TAFUTA HAPA

JAMANI MIE UKAHABA SASA BASI" PART 6

INAENDELEA HAPA:Kipindi Mr. Brown anampiga mke wake Mrs. Brown ghafla wakatokea wazazi wa Mr. Brown ambao ni wakwe wa Mrs. Brown walikwenda kuwatembelea wakakuta kuna vurugu kwa watoto wao walichokifanya wazazi wale waliamua ugomvi na kuwaweka chini na kuwasikiliza kwa umakini watoto wao chanzo cha wao kugombana ni nini? Wakaanza kuelezea ilivyokua. Wazazi wa Mr. Brown wakatumia busara na kuwasihi wasigombane na wakawapatanisha watoto wao pale pale Mr na Mrs. Brown wakamaliza tofauti zao wakawa na amani wakajumuika pamoja na wazazi wao mpaka ilipofika jioni wale wazazi wakaondoka huku nyuma Mr na Mrs. Brown walikaa na kujadili njia nyingine ya kumsaidia binti yao Jenifer aweze kuendelea na masomo shule wakaona ni bora wamtafutie tu binti yao shule nyingine ili aweze kuendelea na masomo yake, baada ya siku kadhaa Mr. Brown alijitahidi kuhangaikia shule ili aweze kumpeleka binti yake JENIFER aweze kuendelea na masomo akiwa na dhamira ile ile aliyokua nayo tangu awali kuwa binti yao JENIFER wakimsomesha
baadae atakuja kuwasaidia katika maisha yao, mungu alisaidia Mr. Brown akajitahidi akafanikiwa kumpatia nafasi binti yake JENIFER katika shule moja iitwayo KILIMANJARO SECONDARY SCHOOL na binti yao akajiunga na shule hiyo akaendelea na masomo yake. JENIFER alipokua shuleni hapo tabia yake chafu haikubadilika aliendelea na tabia yake ile ile ya kua na marafiki ambao tabia zao zilikua ni chafu na ikafikia hatua JENIFER akawa anamahusiano ya kimapenzi na waalimu wa shuleni hapo tena kwa kuwachanganya alikua anatembea na MWALIMU MKUU (head master), MWALIMU MKUU MSAIDIZI (Second master) na MWALIMU WA TAALUMA (Academic master) tena bila ya walimu hao kutofahamu kama wanachangia penzi moja kwa binti huyo, Sasa siku moja Mwalimu mkuu wa Shule hiyo ambae ni mpenzi wake JENIFER alimuita JENIFER ofisini kwake na kuanza kumshika shika ofisini hatimae wakafanya nae tendo chafu la ngono ndani ya ofisi na hawakufunga mlango wa ofisi hiyo, ghafla Mwalimu mkuu msaidizi
akafungua ule mlango wa ofisi ya mwalimu mkuu, alikua anampelekea ma faili mwalimu mkuu alipovamia akamkuta mwalimu mkuu na JENIFER wakiwa katika tendo, mwalimu mkuu msaidizi alishtuka sana kuona vile hakuongea kitu alitoka nje haraka.