TAFUTA HAPA

RIWAYA: SHEMEJI MONICA – Sehemu Ya Tisa

James akawa amemfikia Julieth ambaye alikuwa ameziba uso wake kwa kiganja cha mkono kutokana na aibu na uoga ambao ulikuwa umemtawala, alitaka sana kula kile chakula walichokiandaa lakini alikuwa anaogopa mno, alikwisha sikia habari za maumivu yanayotoke siku ya kwanza ya kitendo, muonekano wa ule mzigo wa James pia ulimtisha na kumpotezea ujasiri ambao siku zote alikuwanao akiamini ni lazima siku moja akubali kuumia ili maumivu hayo yaondoke milele. Jamesa akamtanua miguu ambayo alikuwa ameikusanya pamoja, akawa anaiona mali vizuri kabisa mbele yake, akauchukua mtalimbo wake na kuanza kuupeleka chumvini lakini mara Julieth akabana miguu yake tena, ?baby naogopa, tuache tu? alisema Julieth kwa sauti ambayo ilionesha kuwa alikaribia kulia. ?noo baby, ukiogopa leo hakuna siku ambayo utaacha kuogopa, hata haiumi, naingiza polepole? alishawishi James kwa sauti ya kubembeleza, lakini bado haikusaidia, uoga wa Julieth bado ulikuwa juu kuliko matamanio yake ya kukifanya kitendo kile, akaibana zaidi miguu yake hata James hkuweza kuiachanisha tena. ?huniamini baby? Naomba uniamini, sito kuumiza, hebu niangalie? alsema James huku akimtoa Julieth kile kiganja alichofunikia uso ili waweze kuonana macho kwa macho, akashangaa kukuta mchozi ya Julith yalikuwa yamefika mashavuni, hata mzuka wa kitendo ukakata hapohapo, alijiona kama alikuwa anambaka. James akaacha kile alicchokuwa anajaribu kukifanya na kulala chali pembeni ya Julieth ambaye sasa kulia kuliongezeka, ?baby nisamehe mi naogopa bwana? alijitetea Julieth kwa sauti yenye kilio ndani yake. ?usijali mpenzi, mimi nipo kwaajili yako, siku ukiwa tayari tutafanya? alisema James huku akimkumbatia Julieth kumfariji. ?hapana mpenzi, najua nimekuangusha sana na nimekuudhi ila ‘I swear’ nilikuwa na nia ya kufanya? aliendelea kujitetea Julieth ambaye alijihisi alikuwa mkosaji kwelikweli, James akaamua kutosema neno bali kumkubatia kisawasawa akiendelea kumfariji.
Baada ya dakika 5 wakawa kimya, hakuna ambaye alikuwa na lakusema kwa mwenzie, wakaendelea tu kulala wakiwa wamekumbatiana mpaka James alipogundua kuwa Julieth alikuwa amelala, akaamka polepole kukwepa kumuamsha, akatoka nje.
Julieth hakuchukua muda kuamka, akashangaa kutomkuta James, akachukua simu yake kutaka kumpigia lakini akaiona simu ya James ambayo aliiacha pale ndani hivyo akasitisha lile zoezi na kuamua kumngoja mpaka hapo atakaporudi. Akiwa katika kungojea akasiki mtetemo wa simu ya James ikiita, akaamua kuipuuza kwakuwa haikuwa yake lakini akajiambia huenda James ametaka kuwasiliana na yeye akajikuta amesahau simu na kuamua kuamua kumtafuta kupitia simu ile kwakuwa namba yake hana, akaiichukua simu ile na kuangalia nani alikuwa anapiga, jina lilisomeka ?Shemeji Monica?, akajishauri kwa sekunde kadhaa kisha akaamua kuipokea, ?samahani, James ametoka kidogo? alisema Julieth baada ya kupokea simu hiyo. Monica akashangaa kuona simu imepokelewa na mwanamke na kuambiwa James ametoka, yeye alijua James alikuwa kazini, sasa anatoka kwenda wapi na anaachaje simu yake nyuma? Akajiuliza na kujijibu kuwa James hakuwa kazini, wivu ukampanda, ?ameenda wap?? aliuliza Monica. ?hata sijui, ametoka tu nje?alijibu Julieth ambaye naye alianza kupata wasiwasi juu ya huyu Shemeji Monica. ?kwani wewe ni nani?? aliuliza Monica. ?mimi ni rafiki yake? akajibu Julieth, jibu ambalo liliibua maswali zaidi kwa Monica. ?mko wapi kwani?? aliuliza Monica swali ambao lilimkera Julieth akataka kukata ile simu, mara akaona mlango unafunguliwa na James anaingia akiwa amebeba makolokolo kibao. ?afadhali mwenyewe huyo amefika? alisema Julieth na kumkabidhi simu James. ?nani?? aliuliza James huku akiangalia kwenye kioo cha simu na kugundua alikuwa nani. ?haloo? aliita James. ?uko wapi?? hilo ndilo lilikuwa swali la kwanza la Monica. ?bado niko mjini? alijibu kihuni James akijua fika jibu lile lilikuwa halitoshelezi matakwa ya muulizaji. ?utarudi saa ngapi? aliuliza tena Monica ambaye sasa lionekana kama msumbufu, ila James alifanikiwa kumvumilia na kuendelea kumjibu kwa upole, ?bado sijajua nitarudi saa ngapi kwakweli’. ?chakula tukuachie au leo tena unakula huko?? aliuliza Monica. ?usiniwekee chakula leo kuna mahali niakula? akajibu kwa kifupi James, kisha akasikia simu ikikatwa upande wa pili. ?nani huyo?? aliuliza Julieth. ?mke wa kaka yangu, hapo ninapoishi, ana tabu kweli ndo maana nataka kuhama? alijibu James. ?haya nimeleta jiko hapo, mafuta ya taa, mafuta ya kupikia,mchele, kitoweo na viungo, nataka unipikie? alisema James akimuonesha Julieh vitu alivyokuwa amekwenda kununu, Julieth akagundua haraka kuwa hii ilikuwa mbinu ya James kutafuta kitu cha kufanya ili kuimlizia siku iliyobaki baada ya kile ambacho walitaka kukifanya kushindikana. ?mimi sitaki kupika wala kitu kingine chochote, nakutaka wewe tu? alisema Julieth na James akaelewa nini alimaanisha ila alimatamani Julieth aachane tu na jambo lile maana hakukuwa na raha yoyote kwenye kulifanya. ?watu wasiojua kupika utawajua tu hawakosagi visingizio? alisema James. ?kupika najua sana, ila leo sio siku yake, si unajua muda wangu ni mdogo?? alielezea Julieth na kumfanya James aangalie saa yake na kugundua kweli muda ulikuwa umebaki mdogo sana kwa Julieth kuendelea kubaki pale, maana balaa la mama yake analijua na bila shaka ataliamsha kama Julieth atachelewa kurudi nyumbani. ?sasa unataka nini? Nambie nipo hapa kwaajili yako, alisema James ambaye alimsogelea Julieth mpaka akahakikisha umbali kati yao ni sentimita sifuri, ?nataka… tumalizie… pale tulipoishia? alisema Julieth kwa mapozi, akamalizia na kumtandika James busu la mdomoni. James akasimama na kuvua suruali yake, kisha boxer yake shati ikafuata, akawa kama alivyozaliwa. ?unamuogopa huyu?? aliuliza James akimuonesha mnara wake ambao huwa haukawii kuwa juu. ?anatishaaa? alijibu Julieh. ?uoga wako tu, wala haumizi, hebu mshike? alisema James katika hali ya ushawishi, akamsogezea Julieth jongoo yule. Julieth akasogeza mkono wake polepole akiwa na uoga kama anaupeleka kwa nge, akamkamata jongoo yule, akashangaa kukuta alikuwa wamoto. ?mbona yamoto hivi?? aliuiza Julieth ambaye hakuwahi kushika kitu cha namna ile kabla, akatamani kiingie kilipopaswa kuingia ili ajue kinakuwaje huko ndani, lakini alikuwa anaogopa sana. ?kwasababu iko hai? James akajibu swali lile la Julieth huku akimsukuma na kumlaza chali pale kwenye godoro, kisha akaupitisha ulimi wake kwenye maeneo mbalimbali ya mwili wa Julieth, alipofika kifuani akakomea hapo kwa muda kabla hajashuka mpaka kitovuni, na kuanza kukikuna kitovu cha Julieth kwa ncha ya ulimi wake. ?bwana unanitekenyaaa!!? alisema Julieth kwa sauti ya kimahaba huku akijitahidi kuzuia kicheko, James akajikuta anashawishika kushuka chini zaidi, ulimi wake ukatua chumvini kwa Julieth, ni jambo ambalo James hakuwahi kuwaza kama anaweza kulifanya ila alijikuta amelifanya bila kuamua mara mbilimbili, ncha ya ulimi wake ikawa inatalii kuzunguka hazina iliyokuwa katikati kabla yajaifikia hazina yenyewe na kubaki hapo, akajigeuza mbwa analeyamba mfupa, mtoto wa watu akakoma na roho yake, akawa anaunyonganyonga mwili wake kama anakata roho, na James hakumuhurumia na kuacha alichokuwa akikifanya, yeye akendelea tu kama alikuwa haoni mtoto wa watu alivyouwa anateseka. Julieth alipokolea zaidi akawa anakishika kichwa cha James kwa nyuma kwa kutumia mikono yake yote miwili na kukivutia zaidi pale kwake huku na yeye akijisogeza zaidi tukio lilipokuwa likitendeka, James akaona huu ndio ulikuwa wakati sahihi wa kufanya maangamizi, akamchukua yule jongoo wake na kumpeleka taratibu kisimani, uoga wa Julieth ukarudi tena kwenye uoga wake, akaanza kubana miguu tena, lakini James akawa anaiachanisha polepole naye akawa atanatii. Jongoo akagonga kwenye ukuta, James akawa anaongeza nguvu polepole kulazimisha jongoo yule aweze kupita kwenye ile njia ambayo ilikuwa haimtoshi, Julieth alikuwa amekakamaa kama kapatwa na degedege, akaw amefumba macho yake huku amengata meno yake kwanguvu kama ambaye alita ya hini yahamie juu na yajuu yahamie chini, alikuwa anaogopa sana ila hakutaka kuharibu kwa mara nyingine hivyo akavumilia. Kadri sekunde zilivyokuwa zikienda ndivyo James livyozidi kuongeza nguvu, alipoona Julieth anakaribia kushindwa alipunguza nguvu na kuanza upya, mpaka akaona njia inaanza kutengenezeka, ?polepole baby, inaumaaaaa? alisema Julieth kwa sauti ya kugumia maumivu, huku machozi yakimchuruzika kama mvua. ?polepole mpenzi, iningia.. hiyoooo… hiyoooo? jongoo akafanikiwa kupenya, polepole James akawa namtembeza mule ndani akienda mbele na kurudi nyuma ili aweze kupata njia zaidi ya kumuwezesha kuiingiza ndani sehemu ya mwili wake ambayo bado ilikuwa imebaki nje. Kilio cha Julieth kilikuwa kimezidi, James akaona ilikuwa imetosha kwa siku ile, akaachia pale na kumtoa jongoo wake ambaye alikuwa ametapakaa damu. Julieth alikuwa bado analia kwa maumivu, damu ilikuwa inaendelea kumtoka na James alikuwa anambembeleza. Ikafikia muda Julieth akafanikiwa kujikaza na kunyamaza lakini damu bado ilikuwa ikendelea kutoka mpaka James akaogopa, akaamua kuchemsha maji na kuyatia chumvi kwaajili ya kumkanda, maana alisikiaga kwenye maongezi ya vijana kuwa hiyo huwa tiba nzur kwenye janga kama lile.
Kabla hajaanza kumkanda James aliona simu yake ikiita, alipoiangalia akakuta ni mama yake Julieth alikuwa anapiga. ?ni mama yako? James alimwambia Julieth kwa wasiwasi. ?pokea? Julieth alijibu bila wasiwasi wowote, yeye alikuwa busy kuugulia maumivu yake tu. ?mbona nimempitia Julieth hapa kituoni lakini hapo na simu yake haipokelewi?? aliuliza mama Julieth baada ya simu kupokelewa.
****************************************
……………………………………Usikose sehemu ya 10