchukua mwanae ambaye ndio alikuwa anampa raha zote za dunia.
Bwana na bibi Manyama walipendeza kwelikweli na walikuwa na kila haki ya kuitwa wakwe na Adam. Furaha ya Bi. Gaudencia ilificha chuki aliyokuwa nayo moyoni dhidi ya Adam kwa kumchukua mwanae ambaye ndio alikuwa anampa raha zote za dunia.
Hadi hafla inafikia  tamati majira ya saa mbili usiku kila mtu alikuwa amepata furaha kubwa  sana,wabunge na madiwani ambao ni marafiki wa karibu wa Manyama walitoa  zawadi nyingi kwa wawili hawa huku babu yake Reshmail akitoa mawaidha  yenye maana kubwa sana katika maisha waliyotarajia kuyaishi Reshmail na  Adam siku za usoni.
Mzee Manyama kwa ombi la mwanae aliwasiliana na wazazi wa Adam kuwa muda wa mapumziko ya siku tano alizobakiza Adam amalizie katika familia yake,hapakuwa na kinyongo wala kipingamizi chochote walikubali kwa moyo mmoja na Adam akaendelea kuishi pale huku dada yake akirejea Mwanza kwa usafiri wa ndege ambao gharama zote zilikuwa juu ya mheshimiwa Manyama. Kila alipowasiliana na wazazi wake Adam hakusita kuelezea upendo wa kipekee anaoupata kutoka familia ya Reshmail hata wao walifarijika sana.
***
Ilikuwa jumapili moja tulivu sana baada ya kutoka kanisani familia yote akiwemo pia Adam,baba yake Reshmail aliongozana na mwanae kwenda mjini kwa lengo kuu la kuonana na walimu mbalimbali wa masomo ya ziada(Tution) watakaompendeza Reshmail basi waweze kumfundishia nyumbani.
Huku nyuma alibaki Adam pamoja na mkwewe (Mama Reshmail) baada ya kupata kifungua kinywa Adam alimwaga mkwewe kuwa anaenda kuzungukazunguka bustanini "Tena nilitaka nikwambie leo unataka uondoke hata bustanini hujawahi kufika,afadhali nenda mwanangu" alijibu mama Reshmail.
Mzee Manyama kwa ombi la mwanae aliwasiliana na wazazi wa Adam kuwa muda wa mapumziko ya siku tano alizobakiza Adam amalizie katika familia yake,hapakuwa na kinyongo wala kipingamizi chochote walikubali kwa moyo mmoja na Adam akaendelea kuishi pale huku dada yake akirejea Mwanza kwa usafiri wa ndege ambao gharama zote zilikuwa juu ya mheshimiwa Manyama. Kila alipowasiliana na wazazi wake Adam hakusita kuelezea upendo wa kipekee anaoupata kutoka familia ya Reshmail hata wao walifarijika sana.
***
Ilikuwa jumapili moja tulivu sana baada ya kutoka kanisani familia yote akiwemo pia Adam,baba yake Reshmail aliongozana na mwanae kwenda mjini kwa lengo kuu la kuonana na walimu mbalimbali wa masomo ya ziada(Tution) watakaompendeza Reshmail basi waweze kumfundishia nyumbani.
Huku nyuma alibaki Adam pamoja na mkwewe (Mama Reshmail) baada ya kupata kifungua kinywa Adam alimwaga mkwewe kuwa anaenda kuzungukazunguka bustanini "Tena nilitaka nikwambie leo unataka uondoke hata bustanini hujawahi kufika,afadhali nenda mwanangu" alijibu mama Reshmail.
     Ulikuwa mpango  kabambe uliosukwa na Bi.      Gaudencia,kwa dhumuni kuu la kumwondolea  mamlaka Adam ya kuwa na Reshmail. Kwa kuwatumia vijana kutoka katika  ngome ya vigogo,ngome maalum iliyokuwa inatumiwa na watu wenye pesa zao  kwa ajili ya kuwatenda vibaya watu wanaoonekana kuingilia mambo yao  aidha kimapenzi au kibiashara.Alipoaga anaenda bustanini Gaudencia  alitumia fursa hiyo kupiga simu kwa wanaume hao wa shoka ambao tayari  alikiwa ameelewana nao bei.
"Ndani ya dakika tano tutakuwa hapo” ndio jibu lililotolewa upande wa pili
Bila kuongezea lolote Bi.Gaudencia alikata simu yake na kutoka nje.
"Babu kwa mama Veneranda si unapajua?" alitoa swali hlo Bi. Gaudencia kwenda kwa mlinzi wao wa getini.
"Ndio si yule mama anayesuka pale mbele"
”Hapo hapo haya haraka nenda kaniangalizie kama kuna foleni kubwa" aliamrisha Bi. Gaude na mlinzi akatii amri hiyo haraka haraka akaondoka katika lindo lake akaenda kutimiza amri ya bosi wake.
Baada ya dakika takribani kumi alirejea mlinzi yule "Yupo mmoja tu anamaliziwa" alileta taarifa hiyo kwa furaha.
"Haya mi ninatoka nimemwacha Adam ndani amelala akiamka mwambie nimetoka kidogo" alisema mama Reshmail huku akiondoka.
Bila kuongezea lolote Bi.Gaudencia alikata simu yake na kutoka nje.
"Babu kwa mama Veneranda si unapajua?" alitoa swali hlo Bi. Gaudencia kwenda kwa mlinzi wao wa getini.
"Ndio si yule mama anayesuka pale mbele"
”Hapo hapo haya haraka nenda kaniangalizie kama kuna foleni kubwa" aliamrisha Bi. Gaude na mlinzi akatii amri hiyo haraka haraka akaondoka katika lindo lake akaenda kutimiza amri ya bosi wake.
Baada ya dakika takribani kumi alirejea mlinzi yule "Yupo mmoja tu anamaliziwa" alileta taarifa hiyo kwa furaha.
"Haya mi ninatoka nimemwacha Adam ndani amelala akiamka mwambie nimetoka kidogo" alisema mama Reshmail huku akiondoka.
“sawa bosi nitamwambia”
Masaa mawili badae alirejea akiwa amesukwa tayari nywele zake,ni muda huohuo Reshmail na baba yake walikuwa wametoka mizungukoni,walimkuta Gaudencia anatokea ndani. "Babu Adam alivyoamka ameenda wapi? au bustanini?"Aliuliza Gaudencia na kuongezea "Maana nimegonga chumbani kwake kimya,hebu Reshmail ingia ukamwangalie ndani mwake humo huenda amelala bado" kwa mwendo wa maringo lakini harakaharaka Reshmail alijongea ndani.
"Babu unasema Adam hajatoka?" Resh aliuliza baada ya kurejea akiwa na hofu kidogo usoni.
"Hajatoka na mimi hapa sijatoka tangu mama alipoenda kusuka na kumwacha Adam amelala" alijieleza mlinzi yule jibu lililopokelewa kwa furaha na Bi.Gaudencia.
Jambo gumu zaidi kwa ambao hawakujua janja ya mama huyu ni kwamba simu ya Adam ilikuwa haipatikani hali hiyo ilileta wasiwasi sana,walisubiri huenda atarudi hadi jioni hali ilikuwa tete ndipo mzee Manyama alipoamua kupiga simu kituo cha polisi maeneo ya jirani kwa sababu alikuwa mbunge msako ulianza usiku huohuo.
Masaa mawili badae alirejea akiwa amesukwa tayari nywele zake,ni muda huohuo Reshmail na baba yake walikuwa wametoka mizungukoni,walimkuta Gaudencia anatokea ndani. "Babu Adam alivyoamka ameenda wapi? au bustanini?"Aliuliza Gaudencia na kuongezea "Maana nimegonga chumbani kwake kimya,hebu Reshmail ingia ukamwangalie ndani mwake humo huenda amelala bado" kwa mwendo wa maringo lakini harakaharaka Reshmail alijongea ndani.
"Babu unasema Adam hajatoka?" Resh aliuliza baada ya kurejea akiwa na hofu kidogo usoni.
"Hajatoka na mimi hapa sijatoka tangu mama alipoenda kusuka na kumwacha Adam amelala" alijieleza mlinzi yule jibu lililopokelewa kwa furaha na Bi.Gaudencia.
Jambo gumu zaidi kwa ambao hawakujua janja ya mama huyu ni kwamba simu ya Adam ilikuwa haipatikani hali hiyo ilileta wasiwasi sana,walisubiri huenda atarudi hadi jioni hali ilikuwa tete ndipo mzee Manyama alipoamua kupiga simu kituo cha polisi maeneo ya jirani kwa sababu alikuwa mbunge msako ulianza usiku huohuo.
        Siku tatu  zilipita bila taarifa yoyote kutoka katika kituo cha polisi,Reshmail  alikuwa amepooza sana kupita maelezo mara kwa mara alimpigia baba yake  simu na kuuliza kulikoni lakini jibu bado lilikuwa lilelile kuwa  hajapatikana.
"Mama niache tafadhali,tena niache nasema upuuzi wako siutaki tena niache!" alifoka Reshmail pale mama yake alivyomkuta amekaa sebuleni na kujaribu kumpapasa huku akimpa pole ya kupotelewa na Adam wake ghafla.
"Mwanangu usiwe na hasira kiasi hicho polisi watafanikisha upelelezi na watamrejesha Adam akiwa mzima wa afya" alibembeleza Bi. Gaudencia lakini Reshmail hakujibu kitu akajiondokea akiwa ameuvuta mdomo wake sana.
Siku ya tano polisi waliopewa jukumu la kufanya upelelezi huo walirejea na taarifa yao huku wakiambatana na ushahidi. Zilikuwa nguo aliyokuwa amevaa Adam kwenda kanisani ikiwa na matundu sita ya risasi na ikiwa imetapakaa damu pote,suruali ilikuwa na matundu matatu ya risasi.
"Mama niache tafadhali,tena niache nasema upuuzi wako siutaki tena niache!" alifoka Reshmail pale mama yake alivyomkuta amekaa sebuleni na kujaribu kumpapasa huku akimpa pole ya kupotelewa na Adam wake ghafla.
"Mwanangu usiwe na hasira kiasi hicho polisi watafanikisha upelelezi na watamrejesha Adam akiwa mzima wa afya" alibembeleza Bi. Gaudencia lakini Reshmail hakujibu kitu akajiondokea akiwa ameuvuta mdomo wake sana.
Siku ya tano polisi waliopewa jukumu la kufanya upelelezi huo walirejea na taarifa yao huku wakiambatana na ushahidi. Zilikuwa nguo aliyokuwa amevaa Adam kwenda kanisani ikiwa na matundu sita ya risasi na ikiwa imetapakaa damu pote,suruali ilikuwa na matundu matatu ya risasi.
 "Hapana hawezi kuwa  Adam hata kidogo nasema hawezi kuwa yeye" alifoka Manyama huku akiwa  wimawima mbele ya mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai jiji la  Dar-es-salaam Chacha Boniphace au maarufu kama Chacha B.
"Mheshimiwa lakini  huu ni upelelezi wa awali tunaendelea zaidi na zaidi tutazidi kutoa  taarifa kadri tunavyopata majibu mapya" alijieleza kwa utulivu bila  wasiwasi kabisa jambo ambalo kidogo lilirejesha amani ya Manyama japo  hofu tayari ilishaukumba moyo wake kwamba huenda Adam ameuwawa tena  kikatili.
Ilikuwa ni shughuli pevu kwa Reshmail kuamini kile ambacho alikuwa anaelezwa na baba yake kwamba Adam anadhaniwa kuuwawa kwa risasi nane kisha mwili wake hauonekani. Bi. Gaudencia tayari alikuwa anaangua kilio kikubwa hata kabla maelezo hayajaisha ikawa kazi kwa mumewe kumbembeleza.
"Mke wangu Adam hajafa ila inadhaniwa pia upelelezi bado unaendelea jamani,ukilia hivyo unakuaribisha msiba mama watoto sawa" alibembeleza mzee Manyama huku amemkumbatia mkewe.
"Baba haiwezekani baba haiwezekani nguo za Adam zipatikane katika hali hiyo halafu mnasema hajafa,jamani Adam wangu wamemuua" alipiga mayowe Reshmail ikamlazimu mzee Manyama kufanya kazi mara mbili jambo ambalo lilimtoa jasho mzee huyu.
"Reshmail mwanangu,tulia hiyo siyo taarifa rasmi jamani ni majibu ya awali mbona mnanifanyia hivyo au mnataka nipate presha nife?" alijieleza Manyama huku akijifuta jasho kwa kutumia shati lake. Reshmail mbio mbio akaondoka pale sebuleni akaanza kuzipanda ngazi kuelekea chumbani kwake huku akilia,mzee Manyama nae huyo nyuma yake.
Ilikuwa ni shughuli pevu kwa Reshmail kuamini kile ambacho alikuwa anaelezwa na baba yake kwamba Adam anadhaniwa kuuwawa kwa risasi nane kisha mwili wake hauonekani. Bi. Gaudencia tayari alikuwa anaangua kilio kikubwa hata kabla maelezo hayajaisha ikawa kazi kwa mumewe kumbembeleza.
"Mke wangu Adam hajafa ila inadhaniwa pia upelelezi bado unaendelea jamani,ukilia hivyo unakuaribisha msiba mama watoto sawa" alibembeleza mzee Manyama huku amemkumbatia mkewe.
"Baba haiwezekani baba haiwezekani nguo za Adam zipatikane katika hali hiyo halafu mnasema hajafa,jamani Adam wangu wamemuua" alipiga mayowe Reshmail ikamlazimu mzee Manyama kufanya kazi mara mbili jambo ambalo lilimtoa jasho mzee huyu.
"Reshmail mwanangu,tulia hiyo siyo taarifa rasmi jamani ni majibu ya awali mbona mnanifanyia hivyo au mnataka nipate presha nife?" alijieleza Manyama huku akijifuta jasho kwa kutumia shati lake. Reshmail mbio mbio akaondoka pale sebuleni akaanza kuzipanda ngazi kuelekea chumbani kwake huku akilia,mzee Manyama nae huyo nyuma yake.
"Reshmail  mwanangu,njoo malkia wangu,njoo mwanangu" aliyazungumza hayo huku  akimkimbiza kwa nyuma. Wakati huo Bi. Gaudencia tayari alikuwa  amenyamaza kimya kabisa,akijaribu kupikicha
macho yake.Reshmail  hakusimama hadi chumbani kwake akajifungia,baba yake alibembeleza mpaka  akachoka hakupata jibu zaidi ya kilio cha kwikwi kutoka ndani.
"Baba Resh twende chumbani mume wangu,twende utakaa hapa hadi saa ngapi cha msingi tumwombe Mungu asije akajidhuru mwanetu" Gaudencia alimnyanyua mumewe wakajikongoja kuelekea chumbani kwao,Manyama akiwa amelegea kabisa.
Asubuhi ya siku iliyofuata naibu waziri wa ulinzi na usalama,alifika na msafara wake wa magari matano kwa mbunge Manyama kuja kutoa pole ya kutokewa tukio hilo lenye utata kwa mwenzao. Shughuli ngumu iliyokuwa mbele yao ni jinsi gani watawaeleza wazazi wake Adam ambao hadi dakika hiyo waliamini Adam yupo salama na mwenye furaha kwa mchumba wake Reshmail,Manyama alimuomba waziri ashughulikie hilo suala na bila kupoteza muda alinyanyua simu yake ya mkononi na kutoa taarifa hiyo kwa mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai Mwanza pamoja na mawasiliano anayoweza kumpata baba yake Adam. Ilikuwa vigumu sana kwa baba Adam kuelewa anachoelezwa lakini kwa kadri ya uwezo wake na taaluma yake mkuu huyo alifanikiwa kumwelewesha ambapo baba yake Adam aliondoka akiwa na matumaini kwamba ipo siku Adam atapatikana.
Nyumba nzima ya kina Adam ilipooza sana dada yake Adam (Rosemary) alikuwa analia muda wote kwa uchungu hakuamini kwamba siku ile pale uwanja wa ndege alivyosindikizwa na familia nzima ya mhe.Manyama ndio ilikuwa mara ya mwisho kumwona kaka yake kipenzi(Adam).
Uongozi wa polisi uliifikisha taarifa hiyo pale chuoni ambao pia walipokea kwa simanzi kubwa.
"Baba Resh twende chumbani mume wangu,twende utakaa hapa hadi saa ngapi cha msingi tumwombe Mungu asije akajidhuru mwanetu" Gaudencia alimnyanyua mumewe wakajikongoja kuelekea chumbani kwao,Manyama akiwa amelegea kabisa.
Asubuhi ya siku iliyofuata naibu waziri wa ulinzi na usalama,alifika na msafara wake wa magari matano kwa mbunge Manyama kuja kutoa pole ya kutokewa tukio hilo lenye utata kwa mwenzao. Shughuli ngumu iliyokuwa mbele yao ni jinsi gani watawaeleza wazazi wake Adam ambao hadi dakika hiyo waliamini Adam yupo salama na mwenye furaha kwa mchumba wake Reshmail,Manyama alimuomba waziri ashughulikie hilo suala na bila kupoteza muda alinyanyua simu yake ya mkononi na kutoa taarifa hiyo kwa mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai Mwanza pamoja na mawasiliano anayoweza kumpata baba yake Adam. Ilikuwa vigumu sana kwa baba Adam kuelewa anachoelezwa lakini kwa kadri ya uwezo wake na taaluma yake mkuu huyo alifanikiwa kumwelewesha ambapo baba yake Adam aliondoka akiwa na matumaini kwamba ipo siku Adam atapatikana.
Nyumba nzima ya kina Adam ilipooza sana dada yake Adam (Rosemary) alikuwa analia muda wote kwa uchungu hakuamini kwamba siku ile pale uwanja wa ndege alivyosindikizwa na familia nzima ya mhe.Manyama ndio ilikuwa mara ya mwisho kumwona kaka yake kipenzi(Adam).
Uongozi wa polisi uliifikisha taarifa hiyo pale chuoni ambao pia walipokea kwa simanzi kubwa.
"MAUAJI YA KUTISHA",  ndivyo mandishi meusi kabisa kwenye magazeti mbalimbali yalisomeka,hali  hiyo ilithibitisha kabisa kuwa Adam hayuko hai tena. Picha yake  iliyoambatanishwa na habari hizo akiwa na mtoto wa mbunge iliteka na  kuumiza mioyo ya watu wengi hasahasa vijana."Tumempoteza mwanasheria"  ndilo neno la pamoja walilosema wasomi wa chuo kikuu cha mtakatifu  Augustino Mwanza katika misa ya pamoja kumwombea mema Adam kama yupo hai  au kumtakia pumziko jema la milele kama tayari Mungu ameichukua roho  yake,kila uso ulikuwa na simanzi kubwa ilikuwa kama tamthilia.
Reshmail alikuwa kama zezeta,hamwelewi mtu yeyote,roho yake ilimwambia kwamba mama yake mzazi anahusika kwa namna moja au nyingine katika tukio hili lililojaa utata. Lakini ataanzia wapi kumweleza baba yake,atajisikiaje mzee Manyama akigundua kwamba mke na mtoto wake walikuwa katika ndoa haramu ya siri ndani ya nyumba yake."Hapana sitaki kuongeza tatizo juu ya tatizo nitasubiri liwalo na liwe,kama Mungu alimpanga Adam awe wangu naapa sitaolewa na mwingine kamwe,lakini kama hakuwa halali yangu basi ataletwa mwanaume duniani kwa ajili yangu tena"Alijipa ujasiri wa hali ya juu Reshmail huku akijipigapiga kifuani."Nitarejea shule na nitasoma tena kwa bidii sana,sitamwaza mwanaume yeyote tena alikuwa Adam na atabaki kuwa Adam hadi Mungu aamue tena" aliendelea kujipa matumaini."Bibi yangu aliniambia maneno ya mdomo huumba halisi,na nina uhakika ninachokiongea kwa mdomo wangu Mungu ataniumbia" aliendelea kuongea huku machozi yakifumba macho yake na kitambaa alichokuwa anatumia kujifuta kilikuwa kimelowana tayari kwa wingi wa machozi alikuwa kama yatima vile,Resh alikuwa akifungasha baadhi ya mizigo yake tayari kwa kurejea shuleni tena,tangu tukio la Adam kupotea hakuna aliyetegemea hata siku moja Resh atawaza kurudi tena shuleni kwani waziwazi akili yake ilionekana kuathirika kwa kiasi kikubwa kwa kumpoteza Adam katika mazingira yasiyoeleweka.
"Baba kesho narejea shule si unajua tayari shule imefunguliwa?" Reshmail alimkurupua mzazi wake huyo kutoka alipokaa kwa mshangao
Reshmail alikuwa kama zezeta,hamwelewi mtu yeyote,roho yake ilimwambia kwamba mama yake mzazi anahusika kwa namna moja au nyingine katika tukio hili lililojaa utata. Lakini ataanzia wapi kumweleza baba yake,atajisikiaje mzee Manyama akigundua kwamba mke na mtoto wake walikuwa katika ndoa haramu ya siri ndani ya nyumba yake."Hapana sitaki kuongeza tatizo juu ya tatizo nitasubiri liwalo na liwe,kama Mungu alimpanga Adam awe wangu naapa sitaolewa na mwingine kamwe,lakini kama hakuwa halali yangu basi ataletwa mwanaume duniani kwa ajili yangu tena"Alijipa ujasiri wa hali ya juu Reshmail huku akijipigapiga kifuani."Nitarejea shule na nitasoma tena kwa bidii sana,sitamwaza mwanaume yeyote tena alikuwa Adam na atabaki kuwa Adam hadi Mungu aamue tena" aliendelea kujipa matumaini."Bibi yangu aliniambia maneno ya mdomo huumba halisi,na nina uhakika ninachokiongea kwa mdomo wangu Mungu ataniumbia" aliendelea kuongea huku machozi yakifumba macho yake na kitambaa alichokuwa anatumia kujifuta kilikuwa kimelowana tayari kwa wingi wa machozi alikuwa kama yatima vile,Resh alikuwa akifungasha baadhi ya mizigo yake tayari kwa kurejea shuleni tena,tangu tukio la Adam kupotea hakuna aliyetegemea hata siku moja Resh atawaza kurudi tena shuleni kwani waziwazi akili yake ilionekana kuathirika kwa kiasi kikubwa kwa kumpoteza Adam katika mazingira yasiyoeleweka.
"Baba kesho narejea shule si unajua tayari shule imefunguliwa?" Reshmail alimkurupua mzazi wake huyo kutoka alipokaa kwa mshangao
"Umesema nini malkia wangu!" alihoji Manyama huku akiwa wima 
"Narejea shule  kesho" kwa msisitizo na tabasamu alijibu Reshmail. Mzee Manyama  hakuamini kwani alikuwa akiwaza ni namna gani atamshawishi mwanae aweze  tena kurejea shuleni baada ya matatizo yote yaliyojitokeza kwa mchumba  wake Adam ambaye hadi wakati huo bado mwili wake ulikuwa haujapatikana  wala taarifa yoyote zaidi ya nguo zikiwa na matundu ya risasi na  damu."asante sana mwanangu nakupenda sana" mzee Manyama aliongea kwa  furaha huku akimkumbatia mwanae.
     Tangu kupotea  kwa Adam aliyehisiwa kuwa tayari amekufa kulipokelewa kwa hisia tofauti  na wananchi huku asilimia kubwa ikiegemea upande wa imani potofu za  kishirikina wakihusisha tukio hilo na utajiri alionao Mh. Manyama na  uchaguzi uliokuwa mbele yake.
                        ****     *******
"Wamemtoa mwanangu kafara ili waongeze utajiri,nilimwambia Adam aoe msukuma mwenzake ona sasa,watoto wa siku hizi wabishi wanajifanya wanajua sana na elimu yao inawadanganya" mama yake Adam alikuwa analaani vikali mbele ya mume wake wakiwa ndani ya nyumba yao maeneo ya Igoma kwa 'one-way'
"Usiseme hivyo mama Adam kumbuka sisi ni wakristu,tumwachie Mungu yeye ndio atajua nini cha kufanya" Babaye Adam alimtuliza mkewe huku akimgongagonga mgongoni kwa kutumia kiganja cha mkono wake wa kuume.
Mawasiliano baina ya familia hizi mbili ya Adam jijini Mwanza na ya Reshmail jijini Dar-es-salaam yalikuwa yamekatika licha ya baba yake Adam (mzee Michael) kutangaza kuwa kutoka moyoni mwake amesamehe yote yaliyotokea na anaamini ni mipango ya Mungu lakini kinyongo kilionekana dhahiri kwa matendo,upendo wa zamani haukuwepo tena jambo hilo lilimfadhaisha sana mzee Manyama kiasi cha kukondeana na kukosa umakini katika utendaji wake wa kazi jambo lililoishusha sana heshima yake kama mbunge aliyekuwa anaheshimika sana kuanzia bungeni hadi jimboni kwake,wapinzani walitumia fursa hiyo kumchafua hasahasa na kweli uchafu huo ukakubalika kwa wananchi kwa ujumla Manyama hakuwa na lake tena pale,wananchi walimpuuzia sana tofauti na zamani na hata hiyo miaka miwili iliyobaki wananchi waliiona kama ni mingi sana kuwa na kiongozi wa aina yake.
"Wamemtoa mwanangu kafara ili waongeze utajiri,nilimwambia Adam aoe msukuma mwenzake ona sasa,watoto wa siku hizi wabishi wanajifanya wanajua sana na elimu yao inawadanganya" mama yake Adam alikuwa analaani vikali mbele ya mume wake wakiwa ndani ya nyumba yao maeneo ya Igoma kwa 'one-way'
"Usiseme hivyo mama Adam kumbuka sisi ni wakristu,tumwachie Mungu yeye ndio atajua nini cha kufanya" Babaye Adam alimtuliza mkewe huku akimgongagonga mgongoni kwa kutumia kiganja cha mkono wake wa kuume.
Mawasiliano baina ya familia hizi mbili ya Adam jijini Mwanza na ya Reshmail jijini Dar-es-salaam yalikuwa yamekatika licha ya baba yake Adam (mzee Michael) kutangaza kuwa kutoka moyoni mwake amesamehe yote yaliyotokea na anaamini ni mipango ya Mungu lakini kinyongo kilionekana dhahiri kwa matendo,upendo wa zamani haukuwepo tena jambo hilo lilimfadhaisha sana mzee Manyama kiasi cha kukondeana na kukosa umakini katika utendaji wake wa kazi jambo lililoishusha sana heshima yake kama mbunge aliyekuwa anaheshimika sana kuanzia bungeni hadi jimboni kwake,wapinzani walitumia fursa hiyo kumchafua hasahasa na kweli uchafu huo ukakubalika kwa wananchi kwa ujumla Manyama hakuwa na lake tena pale,wananchi walimpuuzia sana tofauti na zamani na hata hiyo miaka miwili iliyobaki wananchi waliiona kama ni mingi sana kuwa na kiongozi wa aina yake.
Kuliko fedheha yote  hiyo Mh. Manyama kwa hiari yake mwenyewe alipitisha kura ya maoni ya  wananchi kuhusu imani waliyonayo kwake kama mbunge wao. Asilimia 70 ya  waliopiga kura walidai hawana imani naye huku asilimia kumi na nne tu  ndio wakidai bado wana imani naye na kura zilizobaki zikiharibika,rasmi  Manyama akawa ametolewa bungeni na katika uchaguzi mdogo uliofanyika  akachaguliwa mbunge kutoka chama cha upinzani na maisha yakaendelea huku  Mh.Manyama akiendelea na biashara zake mikoani.
* **
Adam akiwa pale bustanini alivamiwa ghafla na wanaume wawili wa shoka wakiwa na bunduki,ishara ya kidole mdomoni ilimfanya atulie tuli kisha wakamwonyesha ishara kwamba awafuate alifanya kama walivyotaka hadi kwenye gari iliyokuwa imepaki pembeni kidogo ya nyumba yao Adam alishangazwa sana na ukimya uliokuwepo hakuwepo mlinzi wala mama mkwe wake.Safari yao ilikwenda mpaka Iringa gari iliyokuwa na vioo vyeusi 'tinted' ilimzuia Adam kujua ni wapi alipo,gari ilizimishwa ndani ya jumba kubwa sana ambapo alipelekwa kwenye chumba kikubwa tu,hofu kubwa ilimtawala hakujua kwa nini yuko pale,hakupigwa wala kupewa bughudha yoyote,hali hiyo ilzidi kumshangaza "au ndio wachuna ngozi" alijiuliza Adam kwa hofu tele.
* **
Adam akiwa pale bustanini alivamiwa ghafla na wanaume wawili wa shoka wakiwa na bunduki,ishara ya kidole mdomoni ilimfanya atulie tuli kisha wakamwonyesha ishara kwamba awafuate alifanya kama walivyotaka hadi kwenye gari iliyokuwa imepaki pembeni kidogo ya nyumba yao Adam alishangazwa sana na ukimya uliokuwepo hakuwepo mlinzi wala mama mkwe wake.Safari yao ilikwenda mpaka Iringa gari iliyokuwa na vioo vyeusi 'tinted' ilimzuia Adam kujua ni wapi alipo,gari ilizimishwa ndani ya jumba kubwa sana ambapo alipelekwa kwenye chumba kikubwa tu,hofu kubwa ilimtawala hakujua kwa nini yuko pale,hakupigwa wala kupewa bughudha yoyote,hali hiyo ilzidi kumshangaza "au ndio wachuna ngozi" alijiuliza Adam kwa hofu tele.
Hayo ndio masharti  ambayo mama Reshmail alitoa kwa vijana aliowapa tenda hiyo ya kumtorosha  Adam pale nyumbani. Shida yake haikuwa kumtesa Adam bali kumweka mbali  na mwana (Reshmail) ambaye alikuwa amempagawisha ipasavyo katika mapenzi  ya jinsia moja.Suala la pesa halikuwa tatizo hata kidogo alichohitaji  ni kutimiziwa alichotaka. Mkataba wa miaka mitano ndio alioingia na watu  hawa kukaa na Adam bila kumruhusu kutoka nje ya jingo.Bi Gaudencia  aliamini kwamba kwa kutokomea Adam mbele ya uso wa Reshmail ilikuwa  fursa nzuri ya kurudisha tena uhusiano wake na Reshmail ambao ulikuwa  unaelekea kufa lakini kinyume chake alikuwa ameibua chuki kubwa baina  yake na mwanae “heri  wote tukose kama ni hivyo” alijiapiza mama  Reshmail baada ya kuona dalili za kumshawishi Reshmail hazipo tena
       Alikuwa ni  Reshmail mwingine kabisa mkasa uliomkumba ulimbadilisha sana na kuitanua  akili yake sana,Eveline naye alisikitishwa na yaliyomkumba shoga yake  akajitahhdi sana kuwa karibu naye kumpa moyo huku akijiepusha sana  kufanya vitendo ambavyo vitamkumbusha Resh jinsi alivyoweza kukutana na  Adam. Ni katika kujiepusha na kumkera rafiki yake huyo kipenzi Eveline  akajikuta amefuta picha za uchi na filamu za ngono katika kompyuta yake  akawa si mtu wa kutoroka shule,hakuwa tena mtu wa wanaume na hatimaye  akawa Eveline wa kuigwa na wanafunzi wenzake jambo hilo liliwaduwaza  sana wanafunzi pale shuleni lakini ndio hivyo Eve alikuwa amekubali  mabadiliko katika maisha yake. Juhudi zao katika masomo ziliendelea  kuwaweka katika nafasi nzuri ya kufanya vizuri mtihani wao wa mwisho.  Hawakuyazungumzia tena yaliyopita tena walijadili mapya na  yanayowanufaisha "Eveline wewe ni kama dada yangu nakupenda sana"
"Nakupenda pia Reshmail umebadili maisha yangu moja kwa moja nina maisha mazuri sasa" alijibu Eva kwa upole huku akimwangalia Reshmail aliyekuwa anaishusha chandarua yake aweze kulala. Ni kweli walitokea kupendana wawili hawa.
"Hivi Resh una mpango bado wa kusomea uhasibu mi lazima niwe mhasibu"
"Mh! unavyojiaminisha utadhani tumefaulu tayari" alijibu Resh.
"He! mi najua sisi kufaulu kwetu sio swali ni jibu,swali ni je tunaenda chuo gani na kusomea nini." alijiaminisha Eveline.
"Nakupenda pia Reshmail umebadili maisha yangu moja kwa moja nina maisha mazuri sasa" alijibu Eva kwa upole huku akimwangalia Reshmail aliyekuwa anaishusha chandarua yake aweze kulala. Ni kweli walitokea kupendana wawili hawa.
"Hivi Resh una mpango bado wa kusomea uhasibu mi lazima niwe mhasibu"
"Mh! unavyojiaminisha utadhani tumefaulu tayari" alijibu Resh.
"He! mi najua sisi kufaulu kwetu sio swali ni jibu,swali ni je tunaenda chuo gani na kusomea nini." alijiaminisha Eveline.
"ok! nilidhani nitasomea uhasibu lakini kwa heshima ya Adam nitasomea sheria" alijibu Reshmail kwa furaha.
"Mh! na upole wako huo na mambo ya kutoa hukumu wapi na wapi? mwenzio naangalia ankara" alisema Eva.
"Wala hata siendi kuhukumiana naenda kwa heshima tu" alisisitiza Reshmail.
"Mh! haya mheshimiwa hakimu napenda kujitetea kama ifuatavyo" Eve alitania akifuatiwa na kicheko kikubwa kutoka kwa Reshmail.
* * *
Maisha yaliendelea vyema sana tu japo yalikuwa maisha ya mashaka Adam aliruhusiwa kuongea na kuuliza kila kitu kasoro swali moja tu "Kwa nini niko hapa?",ndio hakuruhusiwa kuliuliza hata kwa mbali,watu wote pale hawakuwa na ubaya nae hata kidogo,hawakumtesa,hakugombezwa wala hakufanya kazi,alipewa huduma zote za msingi,aliweza kutoka nje na kwenda bustanini lakini nje ya geti hakuruhusiwa. Tayari aliyazoea maisha haya lakini kumbukumbu ya jinsi alivyochukuliwa ndani ya jumba la wakweze bila kupata msaada wowote ule "Nani atakuwa nyuma ya haya yote mlinzi alikuwa wapi? Mama Resh je?" alijiuliza sana bila kupata wa kumpa jibu.
"Hivi unaitwa dada nani vile?" Adam alimuuliza dada mmoja ambaye kila baada ya siku tatu alikuja kufanya usafi katika chumba chake.
"Mh! na upole wako huo na mambo ya kutoa hukumu wapi na wapi? mwenzio naangalia ankara" alisema Eva.
"Wala hata siendi kuhukumiana naenda kwa heshima tu" alisisitiza Reshmail.
"Mh! haya mheshimiwa hakimu napenda kujitetea kama ifuatavyo" Eve alitania akifuatiwa na kicheko kikubwa kutoka kwa Reshmail.
* * *
Maisha yaliendelea vyema sana tu japo yalikuwa maisha ya mashaka Adam aliruhusiwa kuongea na kuuliza kila kitu kasoro swali moja tu "Kwa nini niko hapa?",ndio hakuruhusiwa kuliuliza hata kwa mbali,watu wote pale hawakuwa na ubaya nae hata kidogo,hawakumtesa,hakugombezwa wala hakufanya kazi,alipewa huduma zote za msingi,aliweza kutoka nje na kwenda bustanini lakini nje ya geti hakuruhusiwa. Tayari aliyazoea maisha haya lakini kumbukumbu ya jinsi alivyochukuliwa ndani ya jumba la wakweze bila kupata msaada wowote ule "Nani atakuwa nyuma ya haya yote mlinzi alikuwa wapi? Mama Resh je?" alijiuliza sana bila kupata wa kumpa jibu.
"Hivi unaitwa dada nani vile?" Adam alimuuliza dada mmoja ambaye kila baada ya siku tatu alikuja kufanya usafi katika chumba chake.
"Naitwa Beatrice Cosmas niite Bite" alijibu huku anafuta vioo kwa dirisha la chumba cha Adam.
"Una jina zuri wewe mh!"Alisanifu Adam.
"Asante wewe ni Adam eeh!" aliongezea yule binti huku akiwa ameacha shughuli yake aliyokuwa anafanya.
"Ndio mimi ni Adam! samahani nikuulize maswali machache"
"Uliza tu lakini sitakujibu sasa hivi"
"Kwa nini?"
"We uliza yote ndo nitakwambia kwa nini"
"Hivi hapa ni wapi? kwa nani? na kwa nini nipo hapa?"
"Ndio hayo matatu tu?...sawa nitakujibu kwa sharti dogo sana yaani"
"Sharti gani hilo mi nipo tayari"alitoa uhakika Adam bila hata kulijua sharti lenyewe.
"Sikia Adam sina haja ya kuzunguka zunguka nina mwaka wa pili hapa kitu kinaitwa mwanaume katika mwili wangu ni kama ndoto sasa ni wewe wa kutii kiu yangu na mimi nitajibu maswali yako" alijieleza Bite,jambo ambalio lilikuwa zito na la kumshangaza Adam.
"Una jina zuri wewe mh!"Alisanifu Adam.
"Asante wewe ni Adam eeh!" aliongezea yule binti huku akiwa ameacha shughuli yake aliyokuwa anafanya.
"Ndio mimi ni Adam! samahani nikuulize maswali machache"
"Uliza tu lakini sitakujibu sasa hivi"
"Kwa nini?"
"We uliza yote ndo nitakwambia kwa nini"
"Hivi hapa ni wapi? kwa nani? na kwa nini nipo hapa?"
"Ndio hayo matatu tu?...sawa nitakujibu kwa sharti dogo sana yaani"
"Sharti gani hilo mi nipo tayari"alitoa uhakika Adam bila hata kulijua sharti lenyewe.
"Sikia Adam sina haja ya kuzunguka zunguka nina mwaka wa pili hapa kitu kinaitwa mwanaume katika mwili wangu ni kama ndoto sasa ni wewe wa kutii kiu yangu na mimi nitajibu maswali yako" alijieleza Bite,jambo ambalio lilikuwa zito na la kumshangaza Adam.
"Mh! au ndo mtego  tena kutoka kwa Reshmail? dah! ikiwa hivyo nitaaibika kweli  mimi"Alijiwazia Adam kwa mashaka makubwa kabla ya kujibu.
"Basi utakuja kunijibu baadaye!" alisema Adam.
"Haya usiku na wewe jiandae" alijibu na kuaga Bite.
Hayawi hayawi mara yakawa usiku wa saa tatu,Bite tayari ndani ya chumba cha Adam ndani ya khanga moja peke yake.
"Haya nipe nikupe hakuna longolongo hapa" alizungumza Bite.
"Basi utakuja kunijibu baadaye!" alisema Adam.
"Haya usiku na wewe jiandae" alijibu na kuaga Bite.
Hayawi hayawi mara yakawa usiku wa saa tatu,Bite tayari ndani ya chumba cha Adam ndani ya khanga moja peke yake.
"Haya nipe nikupe hakuna longolongo hapa" alizungumza Bite.
"Subiri taratibu  basi,sikiliza" alianza kujitetea Adam wakati Bite anajisogeza  kitandani,Adam alikuwa amechelewa tayari joto la Bite lilipenya katika  mwili wake na kumchanganya hadi kujikuta akifanya kinyume na  alivyotarajia kwamba atafanikiwa kutegua mtego wa Bite badala yake  alikuwa ameshafanya mapenzi na Bite. Kwa Bite ulikuwa ushindi mkubwa  sana kwani tangu aletwe hapo kuwa msaidizi wa kazi za ndani ya vyumba  hakuwahi kutoka nje ya jengo hilo,sio kwamba alikuwa amefungwa hapana  kila kitu kilikuwepo ndani kila siku pia alikuwa ameridhika kuwa hapo.
"Hapa ni Iringa,nimejibu swali lako la kwanza tuendelee tena nikujibu swali la pili na tatu" alisema Bite kwa shauku kubwa sana.
"Hapana Bite imetosha kwa leo sijisikii vizuri,siku nyingine basi sawa!" alidanganya Adam na Bite hakuwa mbishi akambusu Adam shavuni akajiondokea zake.
Ilimchukua takribani siku tano Bite kugundua kwamba tayari ameshika ujauzito jambo ambalo halikuruhusiwa katika jumba hilo na alipewa onyo kali wakati anaingia hapo. Kwa usalama wake na Adam alifikiria suala la kutoroka lakini haya yote aliyafanya baada ya kuongea na Adam na kumweleza hali halisi. Ni katika wasaa huo alimweleza Adam chanzo ambacho kinaweza kuwa kimemsababishia yeye kuwepo pale "Umemchukulia kigogo mpenzi wake,umemendea mtoto wa kizito au umemkataa kimapenzi mtu maarafu" hizo ndizo zilikuwa baadhi ya sababu alizoorodheshewa na Bite,lakini kwake yeye aliona hakuna hata moja inayomuhusu kwani wazazi wote wawili wa Reshmail walimpenda sana hakuwa tayari kuweka hisia kwamba pengine moyoni wanamchukia.
"Usijali lakini hutakaa milele humu,huwa unafika
"Hapa ni Iringa,nimejibu swali lako la kwanza tuendelee tena nikujibu swali la pili na tatu" alisema Bite kwa shauku kubwa sana.
"Hapana Bite imetosha kwa leo sijisikii vizuri,siku nyingine basi sawa!" alidanganya Adam na Bite hakuwa mbishi akambusu Adam shavuni akajiondokea zake.
Ilimchukua takribani siku tano Bite kugundua kwamba tayari ameshika ujauzito jambo ambalo halikuruhusiwa katika jumba hilo na alipewa onyo kali wakati anaingia hapo. Kwa usalama wake na Adam alifikiria suala la kutoroka lakini haya yote aliyafanya baada ya kuongea na Adam na kumweleza hali halisi. Ni katika wasaa huo alimweleza Adam chanzo ambacho kinaweza kuwa kimemsababishia yeye kuwepo pale "Umemchukulia kigogo mpenzi wake,umemendea mtoto wa kizito au umemkataa kimapenzi mtu maarafu" hizo ndizo zilikuwa baadhi ya sababu alizoorodheshewa na Bite,lakini kwake yeye aliona hakuna hata moja inayomuhusu kwani wazazi wote wawili wa Reshmail walimpenda sana hakuwa tayari kuweka hisia kwamba pengine moyoni wanamchukia.
"Usijali lakini hutakaa milele humu,huwa unafika
Muda aliyekuweka humu akiridhika unatoka.
"Nitamlea mtoto,napenda watoto hata kama usipokuwa mpenzi au mume wangu nitampenda sana na nitamwita....."
"Christian akiwa mvulana au Christina akiwa msichana" alidakia Adam ambaye kwa mbali alianza kumtamani Bite kimapenzi.
* * *
Biashara za baba yake zilikuwa zinaendelea vizuri na skendo lake lilikuwa linafifia taratibu. Hadi anamaliza kidato cha sita Reshmail mapenzi kwa wazazi wake yalikuwa palepale na japo hakutaka kumwongelea Adam jena alikuwa na picha yake waliyopiga pamoja siku moja kabla ya tukio lile la kushangaza na kuumiza. Reshmail kwa ruhusa ya wazazi wa Eveline alienda nae mpaka kwao ambapo walikaa wote kwa siku tano kisha akarejea tena Arusha. Urembo wa Reshmail ulipagawisha kila mwanaume na hata baba yake ilifikia kipindi akakiri kwamba kweli pale alizaa mtoto mmoja wa kipekee na kweli alikuwa wa kipekee. Mama Resh bado alikuwa na matamanio lakini kwa ssa alimwogopa sana Reshmail tofauti na miaka mingi iliyopita.
"Baba na mama wiki ijayo nataka kwenda Mwanza kwa wazazi wa Adam" Resh alitoa hoja yake wakiwa mezani wanakula.
"Nitamlea mtoto,napenda watoto hata kama usipokuwa mpenzi au mume wangu nitampenda sana na nitamwita....."
"Christian akiwa mvulana au Christina akiwa msichana" alidakia Adam ambaye kwa mbali alianza kumtamani Bite kimapenzi.
* * *
Biashara za baba yake zilikuwa zinaendelea vizuri na skendo lake lilikuwa linafifia taratibu. Hadi anamaliza kidato cha sita Reshmail mapenzi kwa wazazi wake yalikuwa palepale na japo hakutaka kumwongelea Adam jena alikuwa na picha yake waliyopiga pamoja siku moja kabla ya tukio lile la kushangaza na kuumiza. Reshmail kwa ruhusa ya wazazi wa Eveline alienda nae mpaka kwao ambapo walikaa wote kwa siku tano kisha akarejea tena Arusha. Urembo wa Reshmail ulipagawisha kila mwanaume na hata baba yake ilifikia kipindi akakiri kwamba kweli pale alizaa mtoto mmoja wa kipekee na kweli alikuwa wa kipekee. Mama Resh bado alikuwa na matamanio lakini kwa ssa alimwogopa sana Reshmail tofauti na miaka mingi iliyopita.
"Baba na mama wiki ijayo nataka kwenda Mwanza kwa wazazi wa Adam" Resh alitoa hoja yake wakiwa mezani wanakula.
"Wapi? Mwanza! hawatakuelewa mwanangu utakuwa kwa maksudi kabisa unafufua shari iliyopoa tayari.
Tayari"Kwa busara  tele na upole mzee Manyama alimweleza mwanae ambaye pia aliyapokea kwa  nidhamu ya hali ya juu na kichwa chake kuyakubali kuwa yana maana kubwa  ndani yake."Nimekuelewa baba sitaenda tena" alijibu kwa unyenyekevu sana  Reshmail.
Muda mwingi wakati anasubiria matokeo aliutumia kuimba na kusikiliza muziki na mara chache sana kwenda kutembelea rafiki zake walioishi jirani naye.
* * * *
Matokeo ya kidato cha sita yalipotoka hayakuwa ya kushangaza sana kwa upande wake kwani alikuwa amevuna alichokipanda. Reshmail alikuwa amepata daraja la kwanza na ndivyo alivyotarajia,furaha yake iliongezeka baada ya kumwona katika orodha Eveline Maige rafiki yake kipenzi naye akiwa amepata daraja la kwanza huku wakitofautiana pointi kadhaa. Akiwa anajiandaa kumpigia simu tayari simu yake iliwakawaka na kuandika "pacha" jina ambalo alikuwa amemwandika Eve katika simu yake,badala ya kuongea wote kwa pamoja wakaanza kucheka,walicheka sana hadi simu ilipokatika. Zilikuwa ni furaha kutoka moyoni,kwa nini wasifurahi wakati ndoto zao zilikuwa zinatimia?
Tanzania Commission of Universities (T.C.U) ilipotoa uchaguzi wa kwenda vyuoni Reshmail kama alivyopenda alichaguliwa chuo kikuu cha mtakatifu Augustine Mwanza kwa masomo ya sheria huku Eveline Maige akipelekwa Mzumbe chuo kikuu kwenda kuchukua masomo ya uhasibu shahada ya juu.
Muda mwingi wakati anasubiria matokeo aliutumia kuimba na kusikiliza muziki na mara chache sana kwenda kutembelea rafiki zake walioishi jirani naye.
* * * *
Matokeo ya kidato cha sita yalipotoka hayakuwa ya kushangaza sana kwa upande wake kwani alikuwa amevuna alichokipanda. Reshmail alikuwa amepata daraja la kwanza na ndivyo alivyotarajia,furaha yake iliongezeka baada ya kumwona katika orodha Eveline Maige rafiki yake kipenzi naye akiwa amepata daraja la kwanza huku wakitofautiana pointi kadhaa. Akiwa anajiandaa kumpigia simu tayari simu yake iliwakawaka na kuandika "pacha" jina ambalo alikuwa amemwandika Eve katika simu yake,badala ya kuongea wote kwa pamoja wakaanza kucheka,walicheka sana hadi simu ilipokatika. Zilikuwa ni furaha kutoka moyoni,kwa nini wasifurahi wakati ndoto zao zilikuwa zinatimia?
Tanzania Commission of Universities (T.C.U) ilipotoa uchaguzi wa kwenda vyuoni Reshmail kama alivyopenda alichaguliwa chuo kikuu cha mtakatifu Augustine Mwanza kwa masomo ya sheria huku Eveline Maige akipelekwa Mzumbe chuo kikuu kwenda kuchukua masomo ya uhasibu shahada ya juu.
"Ndugu hakimu naomba  kujitetea!" Eve alimtania Resh utani wao wa shuleni siku walipokuwa  wanaagana.Walikuwa wametenganishwa hatimaye lakini mawasiliano yao  yalidumu
Kama alivyojiwekea  kiapo chake cha kutopenda hovyohovyo ni hivyohivyo alivyoingia pale  chuoni,hakuringia uzuri wake lakini hakutaka pia usumbufu unaopitiliza  kutoka kwa wanaume yaani kwa kifupi alikuwa na msimamo mkali sana,ni  rafiki yake (Eve) pamoja na wazazi wake ambao wangeweza kubashiri sababu  hasa inayomfanya binti huyu awe hivi na si mtu mwingine pale chuoni.
Maringo yake yalifichwa na werevu wake darasani,kwani ilikuwa ni warembo wachache sana wa aina yake waliofanya vizuri kimasomo,jambo hilo lililowavutia waalimu wengi sana na wanafunzi ambao wanapenda maendeleo kimasomo. Reshmail hakuwa mtu wa mambo mengi hakunywa pombe wala kwenda kumbi za starehe usiku starehe yake ilikuwa ni kusoma na michezo.
Maringo yake yalifichwa na werevu wake darasani,kwani ilikuwa ni warembo wachache sana wa aina yake waliofanya vizuri kimasomo,jambo hilo lililowavutia waalimu wengi sana na wanafunzi ambao wanapenda maendeleo kimasomo. Reshmail hakuwa mtu wa mambo mengi hakunywa pombe wala kwenda kumbi za starehe usiku starehe yake ilikuwa ni kusoma na michezo.
Mnamo mwezi wa pili  michezo ya FAWASCO ilipoanza michezo hiyo inayohusisha vitivo vyote pale  chuoni,kwa maksudi alichaguliwa kuwa mhamasishaji kwa wasichana wajibu  alioufanya vizuri ipasavyo na kikubwa zaidi akawa pia mdhamini mkubwa  sana. Moyo wake wa kujitolea uliwavutia sana wanadarasa wenzake ambao  baadhi walimpenda huku wengine wakidai ana maringo, msimamo wa Reshmail  ulibaki palepale.
Mwaka wa pili pale chuoni ndio ulikuwa mbaya kwake. Darasa walilolitumia mwaka wa pili wanafunzi wa kitivo cha sheria,lililojulikana kama Mombasa Raha kwa mbele lilikuwa na picha kubwa sana ya Adam ambayo ilikuwa pembeni ya ubao wa kufundishia hiyo ikimaanisha kwamba kila atakapoingia darasani lazima aione,"ADAM THE GREAT" yaliandikwa maandishi haya chini ya picha kubwa ya Adam. Amani,ikatoweka kabisa moyoni mwake kumbukumbu mbaya za kumpoteza mpenzi wake Adam zikaanza kumrejea kwa kasi sana.Reshmail akaanza kujihisi yeye ndiye chanzo cha yote hayo,tofauti na waalimu wake hakuna mwanafunzi aliyemfahamu Adam zaidi ya kujua tu historia ya yaliyomkuta na wengi kuichukulia kama simulizi tu ya kusadikika. Reshmail alianza kuwa mtoro darasani na hata alipoingia badala ya kumwangalia na kumsikiliza mwalimu,mawazo yake yote yalivutwa na picha ya Adam yenye tabasamu pana mara zote aliamini inamuangalia yeye na kumlaumu kwa kumkatisha masomo yake kwa penzi la mtandaoni. "Adam stop blaming me!!(Adam usinilaumu)" alipiga kelele kwa nguvu Reshmail bila kujitambua,mwalimu alimshangaa na hakuelewa kilikuwa kimemsibu nini "Is she dreaming? (Anaota?)" aliuliza mwalimu Sijjo aliyekuwa anawafundisha somo la mawasiliano (Communication skills),darasa zima likacheka kwa fujo sana,lakini Reshmail alikuwa analia huku akitetemeka sana,kwa ghadhabu akasimama na kutoka nje. Japo ulikuwa ni mwezi mmoja tu tangu waanze masomo ya mwaka wa pili lakini
Mwaka wa pili pale chuoni ndio ulikuwa mbaya kwake. Darasa walilolitumia mwaka wa pili wanafunzi wa kitivo cha sheria,lililojulikana kama Mombasa Raha kwa mbele lilikuwa na picha kubwa sana ya Adam ambayo ilikuwa pembeni ya ubao wa kufundishia hiyo ikimaanisha kwamba kila atakapoingia darasani lazima aione,"ADAM THE GREAT" yaliandikwa maandishi haya chini ya picha kubwa ya Adam. Amani,ikatoweka kabisa moyoni mwake kumbukumbu mbaya za kumpoteza mpenzi wake Adam zikaanza kumrejea kwa kasi sana.Reshmail akaanza kujihisi yeye ndiye chanzo cha yote hayo,tofauti na waalimu wake hakuna mwanafunzi aliyemfahamu Adam zaidi ya kujua tu historia ya yaliyomkuta na wengi kuichukulia kama simulizi tu ya kusadikika. Reshmail alianza kuwa mtoro darasani na hata alipoingia badala ya kumwangalia na kumsikiliza mwalimu,mawazo yake yote yalivutwa na picha ya Adam yenye tabasamu pana mara zote aliamini inamuangalia yeye na kumlaumu kwa kumkatisha masomo yake kwa penzi la mtandaoni. "Adam stop blaming me!!(Adam usinilaumu)" alipiga kelele kwa nguvu Reshmail bila kujitambua,mwalimu alimshangaa na hakuelewa kilikuwa kimemsibu nini "Is she dreaming? (Anaota?)" aliuliza mwalimu Sijjo aliyekuwa anawafundisha somo la mawasiliano (Communication skills),darasa zima likacheka kwa fujo sana,lakini Reshmail alikuwa analia huku akitetemeka sana,kwa ghadhabu akasimama na kutoka nje. Japo ulikuwa ni mwezi mmoja tu tangu waanze masomo ya mwaka wa pili lakini
tabu na mateso  aliyokuwa ameyapata yalitosha kumshawishi kuwa huenda amesoma hapo kwa  miaka kumi.Wazazi wake hawakuwa na la kufanya,Eveline alibaki kumwonea  huruma shoga yake huyu alijaribu mara kwa mara kumpigia simu lakini  haikuwa tiba ya tatizo la Reshmail. Ni kweli Reshmail asingeweza  kujilazimisha kuwa na furaha kwani ni yeye aliyemshawishi Adam awe nae  kimapenzi na ni yeye huyuhuyu alimshawishi Adam aende kwao kwa ajili ya  kujitambulisha na safari hiyo ikawa ya mwisho ya Adam. "Nikiwaambia  waalimu wangu watanielewaje,na hata wakinielewa itakuwaje wanafunzi  wenzangu wakijua siri hii? watajenga picha gani tena kuhusu mimi,mh!  niepushe na hali hi bwana,kama uliweza kuniondolea mawazo haya hadi  nikamaliza kidato cha sita vyema hebu baba na sasa ondoa tena na hili  jaribu zito mbele  yangu na jina lako lisifiwe." aliweka ombi fupi  Reshmail katika mawazo yake hayo. Lilikuwa ni jambo gumu sana kwa  Reshmail alikonda sana na punde si punde maneno ya wakosaji yakaanza  tena "Mh! kumbe ndio maana anakataa wanaume kumbe anaishi kwa matumaini  maskini,dada mrembo kama huyu" yalisikika maneno hayo katika vijiwe vya  wanafunzi pale chuoni. Ilikuwa ni kero kubwa kila alipokatiza vidole  vilimwelekea yeye umaarufu wake wa awali kwamba ni mrembo ukaongezeka  maradufu karibia chuo kizima lakini wakati huu ilikuwa ni sifa mbaya  kwamba ana virusi vya UKIMWI hata yeye aliyasikia maneno hayo yalikuwa  yakivuma kwa kasi,hakuwa na uwezo wa kuzuia tetesi hizo "Wangejua kwamba  mi ni bikra na wanayoyasema yote ni uongo,hata wasingenyanyua midomo  yao michafu kuropoka upuuzi huo,lakini bila Adam watajuaje?" alijiuliza  Reshmail akiwa chumbani mwake katika hosteli ya Ngulelo aliyokuwa  amepanga chumba alichoishi peke yake. Marafiki zake taratibu wakaanza  kumtenga wakiamini ameathirika,hilo halikumuumiza kichwa kwani  alilitegemea sana hasa hasa dhana ya unyanyapaa  kwa waathirika  iliyokuwa inatawala chuoni hapo.
***
Bite alifanikiwa kutoroka katika ngome ile kubwa aliyokuwa amehifadhiwa Adam. Kwa jinsi alivyokuwa amezoeleka pale haikumchukua muda mrefu kumshawishi mlinzi amfungulie geti atoke kidogo na ndio ikawa jumla hakwenda mbali sana na mkoa wa Iringa bali aliweka kambi yake maeneo ya Uyole Mbeya mkoa uliopo jirani na Iringa ambapo kipesa kidogo alichoondoka nacho pale ndani alifungua kibanda chake sokoni na kupanga nyumba eneo jirani la Igawilo akianzia maisha ya kulala chini hadi aliponunua godoro.Biashara ya kuuza nyanya
***
Bite alifanikiwa kutoroka katika ngome ile kubwa aliyokuwa amehifadhiwa Adam. Kwa jinsi alivyokuwa amezoeleka pale haikumchukua muda mrefu kumshawishi mlinzi amfungulie geti atoke kidogo na ndio ikawa jumla hakwenda mbali sana na mkoa wa Iringa bali aliweka kambi yake maeneo ya Uyole Mbeya mkoa uliopo jirani na Iringa ambapo kipesa kidogo alichoondoka nacho pale ndani alifungua kibanda chake sokoni na kupanga nyumba eneo jirani la Igawilo akianzia maisha ya kulala chini hadi aliponunua godoro.Biashara ya kuuza nyanya
na mbogamboga  ilimkimu sana maisha yake kwani wazo wala tegemeo lake halikuwa kununua  gari,au kujenga nyumba hapana lengo lake lilikuwa uhai pekee,na shilngi  elfu moja alizozipata zilikuwa zinamtosha kabisa. Alikuwa mchangamfu na  mstaarabu sana,wateja walivutika kwake kwa kasi kufaidi ukarimu wake  katika biashara.Tumbo lake lilianza kukua taratibu,kina mama sokoni  wakaanza kuhisi tayari Bite kapata mjanja Mbeya amemjaza mimba,lakini  miezi yake ya kujifungua ndiyo ilifungua akili za waliokuwa na maswali  na kugundua kwamba ile mimba alikuja nayo pale na sio kwamba aliipatia  pale. Salama bin salmin Bite alijifungua mtoto wa kiume miezi tisa  ilipowadia.
"Mh! baba yake  atafurahi tena alimpa jina pale tu nilipomwambia nimeshika mimba" Bite  kwa furaha tele aliwaambia kina mama wa pale sokoni,akiwemo jirani yake  mama wawili,ni hao ndio walikuwa ndugu zake."Hongera Bite,sijui ndio  unakuwa mama nani vile" Bite alihojiwa na mama wawili
 "Mwanangu anaitwa  Christian" alijibu Bite huku akibusu kichanga chake hicho ambacho  kilikuwa kinarusharusha miguu na mikono yake huku na huko.
        Christian  alizaliwa akiwa na afya tele na hakusumbuliwa na magonjwa wakati wa  ukuaji wake mwaka wa kwanza,ilikuwa furaha kubwa kwa mama yake.
***
***
Miaka ilizidi  kukatika wazo la Bi. Gaudencia kumtoa Adam katika jumba lile lilikuwepo  kichwani mwake kwani udhaifu alioupata Reshmail pamoja na kashfa mbaya  anazozipata pale chuoni zilimsononesha sana lakini ataanzia wapi  kuificha aibu yake pale ambapo Adam,akasababisha uovu wa mama huyu  uwekwe hadharani. Ni jambo hilo lililomuumiza kichwa mama huyu. Reshmail  na baba yake watanielewaje kwa mabaya niliyowafanyia,nimeishusha  heshima ya mume wangu aliyekuwa na heshima kubwa bungeni" alizidi kuwaza
Huku Iringa maeneo ya Ruaha Adam alikuwa anauanza mwaka wa tatu,akiishi kama nyumbani kwake,lakini hakuridhika hata kidogo maisha hayo ya ufungwa. Miaka mitatu ilikuwa mingi sana "Mama na baba yangu wanahisi niko wapi? vipi kuhusu mpenzi wangu Reshmail,hapana imetosha nahitaji kutoka hapa,lakini lazima nijiulize nitatoka vipi hapa katika ngome hii" alijisisitiza Adam japo ulinzi madhubuti ulioongezwa kutokana na kutoroka kwa Bite katika mazingira ya kutatanisha pale ngomeni
Huku Iringa maeneo ya Ruaha Adam alikuwa anauanza mwaka wa tatu,akiishi kama nyumbani kwake,lakini hakuridhika hata kidogo maisha hayo ya ufungwa. Miaka mitatu ilikuwa mingi sana "Mama na baba yangu wanahisi niko wapi? vipi kuhusu mpenzi wangu Reshmail,hapana imetosha nahitaji kutoka hapa,lakini lazima nijiulize nitatoka vipi hapa katika ngome hii" alijisisitiza Adam japo ulinzi madhubuti ulioongezwa kutokana na kutoroka kwa Bite katika mazingira ya kutatanisha pale ngomeni
                          ***
Mwaka wa pili  uliisha hivyohivyo kimateso makali yaliyojawa na kumbukumbu mbaya na  isingekuwa kuhamishwa kwa darasa la sheria mwaka wa pili kwenda katika  maghorofa ya Mwanjonde chuoni hapo basi Reshmail angefeli vibaya masomo  yake kutokana na msongo wa mawazo.
     Akiwa mwaka wa  tatu afya yake ilirejea tele kwani hakuwa akiiona tena picha kubwa ya  Adam machoni pake hali hiyo ya afya kurejea ilizusha msemo mpya  tena,tofauti na mwanzo walivyosema ana Ukimwi,sasa walisema "Akikonda  ana virusi,akinenepa ameanza kutumia dozi" yote hayo alituhumiwa  Reshmail lakini kamwe hakuwahi kuthubutu kunyanyua mdomo wake kujibu  vijembe hivyo yeye alikuwa mkimya huku akipambana na masomo hadi  alipoumaliza mwaka wake wa nne vyema.
Mnamo mwezi wa kumi na moja familia yake yote ilisafiri kuelekea jijini Mwanza kusheherekea kwa pamoja mahafali ya mtoto wao,Eveline ambaye tayari alikuwa kazini baada ya kuwa amemaliza miaka yake mitatu chuoni na kufaulu vizuri pia alijumuika katika kukamilisha furaha hii ya rafiki yake mpenzi huku akiongozana na mchumba wake Benjamin Simon. Reshmail alifurahishwa sana na ujio wa Eve kwani alizidi kudhihirisha kuwa ni kiasi gani yeye ni rafiki wa kweli.
Yalikuwa ni mahafali makubwa na ya kipekee kuliko yote yaliyowahi kutokea ambapo chuo cha Mt.Augustino kilifanya mahafali ya pamoja na matawi yake yote Tanzania,yaani Iringa,Mtwara na Tabora. Kwa ufupi yalikuwa yamefana.
Ni katika pirikapirika na pitapita za huku na huko
Mnamo mwezi wa kumi na moja familia yake yote ilisafiri kuelekea jijini Mwanza kusheherekea kwa pamoja mahafali ya mtoto wao,Eveline ambaye tayari alikuwa kazini baada ya kuwa amemaliza miaka yake mitatu chuoni na kufaulu vizuri pia alijumuika katika kukamilisha furaha hii ya rafiki yake mpenzi huku akiongozana na mchumba wake Benjamin Simon. Reshmail alifurahishwa sana na ujio wa Eve kwani alizidi kudhihirisha kuwa ni kiasi gani yeye ni rafiki wa kweli.
Yalikuwa ni mahafali makubwa na ya kipekee kuliko yote yaliyowahi kutokea ambapo chuo cha Mt.Augustino kilifanya mahafali ya pamoja na matawi yake yote Tanzania,yaani Iringa,Mtwara na Tabora. Kwa ufupi yalikuwa yamefana.
Ni katika pirikapirika na pitapita za huku na huko
za sherehe hiyo  ndipo Reshmail akiwa na Eveline ana kwa ana anakutana na familia ya Adam  yaani baba na mama yake,aliwatambua kwa uwepo wa Rosemary yule mdogo  wake Adam. Rosemary alikuwa ndio kwanza amehitimu shahada ya elimu  katika chuo kikuu cha mtakatifu Augustino tawi la mtwara hivyo yeye na  familia yake pia walikuwepo katika viwanja vya Raila Odinga kusheherekea  mahafali yale."Mchawi...mchawi!" alianza kupiga kelele mama yake Adam  wakati Reshmail akisogea taratibu katika eneo walilokuwepo kwa furaha  "Uuuwii" alipiga makelele kwa sauti ya juu jambo lililovuruga usikivu  katika eneo lile na watu kuanza kumwangalia yeye kama mtu  aliyechanganyikiwa,Reshmail na Eve walikuwa wameganda tu na mama Adam  akizidi kupiga kelele,jitihada za baba yake Adam kumtuliza mkewe  hazikufua dafu,mara ghafla mama Adam akakurupuka akiwa na chupa  iliyokuwa na soda ambayo haijafunguliwa bado na kwa kasi akaenda  kumkabili Reshmail ambaye akili yake ni kama ilikuwa imesimama na umati  uliokuwa umemkazia macho kwa kitendo cha kuitwa mchawi ulimzidishia hofu  na fedheha kwake,Eve alimshika mkono Reshmail na kujaribu kumvuta  watoke eneo lile lakini tayari mama Adam alishawafikia na kwa nguvu  kabisa akaituliza chupa ile juu ya kichwa cha Reshmail palepale akaenda  chini huku damu nyingi ikimtoka kichwani. Wanaume watatu akiwemo pia  baba yake Adam walifika na kumbeba juu juu,mama Adam ambaye alionekana  dhahiri kuwa bado hajaridhika na kipigo alichotoa kwa Reshmail kwani  bado alikuwa anaangaza huku na huko kama palikuwa na silaha nyingine.  Alikuwa kama mwendawazimu
Wengine walimbeba Rshmail ambaye joho  lake la kipekee kabisa lilikuwa limechafuliwa vibaya na vumbi la uwanja  wa mpirawa miguu wa Raila Odinga ambapo ndio sherehe zilifanyika. Hali  ya sintofahamu ilitawala sherehe zile kwa takribani nusu saa nzima hadi  Reshmail alivyoondolewa na familia yake kuelekea hospitali na mama Adam  kutiwa katika nguvu ya dola
                               ***
Halikuwa jeraha kubwa sana nyuzi mbili zilipita katika kichwa chake kushona jeraha lile
“kwa nini mama mkwe wako akutende hivi” eve alimuuliza Reshmail akiwa pale kitandani
“ni haki yake hata kunipiga risasi mimi ni chanzo cha maumivu haya wanayoyapata” alijibu Resh huku akilazimisha tabasamu
“kwa hio hapa amenionea huruma sana mimi  ni sawasawa na muuaji tena wa kukusudia na haki yangu ni kuuawa pia”  aliendelea Reshmail huku akitoa tabasamu hafifu tena
“usiseme hivyo mamii sio wewe uliyetaka  iwe hivyo ni Mungu pekee” aliongea kwa upole Eve huku akivibinyabinya  vidole vya Reshmail
“mama mwambie baba afatilie mama mkwe  asije kulazwa selo hata kwa saa moja hana kosa lolote” Reshmail  alimwambia mama yake alipoingia katika chumba cha hospitali ya Agha khan  aliyokuwaelazwa kwa ajili ya matibabu maneno hayo yalimshangaza sana  mama yake aliyetegemea Reshmail atakuwa na hasira ya kutendwa vile mbele  ya hadhara
         Nafsi ilikuwa inamsuta sana mama  reshmail,moyo uliomba msamaha lakini mdomo ulikuwa mzito sana kufanya  hivyo. Hali hiyo ilimkondesha sana na kumkosesha raha ndani kwa ndani  unene wake wa asili uliyafunika yote hayo na hakuna aliyejua jambo zito  alilobeba mama huyu.
      Kweli badala ya bwana na bibi  Manyama kuegemea upande wa mashtaka ili mama Adam apewe adhabu la wao  waliunga mkono kwamba Reshmail alikuwa na makosa mahakama ikatupilia  mbali mashtaka hayo na mama Adam akawa huru,jambo hilo badala ya  kurudisha undugu liliongeza chuki na uadui
“si nilikwambia ukabisha?? Kama  hawajamtoa mwanetu kafara kwanini sasa wamekubali niachiwe huru??” mama  Adam alimwambia mumewe jambo ambalo wakati huu hata yeye alikubaliana  nalo kuwa motto wao mkubwa wa kiume(Adam) alitendwa vibaya na familia ya  reshmail . kuamini kwa mzee Michael baba yake Adam ni sawa na familia  nzima kuamini kabisa na sumu ya chuki ikamwingia kila mwanafamilia na  kuwa aadui wakubwa wa familia ya mzee Manyama.
*       *    *       *        *    *      *       *     *    *    *
Siku mbili alizokaa pale hospitali hakuja  hata mwanafunzi mmoja kutoka pale chuoni kuja kutoa pole kwa Reshmail  wote waliogopa wakiamini alikuwa mshirikina . Eve hakukubaliana hata kwa  mbali na shutuma hizo kwani alimwamini sana Reshmail hivyo aliendelea  kuwa pale hospitalini pamoja na mchumba wake kumuuguza Reshmail ambaye  alitoka siku tatu baadaye.
“baba mimi nitaenda na Eve kwake nitakaa  siku tano ndio nitakuja huko” Reshmail alimpa taarifa hiyo baba yake  naye hakupinga kwani amani aliyokuwa nayo Resh akiwa na Eve ilikuwa  kubwa mno hali iliyowapa faraja hata wazazi wake hivyo walimruhusu bila  kusita.
      Siku hiyohiyo walipanda ndege kwa  gharama za mchumba wa Eveline aitwaye Benjamin Simon,kuelekea Iringa  ambapo Eve alikuwa amepata ajira katika benki ya N.B.C tawi la hapo.
      Maisha yao yalikuwa mazuri sana  kwani Benny alikuwa mwalimu wa shule ya sekondari hivyo katika majukumu  waliweza kusaidiana na upendo wa dhati kati yao ulipendezesha zaidi  nyumba yao.Reshmail alivutiwa sana na maisha hayo na kumkumbuka sana  Adam wake “laiti angekuwepo tungeishi hivi siku moja “ alijiwazia  Reshmail wakati akiwaangalia Eve na Benny wakiwa kwenye kochi wamebebana  kwa furaha huku wakitaniana
    Ilikuwa jioni moja Reshmail na Eve  wakiwa katika mizunguko ya hapa na pale mizunguko ambayo kwa namna moja  au nyingine iliibua ghafla safari ya kuingia sokoni,waliingia hapo  kununua matunda matunda,zilikuwa zimepita siku tano na tofauti na  alivyowahaidi wazazi wake hata hakuwa amefikiria kurudi Dar maisha ya  Iringa yalikuwa yamempendeza sana .
“Eveline  ona  eveline jamani angalia  kale katoto!!!” Reshmail alimgusagusa begani Eveline huku akimwonyesha  kikundi fulani cha watoto pale sokoni 
“wewe achana hao machokoraa walionikwapua  pochi langu sina hamu nao hata kidogo,kisimu changu cha mchina na  shilingi elfu thelathini zikapotelea hewani looh!! Wabaya hao” aliongea  kwa hasira Eve huku akisitisha zoezi la kula chungwa aliliokuwa anafanya  kwa wakati ule.
“mh!! Eve jamani achaga uongo yaani  katoto kama kale jamani hebu kaone kale kadogo “Reshmail alizidi  kusisitiza lakini Eve alionyesha bado ana uoga na uchungu moyoni wa  kuibiwa vitu vyake na watoto aliowaita machokoraa
“Reshmail shauri zako vitakuliza hivyo we  endelea kusema ni vitoto………..mh!!  Resh lakini kale kadogo kazuri  kweli” aliongea Eve alipokaona kale katoto ambako Reshmail alisisitiza  sana.
“toto zuri jamboo!!” 
“sijambo shkamoo!!” kalijibu katoto kale kwa uchangamfu sana baada ya Reshmail na Eve kukasogelea na kukasalimia.
“marahaba mtoto mzuri mbona upo hapa! Mwenyewe au hawa ni kaka zako?” Resh alimuuliza
“a  a sio kaka zangu mi namsubiri mama  ameondoka na watu wameenda huko amesema anarudi nimsubiri” alijibu tena  kwa sauti ya kitotototo 
“umekula??” aliuliza Eve.
“looh!! Eve hujaacha tu maswali yako ya  kichoyo ya uchagani  kwenu mh! Unataka aseme amekula ili umnyime au ?”  Reshmail alimshushua     Eve kiutani
“mh! Limeniganda shoga,una mashushu wewe!!”  alijibu Eve kiaibuaibu  huku akimpa yule mtoto chungwa lililokwisha menywa  tayari.
“mama anarudi saa ngapi??” Reshmail alimuuliza yule mtoto tena
“sijui nimemsubiri hata hajaja amenipa chai tu akaondoka na wale wanaume wawili” alijieleza vizuri motto yule 
“mh!! Mjini mjini tu katoto kanajieleza utadhani mtu mzima dah!” Eve alimnon’goneza Reshmail
“haya twende ukale eti motto mzuri!”  Reshmail alimwambia yule motto naye akakubali kwa ishara ya kichwa,akiwa  pekupeku akafuatana na Reshmail hadi kwenye mgahawa ulioandikwa “MAMA  FRED MGAHAWA” uliokuwa pembeni kidogo ya soko kuu la Iringa.
“utamsalimia mama eeh!!” baada ya kumnunulia chakula walilipa na kumuaga
“haya mamdogo!” alijibu yule motto
“unaitwa nani vile”Eve akamuuliza
“naitwa Christian motto wa mama Bite” alijibu na wote kwenye mgahawa wakacheka 
Kuifananisha na  picha ya Adam,dimplez za yule mtoto zilimfananisha kabisa na  Adam,achilia mbali rangi yake ya maji ya kunde na ucheshi wake.
"Eve hapana,mbona kesho naenda kumtafuta Christian ili nimjue baba yake anavyofanana,haiwezekani kufanana kwa kiasi hchi hapana "Aliongea Resh huku akiifunika album ile . Eve alikubaliana naye na siku iliyofuata majira ya saa nne,walikuwa katika hoteli ya yule mama ambapo walimwacha Christian.
"Nyie watoto ni kesi gani hyo mmetaka kuniachia jana" mama mnene kiasi mmiliki wa mgahawa wa Mama Fred aliwapokea kwa maneno hayo makali huku akifunga kanga yake vizuri kiunoni. Resh na Eve hawakuwa na jibu la kutoa walidhani amewafananisha labda "Mama ni nini tena,mbona sisi...." alijaribu kujieleza Eve huku akiishiwa maneno ya kujieleza.
"Mmenitekelezea mtoto hapa anaanza kunililia hapa usiku he! jamani mnataka mniuwe kwa presha mkurya wa watu mie" aliongea kwa ghadhabu na mshangao mkubwa sana yule mama.
"Mama sisi tumempata hapo sokoni,ndio kumleta hapa kwako kwa ajili ya kupata chakula tu mama yangu" Reshmail alinyanyua mdomo wake na kuzungumza kwa sauti iliyojaa mshangao pia.
"He! mauzauza gani haya jamani,mi nimempeleka pale kituo cha polisi usiku uleuule ndugu
"Eve hapana,mbona kesho naenda kumtafuta Christian ili nimjue baba yake anavyofanana,haiwezekani kufanana kwa kiasi hchi hapana "Aliongea Resh huku akiifunika album ile . Eve alikubaliana naye na siku iliyofuata majira ya saa nne,walikuwa katika hoteli ya yule mama ambapo walimwacha Christian.
"Nyie watoto ni kesi gani hyo mmetaka kuniachia jana" mama mnene kiasi mmiliki wa mgahawa wa Mama Fred aliwapokea kwa maneno hayo makali huku akifunga kanga yake vizuri kiunoni. Resh na Eve hawakuwa na jibu la kutoa walidhani amewafananisha labda "Mama ni nini tena,mbona sisi...." alijaribu kujieleza Eve huku akiishiwa maneno ya kujieleza.
"Mmenitekelezea mtoto hapa anaanza kunililia hapa usiku he! jamani mnataka mniuwe kwa presha mkurya wa watu mie" aliongea kwa ghadhabu na mshangao mkubwa sana yule mama.
"Mama sisi tumempata hapo sokoni,ndio kumleta hapa kwako kwa ajili ya kupata chakula tu mama yangu" Reshmail alinyanyua mdomo wake na kuzungumza kwa sauti iliyojaa mshangao pia.
"He! mauzauza gani haya jamani,mi nimempeleka pale kituo cha polisi usiku uleuule ndugu
**************************************
*           *        *       **     **    **        **       *
Baridi kali ya Mbeya ilikuwa imemkataa  motto wa Bite (Christian) kwa hali hiyo alipotimiza miaka miwili  waliondoka na kurudi tena Iringa ambapo Bite alitaka kukaa kidogo halafu  aende Mwanza kuweka makazi mapya huko. Jambo la kushangaza licha ya  baridi ya Iringa hali ya Christian ilianza kuwa njema kama awali jambo  lililosababisha Bite aendelee kukaa katika mkoa huo.hadi anatimiza miaka  mine hali yake kiafya ilikuwa njema sana na tayari Bite alikuwa  amesahau suala la kwenda Mwanza.akaanzisha genge la kuuza uji na karanga  mida ya jioni na mihogo ya kukaanga majira ya asubuhi. Ilikuwa biashara  ndogo lakini iliyomuingizia kipato kizuri tofauti na matarajio  yake.aliweza kupanga nyumba ya chumba kimoja na sebule aliyoishi na  mwanae kwa furaha sana tu bila masumbufu yoyote hadi siku hiyo asubuhi  alipokuwa anauza mihogo yake ambapo wanaume wawili ambao sura zao  hazikuwa ngeni machoni pake walipofika eneo la biashara yake.Aliwapokea  kwa furaha sana na bashasha kama wateja wengine aliozoeana nao.”Bite  tukuone pembeni kidogo samahani lakini’ wawili wale walimvuta pembeni  Bite
“mh! Mikopo asubuhi asubuhi hamna  kwakweli mtadhalilisha hizo suti zenu” aliongea Bite kwa utani huku  akiwafata walipo wawili hao
“funga biashara tunaondoka na ukithubutu  kupiga kelele au kukimbia nasambaratisha ubongo wako nadhani hujawahi  kufikiria kifo cha namna hiyo,hivyo basi fanya kama unavyoagizwa”  aliambiwa Bite na wale wanaume huku mmoja akifunua koti lake jeusi la  suti na kumwonyesha Bite kitu ambacho hakujiuliza mara mbili mbili kuwa  ile ilikuwa ni Bunduki,kwa kuutambua uoga alioupata Bite,yule mwenye  bunduki alimbandika kitu mfano wa kishikizo cha nguo na kumwambia “hiyo  ni sound recorder nenda ukawaambie wateja wako sisi ni  ndugu  zako tumekuletea taarifa za msiba nitakuwa nakusikiliza hapa,ole wako  nasema ole wako usifuate maelekezo” alipewa masharti hayo ya uongo Bite  ambaye laiti isingekuwa pensi yake ya jinsi ambayo huwa anavaa kwa ndani  ili kuhifadhia pesa zake za mauzo basi mkojo uliopenya bila yeye kujua  ungemwagika palepale hadharani na wala asingepatwa ma aibu yoyote  ile.Kama alivyoagizwa aliwaeleza wateja wake wawili waliokuwa  wanamalizia kuitafuna mihogo waliyokuwa wameinunua,wakampa pole za dhati  . jasho lilikuwa linamtoka alitamani kutumia ishara kuwaambia kwamba  yupo katika hatari lakini alipowazia mdomo wa bunduki alikaa kimya  kabisa,bila kificho Bite aliiogopa sana bunduki na hakupenda kumwacha  Christian katika umri ule.Tayari akili ilisharudi nyuma akatambua  hasa,hao  watu alikutana nao wapi,walikuwa ni baadhi ya  wafanyakazi  katika ile ngome aliyekaa miaka miwili na ni hao  waliomleta Adam pale  ngomeni “nimekwisha mimi Beatrice” alijiwazia Bite huku akitetemeka.
     Baada ya kuifunga biashara yake aliwafuata akiwa na mwanae amemshikilia mkono.
“nadhani unajua hatuhitaji mtoto!!!  Tunakuhitaji wewe tena sasa hivi” aligombezwa Bite na bila kujijua  akajikuta akimwacha mwanae pale “Christian narudi sawa nisubirie pale  sokoni sawa mwanangu! “haya mama alijibu Christian kwa furaha kwani  alijua amepata fursa kubwa na ya kipekee  kwenda kucheza na watoto  wenzake pale mtaani
 “ulidhani unaweza kutuzidi ujanja  sisi,umepotea sisi hatupimiki hata kidogo umeumia tena  umeumia sana  aliambiwa Bite na wale wanaume wakiwa kwenye gari kuelekea kwenye gari  kuelekea kule katika ngome jambo hilo Bite hakulitamani hata kidogo,japo  alimpata Christian kwa bahati mbaya lakini alikuwa akimpenda sana  kutoka moyoni na hakuwa tayari kutenganishwa naye kwa namna yoyote  ile.Alijiuliza maswali mengi sana ni nani atakayempa chakula mwanaye  siku hiyo na nyingine zitakazoendelea wakati yeye hayupo,michezo ya  kukimbizana aliyoipenda Chriss pia ilimtia hofu Bite na kuhisi huenda  mwanae anaweza kupoteza uhai wake kwa kugongwa na gari. Funda la hasira  lilimkaba kooni alitamani kufanya lolote lile wakati huo lile jambo liwe  ndoto kwake, machozi yaliyotoka ndio yaliyeyusha lile fundo japo  kidogo,hasira kali ilikuwa imemkaba Bite aliyekuwa amekaa siti ya nyuma  na jamaa mwenye Bunduki katika koti lake lakini maskini hakuwa na la  kufanya hadi gari lilipoingia ndani ya ngome ile
*             *         *     *                 *
Macho ya Reshmail yalitawaliwa na taswira  ya yule mtoto Christian,zilikuwa ni siku nyingi zimepita tangu afungue  album yake kumwangalia mpenzi wake (Adam) aliyeaminika kuwa tayari ni  marehemu.Ni katika usiku huu alipokuwa akipitia album ya Eveline ndipo  tena anakutana na picha ya Adam ambayo yeye (Adam) alimpa Eveline  walipoenda Mwanza.”Eveline,Eveline,Eve……….huyu hapa ni nani???”
“we umechanganyikiwa  tena eti hebu acha mambo yake ya ajabu huyu Adam” Alijibu Eve kwa uoga.
“ na tuliyemwona leo kule sokoni ni nani??” aliuliza Reshmail
“we Reshmail jamani wanafanana Mungu  wangu mbona wamefana hivyo lakini eeh!! Eve alijikuta picha ya mtoto  Christian ikiumbika kichwani mwake na
Zangu kwa sababu nimekaa naye hadi saa  nne tumemsubiri huyo mama yake aje wapi!! Nikaona isiwe shari ngoja  nimpeleke polisi penye usalama kuepuka balaa kumbe na nyie hamjui ni wa  nani he!!” alitoa maelezo hayo yule mama na kueleweka vyema kwa Reshmail  na Eveline.
“hicho kituo cha polisi umesema kipo wapi?” aliuliza Eve
“kile pale kinaonekana hata kwa hapa,lile jingo la bluu nyuma yake” alielekeza yule mama
Ndani ya dakika tano tayari Reshmail na shoga yake walikuwa mbele ya mapokezi ya kituo cha polisi Iringa mjini
,na walikuwa kwenye foleni wakisubiri zamu yao ya kuhudumiwa ifike.
“nyie ni ndugu zake? Au mmoja wenu ndio mama yake?”
“hapana sisi si ndugu zake ila……”aliishia  njiani katika maongezi yake Resh baada ya kukatishwa na yule askari  “ila nini? Yaani nyie wanawake wa siku hizi suala la kujali watoto wenu  hamtaki kabisa kulisikia mnachojali ni urembo tu wa sura zenu”
“jamani sio kwamba kuna ndugu yake hapa  kati yetu ila sisi tumemkuta jana kule sokoni ndio tumemnunulia chakula  halafu tukajiondokea zetu,leo hii ndio tunapita pale kwa mama Fred yule  mwenye mgahawa yeye ndiye ametupatia taarifa hiyo tukaona sio vibaya  nasi tukifika kumwona huyo motto” aliongea Eve aliyeonekana kutokuwa na  hofu na kituo cha polisi lakini Reshmail alikuwa ana uoga kwa mbali kama  vile anatuhumiwa kwa lolote lile.
“haya yupo tumemuhifadhi na tumepeleka  taarifa kwenye vyommbo vya habari wataanza kutangaza kama mama yake   bahati mbaya haya atakuja kumchukua na kama amemtelekeza akajiandae  kwenda kuishi kwa watoto yatima sisi hatuna uwezo wa kuhifadhi watu hapa  zaidi ya mahabusu” alijieleza askari yule huku akijipepea joto kwa  kutumia kofia yake iliyochakaa
Majuma mawili yalipita bila mama wala  ndugu wa motto kupatikana licha ya kituo cha redio maarufu mjini iringa  cha Ebon fm kutangaza kila siku bila kukoma
“eve naenda kumchukua yule motto nafsi  yangu inanishauri hivyo na ni lazima nifate ambacho nafsi yangu  inaniamuru” Reshmail alimwambia Eve siku moja wakiwa wamekaa sebuleni  wakiangalia habari katika luninga.Eve alikuwa amejenga tabia ya  kutobishana na rafki yake huyo kwani furaha yake ilikuwa ni kumwona  Reshmail akiwa na furaha tele
“lakini Resh,mama yake si atamtafuta ssana??” 
“Eve yaani imetangazwa hivyo redioni na  hajajitokeza leo hii mie tu kumchukua ndipo ajitokeze? Looh! Acha nae  ahangaike kidogo” alijibu Reshmail kwa jeuri
“mh! Haya sikuwezi mwanasheria wangu”
Polisi hapakuwa na usumbufu ni wazi  kwamba walikuwa wamechoshwa na matukio ya watoto kutelekezwa na wazazi  wao pasipo sababu zilizo wazi,hivyo kitendo cha Resmail kuamua kumchukua  Christian ilikuwa ahueni kwao.aliandiokishwa maelezo mafupi tu kabla ya  kuruhusiwa kondoka na mtoto ambaye alikuwa dhaifu tayari kutokana na  lishe duni na upweke wa kutomuona mama yake kwa siku hizo zote.
     Reshmail alikuwa ameyafurahia sana  maisha ya Iringa,kampani kubwa kutoka Eveline na mchumba wake ilibeba  nusu ya furaha yake huku nusu nyingine ikikamilishwa na uwepo wa  Christian mikononi mwake,mara kwa mara alipenda kuwa naye karibu huku  akimwita mume wako jambo lililompa faraja kubwa moyoni
”Eve jamani nitakumiss kipenzi changu lakini nitarudi tena asanteni sana kwa ukarimu wenu mlionionyesha tangu mwanzo nimeishi kwa furaha kubwa sana hapa” Reshmail aliyazungumza hayo alipokuwa anawaaga Eve na Benny usiku ambapo kesho yake alitegemea kurejea Dar-es-salaam akiwa ameandamana na Christian mtoto aliyempata katika mazingira ya kutatanisha
”Eve jamani nitakumiss kipenzi changu lakini nitarudi tena asanteni sana kwa ukarimu wenu mlionionyesha tangu mwanzo nimeishi kwa furaha kubwa sana hapa” Reshmail aliyazungumza hayo alipokuwa anawaaga Eve na Benny usiku ambapo kesho yake alitegemea kurejea Dar-es-salaam akiwa ameandamana na Christian mtoto aliyempata katika mazingira ya kutatanisha
Kwa Christian safari ya kutoka Iringa kwenda Dar ilikuwa safari yake ya kwanza ndefu zaidi kuwahi kusafiri
Siku iloyofuata wawili hawa walikuwa ndani ya basi la ‘budget’ litokalo Mbeya kwenda Dar likipitia Iringa.
“Mama alisema baba yupo pale kwenye ile  nyumba, tushuke nikamsalimie!” Chriss aliongea hayo huku akielekezea  kidole chake kwenye jingo lililoonekana kwa mbali mno kutokea pale  barabarani na hapakuwa na dalili ya kuishi mtu pale hivyo Reshmail  akachukulia kuwa ni akili ya utoto imemtuma Chriss kuzungumza akaamua  kupuuzia 
“chriss alikwambia nani we muongo!!”
“alinambia mama siku moja hivi tulipita hapa ,halafu mama alinikataza kusema uongo ni dhambi” alijieleza Christian haraka haraka
“mh! Haya tutakiuja siku nyingine sawa mfalme wangu” Reshmail alimjibu Chriss ili kumlidhisha kwa aliyokuwa anasema
             **                 **                       **                **
Nyumba tulivu kabisa ya mh.Manyama  ililipuka kwa furaha kwa kurejea kwa Reshmail akiwa mwenye furaha tele  “umetuletea na mjukuu!!” alitania mama Resh.”mtoto wa Eve huyu anamwita  mama mdogo” Resh naye akdanganya “kazuri kweli kama………………” alisita  kumalizia baba yake “ni kama Adam baba usiogope kufananisha wamefanana  kweli” alimtoa baba yake wasiwasi huku akimkumbatia baba yake kasha mama  yake.
“mh!! Tulikuwa wapweke kweli jamani dada”  msaidizi wa kazi za ndani aliyeitwa Fatuma alimwambia Reshmail huku  akimkumbatia na kumbusu shavuni
“na huyo mtoto kama mwanao vile hebu kaone” aliendelea Fatuma
“sio kama wa kwangu ila ni wa kwangu humwoni alivyonifanana?” alijibu kimzaha na wote wakacheka kwa pamoja
            **          *****            *****
Hali ya sintofahamu iliwakumba wale  wafanyakazi wa lile jumba (ngomeni) alipokuwa anatunzwa Adam. Mkuu wa  ngome hiyo bwana Lwebe alikuwa na ghadhabu kubwa sana,kila  mbua alikuwa  na ghadhabu kubwa sana,kila kitu kilikuwa shaghala baghala kila mara  aliongea kwenye simu hukuakitoa vitisho vikali sana na hata kutishia  kuua. Wafanyakazi hawakumwelewa lolote walizitambua hasira za bosi wao  huyo ambaye mara chache anazokuwa katika hali kama hiyo humalizia hasira  zake kwa kutoa roho ya mtu
“mlete Adam hapa mara moja !!” aliamrisha huku akijikuna ndevu zake kwa kutumia mdomo wa bunduki aliyokuwa nayo
“maskini Adam sijui amekosa nini”  alijiuliza aliyekuwa anaenda kumwita. Bila wasiwasi wowote Adam  akamfikia Lwebe D kwa ishara ya mkono akamwamrisha kumfuata,pamoja na  mabaunsa wawili waliotinga suti nyeusi . lwebe hakuongea neno lolote  hadi walipofika kwa nje,tayari kigiza cha saa mbili kilikuwa kimetawala
“mlete na yule mwingine wa nyumba ya chini” alitoa amri nyingine tena baada ya tano walioagizwa wakarejea na mtu mwingine 
“we kinyamkera una bahati sana  aliyekuleta hapa amesema haujasambaza taarifa zozote mbaya laiti kama  ungethubutu ningeiondoa shingo yako sasa hivi. Nakuacha uende tena  lakini tambua mtandao wangu upo popote katika nchi hii sasa ole wako  uthubutu kunyanyua mdomo wako kutangaza ujinga” aliambiwa yule binti  aliyeletwa pale huku akionyeshwa njia ya kutokea
“we kidume kwa jeuri ya bosi wako  kujaribu kunidhurumu pesa yangu wakati wewe unakula na kulala bure  hapa;lazima nimwonyeshe mimi ni nani na ni wewe utakayeumia” aliongea  Lwebe huku akipuliza moshi wa sigara hewani.
                                        **********
Ilikuwa ni mwezi mmoja tangu Bite  arejeshwe kwenye ile ngome lakini katika chumba kingine,hakuwa msaidizi  wa kazi tena bali mtuhumiwa na hakupata fursa ya kuonana na Adam hata  siku moja . siku alipotolewa nje usiku na kwa mahesabu ya miaka mitano  ambayo Adam angekaa pale machale yalimcheza,alivyopewa uhuru wa kuondoka  hakwenda mbali sana alifika eneo moja kwenye mtaro na kuanza kusubiria  ni nini kitatokea japo hakusikia vizuri maneno lakini alisubiri hata  vitendo
    Mkataba wa miaka mitano  alioandikishana Bi.gaudensia na Lwebe wa Adam kuhifadhiwa pale ulikuwa  umeisha tayari na miezi mitatu zaidi ilikuwa imepita,suala hilo la  kuchelewesha pesa lilimkera sana Lwebe na pia ahadi za uongo kutoka kwa  Gaudencia zilichochea sana hasira za Lwebe kufikia hatua ya kuamua  kuzipooza kwa huyo Adam aliyehifadhiwa hapo.ni usiku huo alipoamua kwa  mkono wake mwenyewe Adam duniani kama kisasi kwa Bi.Gaudensia 
“paa!! Paa!!” mlio mkali wa risasi  ulisikika na kumzindua Bite ambaye alikuwa amepitiwa na usingizi pale  kwenye mtalo,kidogo apige kelele lakini viganja vya mkono wake vikawahi  kuuziba haraka sana. Hakusikia hata chembe ya kilio na baada ya dakika  kama saba akasikia milango imefungwa
Kwa ujasiri na tahadhari kubwa Bite  akajisogeza hadi karibu kabisa na eneo ambalo aliamini hakika ndipo mlio  wa risasi umetokea huku kichwani kwake akiwa ana jibu la “nimesahau saa  yangu” iwapo atakutana au kushtukiwa na mlinzi,kwa hofu alizurura  katika lile eneo dakika tatu bila kuona chochoten”au wameingia nae  ndani??” alijiuliza bila kupata jibu
“koh!!  Koh!! Alishtuliwa na sauti ya  kikohozi nyuma yake,mawazo yake alidhania ni mlinzi eneo lile lakini  alipogeukz hakuwa mlinzi tena ni mwili wa binadamu ukiwa  chini,hakutambua mara moja yule ni nani hadi macho yake yalipolizoea  giza la pale “Adam!!!!!”
“we ni nani??” alijibiwa kwa sauti ya chini sana iliyokuwa inaunguruma kama mnyama anayechinjwa
“Bite mimi jamani Adam”
“ondoka watakuua hao Bite ondoka niache mi nife hapa” alijibu Adam
“hapana Adam usife,usife Adam twende tukamtafute mwanetu Chrstian anatamani sana kukuona,usife Adam tafadhali” Bite alibembeleza
    Risasi mbili zilizopenya katika paja  lake la kulia zilikuwa zimemsababishia Adam kuvuja sana damu na mbele  yake alichokitarajia ni kifo hakuna kinginelakini maneno ya Bite nguvu  zilirejea upya kabisa tena kwa kasi”Bite ulijifungua,mtoto wangu yuko  wapi? Ni wa kiume au wa kike?” alihoji maswali mfululizo Adam huku  akijitutumua kusimama kwa nguvu alizokuwa amezipata
“ni stori ndefu na hapa sio mahali pake  tuondoke tafadhali jitahidi kuna hatari kubwa kama unampenda mwanao  jitahidi tuondoke” aliongea Bite huku akiuweka  mkono wa Adam katika  bega lake na kuanza kumkongoja kutoka eneo lile huku (Adam) akitumia  mguu mmoja na ule uliojeruhiwa ukiwa juu juu.kutoka pale walipokuwa hadi  barabarani haukuwa umbali mrefu sana na walifanikiwa kufika,kwa giza  nene lililokuwepo hawakuweza kuonekana na mtu yeyote,nguvu zilikuwa  zinamwishia Adam kutokana na kuvuja damu lakini alijikaza kijasiri sana  na kuendelea mbele
*********     *******     *******
Lwebe na kundi lake baada ya kumpiga  risasi  mbili Adam waliamini katu asingeweza kunyanyuka kutoka katika  eneo lile,na hata angeweza kuinuka hakuwa na pa kwenda hakuujua mkoa huo  hata kidogo. Waliingia ndani na kupiga simu kwa Bi.Gaudensia kwamba mtu  wake tayari ana risasi mbili mwilini 
“msimuue jamani,tafadhali sana kesho naileta pesa yenu mapema kabisa”
“nimechoshwa na ahadi zako mheshimiwa  jiandae kuchukua maiti yako siku yoyote utakayotaka utaikuta  nimeihifadhi na kama na kuizika nitakusaidia” alijibu kwa ghadhabu kasha  akakata simu
Bi Gaudencia akapiga tena
“nakusikiliza”
“basi nielewe kwa leo na hili ni ombi la  mwisho tafadhali usimuue kesho asubuhi sana nakuja huko,ninaondoka huku  saa nane usiku tafadhali” alibembeleza
“na iwe hivyo atalala nje leo na hata kula hadi utakapokuja
“sawa mkurugenzi” alijibu kwa unyenyekevu Gaudensia
Akini ya Bi.Gaudensia  ilifanya kazi  haraka haraka akapekua kila kona katika chumba anacholala na mumewe na  kwa bahati nzuri kwa akakutana na kadi ya benki ya mume wake ambayo  alikuwa akifahamu vizuri kabisa namba zake za siri. Bila kupoteza muda  akampigia dereva wake wa siri ambaye huwa anampeleka Iringa naye haraka  haraka bila kuhoji akatii amri aliyopewa.bila Reshmail kujua  Bi.Gaudensia akaondoka majira saa saba usiku,nafsi ilikuwa ikimuhukumu  juu ya baya lolote litakalomkuta Adam “damu ya Adam ipo juu yangu”
“naenda kwa rafiki yangu ameugua ghafla “ mama Reshmail alimuaga mlinzi wa getini
“sawa bosi” alijibu mzee yule wa makamo huku akifunga geti baada ya mama kuwa ametoka nje
Kwa kasi ya ajabu gari iliondoka jijini  Dar-es-salaam kwa kuwa ilikuwa usiku sana vizingiti vya watu wa usalama  pamoja na foleni havikuwepo sana hivyo dereva alikimbiza gari kwa  kadri  ya uwezo wake. Breki ya kwanza ilikuwa ni katika benki ya C.R.D.B  maeneo ya Ubungo ambapo mama Reshmail alishuka na kuvuta pesa kutoka  katika akaunti ya akiba ya mzee Manyama
Badala ya masaa matano kwa gari binafsi kufika Iringa walitumia masaa matatu pekee
“mh!! Huku napo kijijini kweli huyo nae  sijui ni mgonjwa sasa usiku huu atapata wapi lifti ya gari” mama  Reshmail alimwambia dereva wake alipoona watu wawili wakisimamisha gari
“ah!! Ndo maisha ya Tanzania yalivyo”  alijibu dereva huku akiongeza zaidi mwendo wa gari hadi wakaifikia ngome  ya vigogo waliyokuwa wakiifuata
****     ****    *****
Magari makubwa ya mizigo yatokayo  Morogoro kwenda Zambia na Malawi ndiyo yaliyotoa msaada kwa Bite na Adam  ambapo Bite alijitambulisha kama mke wa Adam na kwamba wamevamiwa na  majambazi na mumewe (Adam) amepigwa risasi. Laiti kama madereva  wangekuwa watanzania kwa jinsi walivyo waoga katu wasingewapandisha  wawili hawa lakini wakongomani wale ambao vita kwao ni jambo la kawaida  waliwachukua Adam na Bite hadi Iringa mjini walipowaacha jirani kabisa  na hospitali ya rufaa.
“bila RB hatupokei mgonjwa wa aina hii”  alisema muuguzi wa kike wa hospitali ile wakati Bite anajieleza.ni kweli  yule muuguzi(nesi) alikuwa na haki zote za kupingana na ujio ule kwani  hali aliyokuwa nayo Adam ilihitaji taarifa za polisi kwanza
“haa!!! Mama Christian,ni wewe hata  siamini au nakufananisha?” wakati Bite akijiegemeza kwenye ukuta huku  akiwa amekata tama alishangaa kutambulika kwake na nesi yule
“Mungu wangu mama wawili jamani!!!” baada  ya kumkazia macho naye Bite akamtambua yule nesi kuwa waliwahi kufanya  nae biashara katika soko la Uyole Mbeya na pia alikuwa jirani yake pale  alipokuwa anaishi,ulikuwa mshangao mkubwa sana
“ehe!! Kulikoni tena ndugu yangu yamekukuta yapi tena mwenzangu?” alihoji nesi huku akiwa amechangamka sana safari hii
“ni makubwa sana,lakini ningeupata msaada  wako kwanza kwa mume wangu ndio tungeongea vizuri shoga” alijibu Bite  akiwa na matumaini tele
“ondoa shaka shoga huduma mnaipata sasa  hivi tena huduma bora,daktari tunaheshimiana naye sana na pia ni shemeji  yangu” nesi aliongea hayo huku wakisaidiana kumwingiza Adam ndani ya  chumba cha wagonjwa,hapakuwa na maswali mengi,undugu ulitawala pale.  Adam akafanyiwa upasuaji mdogo wa kuondoa risasi katika ambao  haukuchukua hata hata nusu saa damu na maji pia vikaongezwa katika mwili  wake uliokuwa dhaifu sana.kufikia majira ya saa kumi na moja alfajiri  Adam alikuwa amepata nafuu kubwa na aliweza kutembea japo kwa  kuchechemea
“shoga nikueleze wazi tu kwamba sisi pa  kufikia hapa Iringa mimi na mume wangu hatuna! Tangu niondoke ghafla  niliacha sijalipa kodi nina uhakika chumba sio changu tena kwa hiyo pa  kwenda hatujui” Bite alimweleza hayo mama wawili baada ya kuwa  amemsogeza pembeni ili mtu mwingine asiweze kusikia
“ondoa shaka Bite miim kwangu pana nyumba  kubwa tu!! Nimejengewa na mnyakyusa mmoja,nimemweka kwenye kiganja  kwangu mimi hasikii,haoni wala hasemi,ni kaka yake na huyu daktari we  mwenyewe si umeona alivyowashughulikia haraka” kwa sauti ya chini kabisa  nesi alijibu
     Wote watatu katika teksi  wakaongozana hadi nyumbani kwa nesi ni kweli nesi hakuwa na chembe ya  utani hata kidogo  nyumba ile ilikuwa kubwa sana na haikuwa haki  kukaliwa na watu wawili pekee vilikuwa ni vyumba sita pamoja na sebule
“karibuni! Karibuni sana! Nesi aliwakaribisha walipofika nyumbani kwake.
“asante sana ndugu yangu ama kweli ishi na watu uvae viatu” alisema Bite kwa upole sana
“usijali Bite tumeishi vizuri,hatukuwahi  kugombana hata siku moja,tumetwishana matenga ya nyanya kwa nini sasa  nishindwe kukutendea wema!!!” nesi alimtoa hofu Bite
Chumba walichopewa kilikuwa kikubwa cha  kuwatosha kabisa,kitanda cha tano kwa sita kilikuwa saizi yao kabisa.  Adam alishangazwa sana na wema huo wa nesi lakini mshango wake  uliongezeka maradufu baada ya kukutana na mume wa nesi siku ambayo  walikuwa wakitambulishwa kwake kama shemeji zake yaani ndugu zake  Bite.mzee huyu wa kinyakyusa aliyeitwa Gwakisa ni kama heshima  ilipitiliza na kuwa kama anawanyenyekea wawili hawa. Adam alihudumiwa na  yule daktari kana kwamba alikuwa ni mgonjwa wa kisukari au alikuwa ni  mtoto wa mfalme,Adam alipata farijiko kubwa sana kuishi pale
Bite kama kawaida alikuwa mwanamke wa  kujituma  sana,ndani ya wiki moja tayari alikuwa amepata kazi ya ndani  katika nyumba nzuri waliyoishi wanafamilia watatu,mwanaume na mke pamoja  na mtoto wa kama miaka mitatu wa kike aliyekuwa anasoma shule ya awali
*****    ******     ******     ******
“bite mama!!”
“bee mama”
“mpeleke mtoto shule halafu baadaye  mpeleke pale zahanati akapimwe jana usiku amekohoa sana” ilikuwa sauti  ya Eveline akimpa maelekezo Bite ambaye alikuwa mfanyakazi wake mpya na  wa kwanza wa ndani ya nyumba yake na mchumba wake. Ratiba ya Bite  ilikuwa ni kazi kuanzia asubuhi ya saa mbili ambapo alikuwa akimpeleka  Loyce {mtoto wa kaka yake Benny} shuleni na kisha akirejea anaandaa  chakula cha mchana kwa siku ambayo Benny hurudi nyumbani mchana  na  baada ya hapo humfuata Loyce shuleni,kisha maandalizi ya chakula cha  jioni na majira ya saa kumi na mbili huaga na kuondoka,ilikuwa kazi  ambayo haikumtoa jasho Bite na malipo ya shilingi laki moja kila mwezi  yalimtosheleza kabisa kupanga chumba kidogo walicholipia shilingi 15000  kwa mwezi
“tunashukuru sana kwa ukarimu wenu bwana  na bibi Gwakisa Mungu awazidishie baraka katika kazi zenu” alitoa  shukrani za dhati Adam kwa niaba ya mke wake wa bandia (Bite).uchangamfu  wake na wingi wa vituko ulifanya nyumba ya Gwakisa iwe iwe yenye  shangwe na tabasamu kila siku,kitendo chake cha kuaga pale  kilimsononesha Gwakisa na mkewe lakini hawakuwa na jinsi,kutoka mfukoni  mwake aliwakabidhi shilingi laki mbili za kuanzia maisha yao huko  waendako
Tayari Adam alianza kumpenda kwa dhati  Bite uchapakazi wake na jinsi alivyomwokoa kutoka katika kifo ulichangia  sana lakini kiunganishi cha mtoto Christian ndio ilikuwa chachu kubwa  ya mapenzi yao.walivyohama katika nyumba yao ya kupanga walianza rasmi  kuishi maisha ya mke na mume Adam hakuwa na amani hata kidogo na familia  ya Reshmail hasa baada ya kukuta katika nyumba  hiyo ndogo waliyohamia  magazeti yaliyobandikwa kama mapambo likisema “imani za kishirikina  zamwondoa mheshimiwa Manyama bungeni” alitamani sana kuisoma habari hiyo  kiundani iliyotoka takribani miaka mitano iliyopita lakini ilikuwa  imeandikwa inaendelea ukurasa wa pili anbao haukuwepo pale ukutani
“au walikuwa wanataka kunitoa kafara?  Mungu wangu!! Niliwakosea nini mimi” alijiuliza Adam wakati wakiingiza  yao ya Rambo ndani ya chumba hicho kimoja kilichotenganishwa na pazia  kufanya sebule na chumba
Hisi hizo mbaya zikamfanya Adam aamue  kuanzisha rasmi uhusiano na mwanamke ambaye amezaa naye mtoto pia  aliyeokoa maisha yake bila kutarajia mwanamke ambaye hajawahi  kumkwaza,mwanamke mpiganaji anayempa furaha tele kila siku
“Bite nataka uwe mke wangu”
“Mh!! Niwe  mkeo mara ngapi mimi mkeo  tayari jamani” alijibu Bite huku akichezea ndevu za Adam ikiwa ni siku  ya pili tu tangia wahamie katika makazi hayo mapya
“una utani wewe mbona ulikuwa hujaniambia wala sijawahi kusikia ukiniita mume wako?
“sio lazima nikwambie tayari nina mtoto  wako halafu humu ndani kuna kitanda kimoja tena kidogo tu,ulidhani chako  mwenyewe!!!” aliuliza Bite kisha wote wakacheka huku wakikumbatiana na  kuangukia kitandani
****              *******
Maisha ya Reshmail jijini Dar-es-salaam  yalikuwa yamebadilika sana akiwa anasubiri wakati baba yake akimtafutia  kazi itakayompendeza alifurahia mara zote na Christian huku akiwa  amewabadili watu wote wanaomfahamu kwa ukaribu kutokea kumwita Reshmail  na sasa walimwita mama Christian na alikuwa amejivika pete ya ndoa   katika kidole chake cha shahada ikwa na jina Adam na nyingine ndogo  akiwa amemvisha Christian ikiwa imeandikwa Reshmail. 
Hakuwa mtu wa kulialia tena wala msongo  wa mawazo haukumsumbua tena aliamini nafasi ya Adam ilikuwa imezibwa  vyema na Christian ambaye alikuwa Adam mpya kwake. Walilala  wote,walicheza wote na kusimuliana mambo mbalimbali.alipoenda kusalimia  rafiki zake walienda wote Christian mkono wa kulia. Harakaharaka  Christian alijikuta akimpenda mno Reshmail kuliko hata ilivyokuwa kwa  mama yake mzazi,maisha ya kifahari ya kwao Reshmail yalimfanya Christian  anawiri sana ungewakuta wakicheza bustanini kama vile wanalingana umri  walibembea pamoja na kupigana kiuongouongo,kwa ufupi waliishi maisha ya  kusisimua kwa kila aliyewaona. Akiugua Reshmail ni Christian atamuuguza  kwa kukaa pembeni yake bila kutoka nje hadi apone hivyo hivyo kwa  Reshmail abaye alimwogesha na kumlisha. Wakati huo Reshmail ndio alikuwa  mwalimu wa Christian akimfundisha kusoma na kuandika jambo ambalo hata  baba yake alilipenda na Christian alikuwa mtu anayeelewa haraka  akifundishwa ,reshmail alifurahia sana.
Baada ya kukaa na Christian mwezi sita  reshmail kwa mara nyingine Iringa kwa rafiki yake jambo kubwa  lililompeleka huko ni harusi ya rafiki yahe huyo ambapo alitarajiwa kuwa  matron wa kipenzi chake hicho. 
“shoga shughuli kesho kutwa hata  haujaonekana jamani au ndio mambo yetu yale haja ya kufanyiwa make  up….”aliuliza kiutsni .Eve katika simu alipokuwa anaongea na Reshmail.
“Kesho asubuhi na mapema nakujua ,mume wangu alikuwa na mafua ndio tatizo si unajua tena.”alijibu Reshmail. 
Haya mume huyo anavyoringiwa shauriro  “alijibu Eve .Christian alikuwa amependekezwa kuwa bwana harusi  mdogo  pamoja na Loyce (mtoto wa kaka yake Benny).
“He unatoka mume wangu asiuze sura,na  jinsi alivyoandaliwa huku Dar es salaam ,utachoka mwenyewe na simtoi   mpaka siku ya shughuli,atakayeruhusiwa kumuona ni bibi harusi  mdogo(Loyce) peke yake wakati wa kujifunza,sitaki mwingine amuone mpaka  siku yenyewe”alijibu Reshmail kwa furaha.
“Haya umeshindwa ambao hatuna waume tunalo,alijibu  Eve kisha wakaagana.
Asubuhi ya siku iliyofuata majira ya saa  nne asubuhi tayari Reshmail,Christian,mpambaji pamoja na dereva walikuwa  ndani ya gari la baba yake (Resh)taratibu safari ya Iringa ikaanza.
“Usitupeleke kwa kasi sawa eeh,alitoa  malekezo Reshmail na kukubaliwa na dereva kwa sababu hawakuwa na haraka  yeyote ila mbele yao yalikuwa bado masaa mengi  sana kabla ya harusi  kufanyika.
Kwa mwendo wa kinyonga kabisa gar  lilifika mbele ya nyumba ya Eve majira ya saa nne usiku na hakuna  aliyekuwa ameschoka sana.Shamrashamra zilikuwa kubwa sana maeneo ya pale  kwa Eve kelele zilizidi alipofika Reshmail, na kama alivyoaahidi kweli  alishuka yeye peke yake kutoka katika gari akifuatiwa na dereva,urembo  wake utadhani alikuwa amepembwa tayari kuingia ukumbini.
“Shoga  tabia gain hiyo kupendeza kuliko  bibi harusi?”aliuliza eve kiutani baada ya Reshmail kuingia katika  chumba ambacho Eve alikuwa amehifadhiwa akiwa na wapambaji wake.
“Hebu acha utani wako,kila mara unadhani   tuko shuleni?mwone,”alijibu Reshmail,Eve akajiziba mdomo kwa aibu huku  akiwatazama wapambaji wake waliokuwa wamejizuia kucheka lakini uvumulivu  ukawashinda wakacheka kwa nguvu.
Chumba kile kikageuka kijiwa cha story  kati ya Reshmail na Eve ,stori zingine zilikuwa juu ya mume wa Reshmail  (Christian),shoga hadi pete?
“Sina utani mie mbona”?alijibu Resh huku wapambaji wakiwa hawajui hata kinachoongelewa.
“Mama kuna mtu anataka kukuona,ilikuwa ni sauti ya kike ikimueleza Eve.
“Heh!!ushazaa na wewe?”aliuliza kiutani  Reshmail.Mh!!niringe huyu ni msaidizi wangu tu wa kazi anaitwa  Bite,nampenda naye ananipenda pia.
“Sio kama mimi na Christian “alidakia Reshmail ambaye tangu aingie chumba kilitawaliwa na vicheko.
“Bite humuwezi huyu anaitwa mam Christian ni rafiki yangu tangu utotoni.
“Nafurahi kukufahamu mama Christian hata  mimi.alitaka kuondelea kuongea Bite akakatishwa na Eve.”Anayetaka  kuniona nani huyo tena?,mwambie nina mgeni Bite akajiondokea bila  kumalizia kauli yake.
Sherehe ilifana kuanzi kanisani lakini  mambo yote yalikuwa saa mbili usiku maharusi wadogo walipokuwa  wametangulia mbele wakifuatiwa na wana ndoa wenyewe(Eveline na  Benjamin)huku nyuma yao Reshmail na Fredrick wakifunika kila kitu kwa  pale mbele Christian aliteka macho ya watu huku kamera zimemulika yeye.  Tabasamu lake pana la wakati wote lililoonyesha vishimo katika mashavu  yake yote  lilisababisha watu wengine wahisi huenda sio kutoka Tanzania ,  suti yake iliyoendana kabisa na mwili wake na viatu vyake  pia jinsi  mkono wake ulivyokuwa umemshika kiustadi Loyce (bi harusi mdogo)  ulimfanya MC ashindwe kukaa kimya “nani mwenyewe harusi,wa mbele,nyuma  au kati” aliuliza kwa mbwembwe
“mbeleeeeeeeee!!!.......nyumaaaaa!!!!” ndio majibu yaliyosikika kutoka kwa wengi 
“hayaa wageni waalikwa wanasema maharusi  wa katikati wamefunika sana” alidanganya MC aliyefahamu wazi Christian  na Reshmail wameteka macho ya watu wengi pengine kuliko maharusi  wenyewe.
  Picha zilipigwa kwa wingi lakini  Christian hakuonyesha wasiwasi wowote “mh!! Katoto kazuri halafu kajanja  hako” wanawake walikuwa wakinon’gonezana huku wakimtazama Christian  anavyozidi kusonga mbele
“wamekatoa nje,baba yake ni mreno”  alidakia mama aliyesifika kwa umbea pale mtaani aliyejulikana zaidi kwa  jina la mama mwingi.hata hawakuhangaika kujibishana nae kwani  walishamzoea
   Taratibu kabisa kwa mwendo wa kunyata  jozi hizi tatu za kuvutia ziligawanyika huku jozi mbili za wakubwa  zikienda katika meza kubwa kabisa na watoto wakienda katika meza yao  ndogo iliyokuwa akimeremeta soda na vinywaji vingine baridi,”kusema  ukweli sherehe imependeza,siongei kama  MC bali kama ndugu Kidagaa Peter  Kubalunga wengi wananiita MC K.P” alichombeza Msema Chochote (MC) na  kushangiliwa sana na umati mkubwa uliohudhuria sherehe hiyo
**********      ************   ********
“dah!! Umependeza kweli sitaibiwa huko na  wajanja,hebu ona ona mgongo wako utadhani huna mamba ulivyopendeza,ona  kifua chako mpenzi wangu hapana nitaibiwa mke mie” Adam alikuwa  akimtania Bite huku akim funga zipu yake ya mgongoni
“acha wivu mwanaume wewe,kaa ndani  usubirie ya kwako aniibe nani wataishia kutamani tu!!” alijibu Bite huku  akimun’gunya midomo yake ili lipstick aliyopakaa ikae vizuri zaidi na  kioo kikiwa mbele yake
“nakupenda sana mke wangu,tambua hilo  niliamua toka moyoni mwangu na wala sijutii hata kidogo najionamwenye  bahati sana” Adam kwa sauti ya chini iliyomaanisha anachokisema  alimwambia Bite ambaye alitulia tuli akamtazama Adam kisha akamkumbatia  na kumbusu.
“nakupenda pia nakupenda sana” Bite  akamwambia Adam halafu akatoka nje na kupanda teksi iliyokuwa inamsubiri  kwa nje na kuondoka,Adam hakuthubutu kutoa hata pua yake nje kwani bado  alikuwa na uoga wa kurejea mikononi mwa watu wabaya
Majira ya saa tatu na nusu Bite tayari  alikuwa mlangoni akionyesha kadi yake ya mwaliko kwa watu wa ulinzi  kisha mwanadada kutoka kamati ya maandalizi akamwongoza Bite kuelekea  katika upande ambao ndugu zake na mwanamke walikuwa wamekaa,eneo la  chini ya meza ya bwana na bibi harusi mdogo.Bite alikuwa tayari kama  ndugu wa damu kwa Eveline walitokea kuheshimiana sana na hawakuwahi  kuingia katika malumbano makubwa sana.
    Amani ilitoweka katika meza ya bwana  na bibi harusi wadogo,Christian alikuwa amekosa utulivu mara kwa mara  alikuwa ananyanyua shingo yake aweze kuona kitu Fulani ambacho hakuna  aliyefahamu ni nini kimemsibu
“au kanaumwa tumbo?” alijiuliza matron huku akienda kwenye ile meza kumsikiliza Chriss ana shida gain
“Chriss ni nini baba umekuwaje?” alimuuliza baada ya kumfikia
“nataka kwenda kwa mama” alijibu kwa sauti iliyojaa manun’guniko sana
“subiri kidogo mtoto mzuri nitakupeleka  sawa” matron alimdanganya Chriss huku akiamini shida yake ilikuwa kwenda  kwa Reshmail,kidogo Chriss alitulia japo bado hakuwa na katika hali ya  uchangamfu kama awali
  Muda wa kutoa zawadi ulipofika maharusi  wote katika jozi tatu walitakiwa kuwa mbele ya umati kwa ajili ya  kupokea zawadi zao.Christian na Loyce waliwekewa viti wakakaa wakati  Eve,Benny,Reshmail na Fredrick walisimama wima kupokea heshima hizo
“he! We mtoto vipi? Jamani huyu mtoto  kulikoni” yule mwanamke aliuliza  baada ya kushikwa gauni lake na  Christian alipotaka kuondoka baaba ya kutoa zawadi. Bahati mbaya muziki  ulikuwa umezimwa hivyo ukumbi mzima ulishuhudia tukio hili la kushangaza
“mamaaaa!!  Mamaaaa!!” Chriss alimpigia  kelele alipotaka kuondoka
“Chriss…….Christian……Christian  wanguuuu!!! Jamani ni mwanangu..ni mwanangu huyu” alipiga kelele  mwanamke huyu,alikuwa ni Bite na tayari akili yake imemgundu  Christian,watu wote waliamini amechanganyikiwa lakini alikuwa  anasisitiza bado kwa maneno hayohayo. Hakika mbele yake alikuwepo  mwanaye waliyepotezana zaidi ya nusu mwaka sasa na dalili za kumpata  zilikuwa zimeanza kufifia. Mayowe yake yalivyozidi yakapoteza usikivu  pale ukumbini na kila mtu kuanza kujiuliza kulikoni eneo lile
“mama mama mama,huyu ni  mwanangu…..Christian jamani” Bite kwa sauti ya juu sana akaanza  kumwambia Eveline ambaye alikuwa amekodoa macho kuangalia anachofanya  Bite pale mbele
“kuna nini jamani” Reshmail alishindwa kujiuliza akamvagaa Eve na kumuuliza
“huyu ni Christian,mtoto wangu jamani  mtoto wangu kabisa” alisisitiza Bite. Nguvu zilimwisha Reshmail japokuwa  hakuzimia lakini alianguka chini,alishuhudia kila kitu lakini hakuweza  kuzungumza,ulikuwa mshtuko wa hali ya juu sana haikuwa sherehe tena bali  kasheshe,huku Bite na mayowe yake huku Reshmail akiwa chini. Wapiga  picha hawakuwa mbali walilichukua hili tukio kikamilifu tayari kwa kuuza  katika vyombo vya habari.
   Mwanamama mwenye nguo nyeusi alikuwa  anapambana kupenya katika msitu mkubwa wa watu pale ukumbini,mwanzoni  hakuwemo kwenye sherehe “vimama vya Kiswahili navyo,hapo umbea tu ndo  amefata humu,akipigwa hapo au akikanyagwa atamlalamikia nani” mwanaume  mmoja aliyekuwa amevaa suti aliwaambia wenzake huku wakimtazama mama  huyo mwenye baibui iliyovaliwa kwa staili ya ninja hasa hasa kwa waumini  wa dini ya uislamu anavyopambana kwa juhudi ili apenye. Watu kwa huruma  wakampisha,moja kwa moja akiwa anakimbia kwa kasi alifika mbele ya  ukumbi akaanza kuzubaa na mara ghafla akakimbilia alipolala Reshmail na  kuanza kutikisa
“huyu maza vipi mwehu nini? Yaani mtu  ameachiwa hewa impige yeye anaenda kuweka usiku tena na manguo yake”  kijana mmoja aliyekuwa amevaa jinsi kwa staili ya mlegezo aliwaambia  wenzake
“tulia wewe huenda ni mamake huyo” alijibiwa na wenzake
“reshmail amka amka mpenzi” alimwambia kwa sauti ya chini.
                           ****                              **     ***
Wivu wa utani utani aliouonyesha mbele ya  mke wake ulukuwa unatoka moyoni mwake,Adam alihisi huko nje labda kuna  mjanja anamchukulia mke wake.”ngoja nikamfumanie mtu leo” alijiwazia  Adam huku akipekua pekua nguo gani anaweza kuvaa iweze kumziba sura yake  asiweze kufahamika kwa urahisi mbele za watu,’baibui’ ndio jibu  alilopata,harakaharaka akajitanda kwa ustadi,alifahamu vyema pesa ya  mkewe ilipokuwa inahifadhiwa akajichotea kiasi kilichotosheleza kwa  nauli “Mountain view” alijikumbusha jina la hotel ambayo sherehe ilikua  inafanyika,ni jina alilolikariri kwenye kadi ya mwaliko.
Akiwa na baibui lake alipanda teksi  ikamfikisha moja kwa moja eneo la tukio,kukuru kakara aliyoikuta pale  ilimtia hofu kubwa sana aliamini lazima kuna kitu kimeharibika eneo lile  hakuwaza kitu kingine bali usalama wa mkewe (Bite) moja kwa moja naye  alijichanganya humo ndani n
 Tofauti ya malengo yake ya kumjulia hali  mkewe,macho yake yanakutana na Reshmail akiwa sakafuni na vazi lake  zuri la harusi,sura yake bado ilikuwa haijasahaulika katika  kumbukumbu  za Adam.
Nguvu zilizokuwa zimemwisha Resh pale  chini zilirejea kwa kasi kutokana na kusikia sauti ya kiume kutoka  katika nguo za kike “mamaaaaaaaaaaa!!!!” alipiga  kelele kwa sauti ya  juu huku tayari akiwa amesimama wima akijaribu kukimbia,kamera  zikageukia eneo lao tena nyingi zikimmulika mwanamke mwenye baibui  (Adam). Kabla hajakimbia Reshmail alidakwa mkono  wake.”Adaam……Adaaaam!!!” alipiga kelele kali zaidi wakati huuu Reshmail.  Adam alikuwa amejivua baibui kwa upande wa usoni,akiwa hajapewa jibu  lolote reshmail palepale alifika Bite,”Adam! Umefikaje hapa mume  wangu…si ulisema hauji…” Bite aliuliza
“nini? Nani? Umemwitaje? Na huyu ni…….”  Hakuweza kumaliziankauli yake wakati huu,mawazo yakauzidi nguvu ubongo  wake akazimia palepale.Wakati huo Chriss alikuwa analia tu hgajui  kinachoendelea,Eve na Benny walikuwa wanahaha huku na huko bila  kukumbuka kwamba alikuwa na shera safi kabisa tena ya gharama za juu  kabisa,Benny ndio alikuwa kama tahira hajui hata pa kuanzia alikuwa  ameshtuka sana. Ilikuwa kama vita vile lakini hakuna hata aliyejeruhiwa  wala aliyekuwa anapigana vilikuwa si vita vya risasi bali vita vya  mapenzi. Wgeni waalikwa waligeuza tukio hilo kuwa kama filamu ya  kusisimua lakini waliyokuwa wameianzia katikati bila kujua ilianzia wapi  na inaenda wapi.,nani nyota wa filamu na nani adui.
                                            ***
Ni katika nyumba ya Eveline.Reshmail akiwa mbele ya Beti amepiga magoti akilia kwa uchungu
“Bite wewe ni mwanamke mwenzangu nionee  huruma kwa haya niliyopitia,nimeteseka sana,nimedhalilishwa kwa ajili ya  Adam,ni kwa ajili yake hadi leo mimi ni bikra,kwa ajili yake familia  yake imetuchukia,kwa ajili ya Adam baba yangu haeshimiki tena mtaani  kwetu,Bite sitamani mwanaume yeyote yule,ukininyan’ganya Adam na  Christian mimi nitakufa Bite,ni furaha gani utaipata kwa kifo changu kwa  ajili ya upendo?,sitajali huyu mtoto uliyezaa nae wala sitaumizwa na  ujauzito wake uliombebea,ninakuomba Bite niache na mimi nipate furaha  japo kidogo tu katika siku zangu zilizobaki hapa ulimwenguni,nisaidie  niweze kurudisha upendo uliogeuka chuki kati ya familia yangu na  Adam.Bite uamuzi upo mikononi mwako,ukikataa utaniumiza sana na nina  uhakika nitakufa na pendo langu kwa Adam” Kilio kilimzuia kuendelea  kuongea,lakini nay eye mgongoni mwake alilowanishwa kwa machozi ya Bite  yaliyokuwa yanatililika muda wote wakati Reshmail anaongea,kwa hali  halisi alimwonea huruma lakini pia kwa dhati kabisa aliwapenda Adam na  Christian.Eve na mumewe Benny walikuwa watazamaji,wenyewe hawakuwa na  uwezo wa kutoa maamuzi yoyote yale. Christian alikuwa ametulia kwenye  kochi,hali ya utulivu aliyokuwa nayo ilipita siku zote.
“Adam tulipokutana unapajua,yote  tuliyofanya unayajua,upendo wangu kwako nadhani unautambua pia……labda  sikupangwa kuwa wako milele ndio maana aliyepangwa amejitokeza wakati  muafaka,asante kwa zawadi ya penzi lako,asante kwa mtoto na huu ujauzito  hii ni heshima kubwa kwako milele,neno gumu ninaloweza kulisema sasa ni  kuwa kwa moyo mmoja nakuruhusu uendelee na Reshmail,nayasema haya mbele  ya mama yanngu Eveline” alizungumza Bite kisha akashindwa kujizuia  kuangua kilio kikuu kilichoamsha hisia za kila mtu pale ndani wote  wakadondosha machozi yao. Adam,Reshmail na Bite wote kwa pamoja  wakakumbatiana huku machozi yao yakitua juu ya Christian aliyekuwa  ktikati yao,ilikuwa ni picha ya kusisimua na kuumiza sana.
******               *****
Kilikuwa kikao kikubwa cha familia yao  Reshmail,watu wote muhimu walikuwemo jasoro mama wa familia hiyo  aliyesusia kikao,mzee Manyama,Reshmail,Eve,Benny,Bite,na Paskalina  walikamilisha kikao hichi,Christian alikuwa bustanini akibembea.Reshmail  alikuwa anatoa siri nzito nzito za kushangaza ambazo kwa namna kubwa  kabisa zilitoa taswira ya mambo yaliyokuwa yamefichika kwa muda  mrefu,uhusiano wa kimapenzi kati yake na mama yake mzazi ulimwacha kila  mtu mdomo wazi,Reshmail aliomba msamaha kwa hilo na alieleweka na  kusamehewa. Ni katika usimuliaji wa upande wa Bite kuhusu ngome ya  vigogo iliyoleta fikra za mazingira ya kupotea kwa kadi yake ya benki  katika mazingira ya utata mkubwa,Benny hakuongea neno kwani yeye alikuwa  kama mgeni tu katika mkutano huo.Mzee Manyama alikuwa kimya  akimtafakari mkewe kwa maovu aliyoifanyia familia yake,kwa mateso  aliyompa Adam na kwa uvunjifu wa amani aliouleta baina ya familia hizi  mbili,kwa fedheha aliyomletea na kumvunjia heshima yake bungeni na hata  mtaani,akiwa mwingi wa hasira alisimama bila kuaga na kuelekea  chumbani,kwa hali aliyokuwa nayo Reshmail aliamua kumfata kwa nyuma ili  asije kufanya jambo baya huko anapoenda,hasira yake ilipokelewa na na  mwili wa mkewe ukiwa sakafuni,tayari alikuwa maiti. “ulistahili hukumu  hii” bila kushtuka alisema mzee Manyama huku akimpisha Reshmail aingie  humo ndani.
***           *******                           *****
Mapema baada ya mazishi ya mama yake  mzazi Reshmail akiongozana na Adam katika gari ya baba yake,dereva akiwa  Adam walifunga safari ya kwenda Mwanza kwa wazazi wake (Adam).
“utabaki ndani ya gari nitatangulia mimi  najua watakuwa wakali hao lakini wakikuona ndipo mzizi wa fitna  utakapokuwa umekatwa” Reshmail alimpa maelekezo Adam ambaye alikubali  kwa ishara ya kutikisa kichwa.
Gari ilipaki nje kidogo ya nyumba ya kina  Adam,kama walivyoelewana akashuka Reshmail akiwa amependeza  sana,akaifunga gari kwa kutumia rimoti aliyoshuka nayo na kwa mwendo wa  kunyata akaanza kuusogelea mlango akausukuma akaingia ndani,kupitia  kwenye kioo Adm lishuhudi Reshmail akitoweka machoni pake.
“umefata nini hapa we mchawi Adam  hajakutosha unamtaka na Rosemary ngoja sasa….Rose!!!!” aliita mama  Adam,Reshmail akiwa anatabasamu kwani alijua ni muda mfupi wote watakuwa  na furaha kubwa. Akiwa bado hajaanza kuongea alishuhudia mama Adam  akimfuata na kisu huku Rosemary akifika pale na mwiko mkubwa,wakati huu  akili yake ilifanya kazi haraka akaanza kukimbia lakini nguo yake ndefu  ilimsaliti baada ya kunasa kwenye geti la kutokea nje.
Kwa macho yake mawili Adam alishuhudia  Reshmail akiwa chini huku watu wawili wakimshambulia kwa fujo,alijaribu  kufungua mlango lakini ulikuwa umewekwa ‘loki’ sauti yake haikuweza  kusikika nje alipigapiga vioo vya gari lakini hakuna aliyemsikia.  Alishuhudia damu nyingi sana ikiruka juu. Kwa akili ya haraka haraka  akakumbuka kushusha kioo akatokea dirishani
“mamaaaaaaaaaaaaaaa!!!” Adam akaita kwa  nguvu palepale mama yake akageuka na kudondosha kisu alichokuwa  nacho,”Adam mwanangu ni wewe!!!” alisema mama Reshmail huku aimfuata  Adam ambaye hakumjali bali alifika alipokuwa Reshmail  “Reshmail,Reshmail”  “ mama na dada mmemuua mke wangu jamani mamaaaa!!”  alilia Adam baada yakuona hajibiwi kitu.”A.d….am!!  ninaku….fa  mume  wangu….ninakufa  kwa furaha…..ni..meku..rudish…sha  kwenu…naku…panda..sana” Reshmail aliongea kwa kujiumauma huku akivuja  damu,raia wengine walikuwa katika harakati za kutafuta msaada lakini  msaada mkubwa uliopatikana ni wa polisi waliowatia nguvuni mama Adam na  mwanae Rosemary huku roho ya Reshmail ikimaliza muda wake palepale Igoma  jijini Mwanza.kama usingekuwa ujasiri wa Adam basi tukio lile  lingegharimu maisha yake,tayari mama mkwe amepotea,na sasa mpenzi wake  Reshmail,mama na mdogo wake wakitupwa jela kwa kesi ya mauaji.
****    **** ****    *****
“mapenzi yamenipotezea muda wangu  nimekuwa mfungwa miaka mitano,mapenzi yameivunja vunja familia  yangu,mwanamke niliyempenda ametoweka tayari tena mbele ya macho  yangu,ni heri niisome hii sheria vizuri zaidi ili ikiwezekana siku moja  niwatetee ndugu zangu walioko gerezani hao pekee ndio furaha yangu,kamwe  siwezi kuhangaika tena na watoto wa hapa chuoni hata siku moja sidhani  kama wana maana sana kwangu nikithubutu tena huend yatakuwa makubwa  zaidi ya awali,usiku mwema Mosenya.” Alimaliza simulizi yake Adam,wote  tulikuwa tunatokwa machozi ya uchungu,lakini lengo langu likatimia na  swali la muda mrefu likapata jawabu baada ya simulizi hii kuanza  kuandikwa katika gazeti la chuo.